Mlinzi wa Obama aliyejiuzulu ulinzi mbovu
OKTOBA Mosi mwaka huu, Mkuu wa Idara ya Usalama wa ikulu ya Marekani, Julia Pierson, aliyekuwa na jukumu la kumlinda Rais Barack Obama, alitangaza kujiuzulu kutokana na matukio yenye kuhatarisha usalama wa taifa ....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7466U3ZMMqXfMZoB50UgnnOVXHgLCJs*G*cPmFHNF8Htdh3jWZvlgwQHQo1HwcdtWd39mMfjkIXfSCvoDEaHXLeTELtwpfee/FRONTIJUMAA.gif)
ULINZI WA OBAMA KENYA USIPIME
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-UlSdnsk4Eqo/VVIR0TQIdbI/AAAAAAAAtrI/z08_Axjoye8/s72-c/vodacom.jpg)
Mkurugenzi Mkuu Vodacom aliyejiuzulu Aula Qatar ......Mitandao Yahusisha Kujiuzulu Kwake na Kashfa ya Upotevu wa Bilioni 700 za Kitanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-UlSdnsk4Eqo/VVIR0TQIdbI/AAAAAAAAtrI/z08_Axjoye8/s640/vodacom.jpg)
Aliyekuwa Mkurugenzi mkuu wa Vodacom aliyejiuzulu hivi karibuni Rene Meza amepata shavu katika kampuni nyingine ya mawasiliano nchini Qatar ijulikayo kama Ooredoo Mynmar kuwa Mwenyekiti mtendaji wa tawi la Mynmar.Aidha, taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na kampuni hiyo imesema kwamba Rene Meza atachukua nafasi ya Ross Cormack ambaye anatarajiwa kuachia nafasi hiyo mwaka huu.
Kwa mujibu wa mtandao wa Afrika Kusini umebanisha kwamba Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom amejiuzulu...
10 years ago
BBCSwahili25 Jul
Unamfahamu dadake rais Obama,Auma Obama?
10 years ago
Bongo528 Jul
Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’
10 years ago
Habarileo02 Nov
JK- Utawala wa soka mbovu
RAIS Jakaya Kikiwete amesema timu za Taifa na Klabu zinashindwa kufanya vizuri katika michuano ya kimataifa kutokana na utawala mbovu wa mpira. Akizungumza jana kwenye uzinduzi wa ujenzi wa kituo cha michezo cha Jakaya M. Kikwete Youth Park kinachojengwa kwa udhamini wa Sunderland na Kampuni ya kufua umeme ya Symbion, eneo la Kidongo Chekundu Dar es Salaam, Rais Kikwete alisema kwa muda mrefu timu za soka zimekuwa hazifanyi vizuri kwa sababu uongozi umeshindwa kutilia mkazo klabu kuwekeza...
11 years ago
Mwananchi17 Feb
‘Barabara Chalinze-Mlandizi mbovu’
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Mkwasa alia msingi mbovu
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Mlinzi wa shamba ajinyonga
MKAZI wa Mbezi Msakuzi, Dar es Salaam, Hassan Ngoso (48), ambaye ni mlinzi wa ahamba, amefariki dunia baada ya kujinyonga. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema tukio...
9 years ago
Mtanzania02 Jan
Mlinzi wa Lowassa atimuliwa
*Ni ofisa usalama mwandamizi aliyepigana Vita ya Uganda
*Alikuwa ‘bodyguard’ wa Nyerere aliyemfia mikononi
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
ALIYEKUWA mlinzi wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ofisa usalama mwandamizi, Aloyce Tendewa, amefukuzwa kazi.
Taarifa zilizolifikia MTANZANIA Jumamosi kutoka vyanzo vyake vya uhakika vilivyo serikalini, zimedai kuwa Tendewa amefukuzwa kazi na mwajiri wake ambaye ni Idara ya Usalama wa Taifa (TIS) kwa kosa la kushindwa kutekeleza majukumu yake ya...