Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mlinzi wa Obama aliyejiuzulu ulinzi mbovu

OKTOBA Mosi  mwaka huu, Mkuu wa Idara ya Usalama  wa ikulu ya  Marekani, Julia Pierson,  aliyekuwa na jukumu la kumlinda Rais Barack Obama, alitangaza kujiuzulu kutokana na matukio yenye kuhatarisha usalama wa taifa ....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ULINZI WA OBAMA KENYA USIPIME

Sifael Paul na mtandao Ni Obama kila kona! Muda wowote kuanzia leo wananchi wa Kenya watashuhudia kutua kwa Rais wa Marekani, Barack Hussein Obama, nchini humo huku stori kubwa ikiwa ni ulinzi uliowekwa kwa hofu ya kundi ‘haramu’ la ugaidi la Alshabaab, Ijumaa linakupeleka hadi kwa majirani zetu hao...Soma zaidi===>http://bit.ly/1Iq6LnF ...

 

10 years ago

Vijimambo

Mkurugenzi Mkuu Vodacom aliyejiuzulu Aula Qatar ......Mitandao Yahusisha Kujiuzulu Kwake na Kashfa ya Upotevu wa Bilioni 700 za Kitanzania


Aliyekuwa Mkurugenzi mkuu wa Vodacom aliyejiuzulu hivi karibuni Rene Meza amepata shavu katika kampuni nyingine ya mawasiliano nchini Qatar ijulikayo kama Ooredoo Mynmar kuwa Mwenyekiti mtendaji wa tawi la Mynmar.Aidha, taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na kampuni hiyo imesema kwamba Rene Meza atachukua nafasi ya Ross Cormack ambaye anatarajiwa kuachia nafasi hiyo mwaka huu.
Kwa mujibu wa mtandao wa Afrika Kusini umebanisha kwamba Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom amejiuzulu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Unamfahamu dadake rais Obama,Auma Obama?

Je ulimwona rais Obama akimkumbatia mwanamke aliyekuwa mwisho kabisa katika foleni ya wale waliomkaribisha Kenya ijumaa usiku

 

10 years ago

Bongo5

Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’

Ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama umeacha historia ya mambo mengi kwa wananchi wa Kenya. Baadhi ya wazazi wa watoto waliozaliwa siku ambayo Obama alitua nchini Kenya Ijumaa ya July 24, wamewapa watoto wao majina yanayohusiana na Rais huyo. Mzazi mmoja aliyejifungua mtoto wa kiume siku hiyo aliamua kumpa mtoto wake jina la Rais […]

 

10 years ago

Habarileo

JK- Utawala wa soka mbovu

RAIS Jakaya Kikiwete amesema timu za Taifa na Klabu zinashindwa kufanya vizuri katika michuano ya kimataifa kutokana na utawala mbovu wa mpira. Akizungumza jana kwenye uzinduzi wa ujenzi wa kituo cha michezo cha Jakaya M. Kikwete Youth Park kinachojengwa kwa udhamini wa Sunderland na Kampuni ya kufua umeme ya Symbion, eneo la Kidongo Chekundu Dar es Salaam, Rais Kikwete alisema kwa muda mrefu timu za soka zimekuwa hazifanyi vizuri kwa sababu uongozi umeshindwa kutilia mkazo klabu kuwekeza...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Barabara Chalinze-Mlandizi mbovu’

Wakala wa Barabara (TANROADS), Pwani imekiri sehemu ya barabara Kuu ya Mlandizi – Chalinze katika Barabara ya Dar es Salaam Morogoro imechakaa na inahitaji kufanyiwa matengenezo makubwa pamoja na kupanuliwa kutokana na ongezeko la magari yanayosafiri kwenye barabara hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Mkwasa alia msingi mbovu

 Mtaalamu wa Elimu na Mafunzo wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Boniface Mkwasa amesema kuwa kuporomoka kwa soka la Tanzania kunachangiwa na mfumo mbovu uliopo kwenye klabu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mlinzi wa shamba ajinyonga

MKAZI wa Mbezi Msakuzi, Dar es Salaam, Hassan Ngoso (48), ambaye ni mlinzi wa ahamba, amefariki dunia baada ya kujinyonga. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema tukio...

 

9 years ago

Mtanzania

Mlinzi wa Lowassa atimuliwa

MTZ jmosi new 24 Nov 2015.indd*Ni ofisa usalama mwandamizi aliyepigana Vita ya Uganda

*Alikuwa ‘bodyguard’ wa Nyerere aliyemfia mikononi

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

ALIYEKUWA mlinzi wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ofisa usalama mwandamizi, Aloyce Tendewa, amefukuzwa kazi.

Taarifa zilizolifikia MTANZANIA Jumamosi kutoka vyanzo vyake vya uhakika vilivyo serikalini, zimedai kuwa Tendewa amefukuzwa kazi na mwajiri wake ambaye ni Idara ya Usalama wa Taifa (TIS) kwa kosa la kushindwa kutekeleza majukumu yake ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani