Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umoja wa Wasamba Saccos waiinua Mbalizi kiuchumi

UCHUMI ni hali ya uwezo ambao mwanadamu anautumia katika rasilimali alizonazo kupata ufumbuzi wa matatizo yanayomkabili.  Wataalam wa masuala ya uchumi wanasema kwamba uchumi umegawanyika katika sehemu mbili ambazo ni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

DKT FENELA MUKANGARA AAHIDI KUWAINUA KIUCHUMI WANANCHI WA KIBAMBA KUPITIA SACCOS

Dkt Fenela Mukangara akizungumza na wana SACCOS wa kata ya Msigani
 akiahidi kuwainua kiuchumi wananchi wa kibamba kupitia SACCOS yao jijini Dar es Salaa jana.
 Baadhi ya akina mama na wana SACCOS wa kata ya Msigani wakimsikiliza Dkt Fenela Mukangara jijini Dar es Salaa jana.

 

10 years ago

GPL

AJALI YAUA 10 NA KUJERUHI 7 MBALIZI MKOANI MBEYA LEO

Daladala lenye namba za usajili T 237 BFB aina Toyota Hiace baada ya kuparamia lori.
Lori lenye namba za usajili T 158 CSV lililoparamiwa na daladala. Askari wa…

 

10 years ago

Dewji Blog

Watu kumi wamefariki dunia na majeruhi saba katika ajali mbaya iliyotokea Mbalizi leo

9

Hivi ndivyo ambavyo Daladala hiyo ilivyojibamiza muda mchache uliopita Eneo hili la ubavuni ndipo eneo ambalo Daladala hiyo iliingia na Kujigonga Gari hilo aina ya Tata likiwa limepaki pembeni Muda mchache baada ya kupata ajali hiyo. 3 Askari wa usalama wa Barabarani akiwa anatazama na kuchunguza zaidi ajali hiyo. Eneo ambalo Daladala hiyo iliyofumuka Viti vikiwa vimeharibika baada ya ajali kutokea. Hivi ndivyo Daladala hiyo iliyokuwa ikitoka Mwanjelwa kuja Mbalizi ilivyo...

 

10 years ago

Michuzi

Taarifa Sahihi ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ0Kuhusu Kifo cha Askari Wake Huko Mbalizi


Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania linapenda kutoa taarifa ya kifo cha Askari wake Praiveti Ahadi Mwaka Mwainyokole kilichotokea tarehe 4 Februari 2015 katika mji mdogo wa Mbalizi, Mkoani Mbeya.
Taarifa za mazingira ya kifo cha Askari huyo zimepotoshwa na baadhi ya Vyombo vya Habari na kusababisha mapokeo tofauti kwa wananchi. 

Hali halisi ni kwamba, mnamo tarehe 4 Februari 2015 Askari huyo akiwa na Askari wenzake wanne (4) ambao ni Koplo Bedatu Benard Mloka, Praiveti Thani Hamisi Haji,...

 

9 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO ZA MABALOZI WA UMOJA WA JAMHURI YA KOREA, UMOJA WA ULAYA NA PALESTINA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipokea Hati za Utambulisho za Mhe. Song Geum-young, Balozi wa Jamhuri ya Korea Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 5, 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akizungumza na Mhe. Song Geum-young, Balozi wa Jamhuri ya Korea Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 5, 2016 baada ya kupokea hati zake za utambulisho  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph...

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIA YAONGOZA MKUTANO WA PAMOJA KATI YA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA (AU) NA KAMATI YA SIASA NA USALAMA YA UMOJA WA ULAYA (EU) MJINI BRUSSELS, UBELGIJI

Mhe. Naimi Aziz, Balozi wa Tanzania na Mwenyekiti wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AU), pamoja na Balozi Walter Stevens (Kulia), Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa na Usalama ya Umoja wa Ulaya (EU) wakiwa katika mkutano huo. Kushoto ni Balozi Smail Chergui, Kamishna wa Amani na Usalama wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika. Katika Mkutano huo, pamoja na mambo mengine, vyombo hivyo viwili vilikubaliana kuendeleza ushirikiana zaidi katika kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa migogoro...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanahabari waanzisha Saccos

KLABU ya waandishi wa habari mkoani hapa imekamilisha hatua muhimu katika kuanzisha chama cha kuweka na kukopa kwa wanahabari na wadau wao kitakachojulikana kama Mtwara Media Saccos. Mwenyekiti wa klabu...

 

10 years ago

Mwananchi

Saccos zilizolala zaonywa

Mrajisi wa Vyama vya Ushirika nchini, Audax Rutabanzibwa ametishia kuzifuta saccos zote zitakazoshindwa kukidhi viwango vya ushirika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani