Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Saccos zilizolala zaonywa

Mrajisi wa Vyama vya Ushirika nchini, Audax Rutabanzibwa ametishia kuzifuta saccos zote zitakazoshindwa kukidhi viwango vya ushirika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Morogoro gets 192 Saccos

>A total of 192 Savings, Internal Lending and Credit (Silc) groups have been established in the municipality over a period of seven years from 2008.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanahabari waanzisha Saccos

KLABU ya waandishi wa habari mkoani hapa imekamilisha hatua muhimu katika kuanzisha chama cha kuweka na kukopa kwa wanahabari na wadau wao kitakachojulikana kama Mtwara Media Saccos. Mwenyekiti wa klabu...

 

11 years ago

Mwananchi

Vicoba washauriwa kujiunga na Saccos

Wanachama wa Vicoba wameshauriwa kujiunga na Vyama vya Kuweka na Kukopa (Saccos) ili kuwawezesha kunufaika na fursa katika mifuko ya hifadhi ya jamii na hatimaye kupata mikopo kwa ajili ya kuendeleza vikundi vyao.

 

9 years ago

TheCitizen

EDITORIAL: Ensure your Saccos survives

For low income earners, who comprise the majority of working Tanzanians and small scale entrepreneurs, it is virtually impossible for one to save over time and accumulate enough to do anything substantive for oneself or the family and hence, the essence of loans.

 

11 years ago

Tanzania Daima

NSSF yazikopesha Saccos Bil. 29/-

WANANCHAMA 3,341 wa vyama vya kuweka na kukopa (Saccos) wamenufaika na mikopo yenye thamani ya sh bilioni 29.9 kutoka Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF). Hayo yalielezwa bungeni jana na...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Bado Saccos hazijawasaidia wajasiriamali’

 Ongezeko la idadi ya Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo (Saccos), limedaiwa kutokuwa na msaada mkubwa kwa wajasiriamali wadogo.

 

10 years ago

GPL

KIGOGO SACCOS ANASWA NA MTEJA

Deogratius Mongela na Chande Abdallah
KUNA madai kwamba, kigogo wa taasisi moja ya mikopo (Saccos) wilayani Bagamoyo, Pwani, Shabani Rajabu Mkali amenaswa gesti akiwa na mke wa mtu bila kujulikana waliingia kufanya nini, Amani linakupa picha nzima. Kigogo wa taasisi moja ya mikopo (Saccos) wilayani Bagamoyo, Pwani, Shabani Rajabu Mkali  akiwa na mke wa mtu gesti. Tukio hilo la aina yake lilijiri kwenye gesti moja (jina...

 

9 years ago

Michuzi

DAWASCO SACCOS YAZINDULIWA RASMI

 SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO), imezindua rasmi mfuko wa akiba na mikopo (Saccos) kwaajili ya wafanyakazi wa shirika hilo katika harakati za kujikomboa kiuchumi na kuimarisha umoja miongoni mwao.
Akiongea na wafanyakazi katika uzinduzi huo, Afisa Mtendaji Mkuu wa Dawasco Mhandisi Cyprian Luhemeja amewahimiza wafanyakazi kuitumia Saccos hiyo kujikomboa kiuchumi na kuondokana na utozwaji mkubwa wa riba kutoka kwa baadhi ya taasisi za fedha, hali inayowaumiza...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanasiasa lawamani kuua Saccos

>Mameneja wa Vyama vya Kuweka na Kukopa (Saccos) nchini, wamesema kuwa wanasiasa ndiyo wanaoua vyama hivyo kwa kuingiza wanachama wasiofuata taratibu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani