NSSF yazikopesha Saccos Bil. 29/-
WANANCHAMA 3,341 wa vyama vya kuweka na kukopa (Saccos) wamenufaika na mikopo yenye thamani ya sh bilioni 29.9 kutoka Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF). Hayo yalielezwa bungeni jana na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 May
Saccos nchini kunufaika na mikopo ya NSSF
11 years ago
Mwananchi22 Jan
NSSF yapokea maombi ya Sh1 bilioni kutoka Saccos mkoani Mtwara
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
NSSF CUP Jambo Leo wakimbia uwanja, Baada ya kuchapwa 3-0 na NSSF

Wachezaji wa Jambo Leo mpira wa miguu (wenye jezi rangi nyekundu) wakitoka uwanjani mara baada ya kufungwa goli la 3 na kususia mchezo huo kwa madai uwanja umeharibika kwa kujaa maji. Mchezo huo ulivunjika katika dakika 69.

Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani huku wakipongezana mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na timu ya Jambo Leo. NSSF walipewa ushindi wa magoli 3-0. Baada ya Timu ya Jambo Leo kukimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69...
10 years ago
Michuzi22 Mar
NSSF MEDIA CUP: Jambo Leo watia mpira kwapani Baada ya kuchapwa 3-0 na NSSF


5 years ago
CCM BlogWAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI
Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma
WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...
11 years ago
TheCitizen21 Mar
Morogoro gets 192 Saccos
11 years ago
Tanzania Daima13 Sep
Wanahabari waanzisha Saccos
KLABU ya waandishi wa habari mkoani hapa imekamilisha hatua muhimu katika kuanzisha chama cha kuweka na kukopa kwa wanahabari na wadau wao kitakachojulikana kama Mtwara Media Saccos. Mwenyekiti wa klabu...
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Saccos zilizolala zaonywa
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Vicoba washauriwa kujiunga na Saccos