Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umuhimu wa watoto kufunga Ramadhani

familia za Kiislamu huona upo umuhimu kufundisha Watoto maadili ya dini

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

PENNY: MSINISHANGAE KUFUNGA RAMADHANI

Na Deogratius Mongela MMTANGAZAJI wa Redio  EFM aliyewahi kuanguka kimahaba na Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Penniel Mungilwa ‘Penny’ amewafungukia wanaomshangaa kuhusu kufunga mwezi wa Ramadhani na kuwataka watu hao wasimshangae kuhusiana na jambo hilo. Mtangazaji wa Redio  EFM,Penniel Mungilwa ‘Penny’a Akifafanua ishu hiyo mbele ya mwandishi wetu, staa huyo alisema...

 

11 years ago

Dewji Blog

Taasisi ya Chakula na Lishe yaelezea umuhimu wa vitamini A watoto

1

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Dkt. Elifatio Towo (Katikati) akieleza umuhimu wa vitamini A, Kushoto ni Afisa Lishe Mwandamizi Bi. Neema Joshua na kulia ni Afisa Mtafiti wa Sayansi ya Chakula Bi. Wessy Meghji.

2

Afisa Mtafiti wa Sayansi ya Chakula na Lishe Wessy Meghji akionesha aina ya vyakula ambavyo vinaongeza vitamini A, kushoto ni Elifatio Towo Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe.

Upungufu wa vitamini na madini ni mojawapo ya matatizo...

 

10 years ago

Michuzi

Umuhimu wa kudhibiti matumizi ya vyombo vya elektroniki kwa watoto na vijana


Zaidi ya asilimia 60 ya watoto wenye umri wa miaka 13 hadi 17 wanatumia zaidi ya masaa mawili kila siku kuangalia mitandao ya kijamii pamoja na vipindi mbalimbali vya Televisheni. Hii inaweza kuwa njia kubwa ya kuunganisha, lakini pia kuna hatari zinazohusiana na kutumia muda mwingi sana kwenye vyombo vya habari kijamii.
Leo hii ni nadra kukuta familia ambazo watoto na vijana wake hawajaathirika na vyombo vya habari na elektroniki kama vile televisheni, intaneti na michezo mingine tofauti...

 

5 years ago

Michuzi

MWENYEKITI NGOME YA WANAWAKE ACT WAZALENDO AWAKUMBUSHA AKINA MAMA UMUHIMU WA KUWALINDA WATOTO WASIPATE VIRUSI VYA CORONA

Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
MWENYEKITI wa Ngome ya Wanawake wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa Mkiwa Kimwanga ameikumbusha jamii na hasa ya wanawake wote nchini kuhakikisha wanawalinda watoto na ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na virusi vya Corona.
Pia amesema wanaunga mkono tamko ambalo limetolewa na Kiongozi wa Chama hicho Zitto Kabwe kwa hatua ya kumuandikia barua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.John Magufuli kwa kushauri Watanzania kuwa wamoja na kuchukua tahadhari...

 

9 years ago

Dewji Blog

CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza

magufuli3

Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha  ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).

CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.

Kufunga Kampeni

CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo.  Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...

 

11 years ago

Michuzi

Hilali ya Ramadhani

Hilali ya Ramadhani - First view of the First Crescent with Jupiter to its left top right corner as seen in Dar es salaam. Picture by N. T. Jiwaji

 

10 years ago

Mwananchi

Ramadhani Karimu

Bismillahi Muweza, namkarimu Mgeni, Mgeni wa kupendeza, Mtukufu Ramadhani, Thawabu amezijaza, tupokee waumini, Karibu mwezi wa Toba, Mtukufu Ramadhani

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ramadhani yambadili Madee

KIONGOZI wa kundi la Tip Top Connection lenye maskani yake Manzese jijini Dar es Salaam, Ahmad Ally ‘Madee’ amewataka Waislamu wote kufunga mwezi huu mtukufu wa Ramadhani na wajiepushe na...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Ramadhani Joins Ikulu Race


IPPmedia
Ramadhani Joins Ikulu Race
AllAfrica.com
Dodoma — Retired Chief Justice and current President of the African Court on Human and People's Right (AFCHPR), Justice Augustino Ramadhani, collected the presidential nomination form, affirming his capability to take over the post as the number of ...
Former CJ out to vie for presidencyIPPmedia

all 3

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani