Umuhimu wa watoto kufunga Ramadhani
familia za Kiislamu huona upo umuhimu kufundisha Watoto maadili ya dini
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*whl3J3XpWTu-d304okcfzNrUMxp8uWYfqt7tEk869BF2k0m5it-3qFz1nqR57l34PLHq*c5TIoo81AqhCuN5Gp0UXX3y8s-/penny.jpg)
PENNY: MSINISHANGAE KUFUNGA RAMADHANI
11 years ago
Dewji Blog04 Jun
Taasisi ya Chakula na Lishe yaelezea umuhimu wa vitamini A watoto
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Dkt. Elifatio Towo (Katikati) akieleza umuhimu wa vitamini A, Kushoto ni Afisa Lishe Mwandamizi Bi. Neema Joshua na kulia ni Afisa Mtafiti wa Sayansi ya Chakula Bi. Wessy Meghji.
Afisa Mtafiti wa Sayansi ya Chakula na Lishe Wessy Meghji akionesha aina ya vyakula ambavyo vinaongeza vitamini A, kushoto ni Elifatio Towo Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe.
Upungufu wa vitamini na madini ni mojawapo ya matatizo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9vlo4bVhdHw/VSzH-zCXbRI/AAAAAAAHRC8/Lebko5qFOyE/s72-c/stock-photo-computer-mobility-internet-communication-and-cloud-computing-concept-white-laptop-with-cloud-of-133005893.jpg)
Umuhimu wa kudhibiti matumizi ya vyombo vya elektroniki kwa watoto na vijana
![](http://3.bp.blogspot.com/-9vlo4bVhdHw/VSzH-zCXbRI/AAAAAAAHRC8/Lebko5qFOyE/s1600/stock-photo-computer-mobility-internet-communication-and-cloud-computing-concept-white-laptop-with-cloud-of-133005893.jpg)
Zaidi ya asilimia 60 ya watoto wenye umri wa miaka 13 hadi 17 wanatumia zaidi ya masaa mawili kila siku kuangalia mitandao ya kijamii pamoja na vipindi mbalimbali vya Televisheni. Hii inaweza kuwa njia kubwa ya kuunganisha, lakini pia kuna hatari zinazohusiana na kutumia muda mwingi sana kwenye vyombo vya habari kijamii.
Leo hii ni nadra kukuta familia ambazo watoto na vijana wake hawajaathirika na vyombo vya habari na elektroniki kama vile televisheni, intaneti na michezo mingine tofauti...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Vckr9tgeweQ/XoHhXRe3I2I/AAAAAAALlhw/HL7-50BuG8cbnrfecfhJVq7YS6no4mY8wCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
MWENYEKITI NGOME YA WANAWAKE ACT WAZALENDO AWAKUMBUSHA AKINA MAMA UMUHIMU WA KUWALINDA WATOTO WASIPATE VIRUSI VYA CORONA
MWENYEKITI wa Ngome ya Wanawake wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa Mkiwa Kimwanga ameikumbusha jamii na hasa ya wanawake wote nchini kuhakikisha wanawalinda watoto na ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na virusi vya Corona.
Pia amesema wanaunga mkono tamko ambalo limetolewa na Kiongozi wa Chama hicho Zitto Kabwe kwa hatua ya kumuandikia barua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.John Magufuli kwa kushauri Watanzania kuwa wamoja na kuchukua tahadhari...
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).
CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.
Kufunga Kampeni
CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...
11 years ago
MichuziHilali ya Ramadhani
10 years ago
Mwananchi13 Jul
Ramadhani Karimu
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
Ramadhani yambadili Madee
KIONGOZI wa kundi la Tip Top Connection lenye maskani yake Manzese jijini Dar es Salaam, Ahmad Ally ‘Madee’ amewataka Waislamu wote kufunga mwezi huu mtukufu wa Ramadhani na wajiepushe na...
10 years ago
AllAfrica.Com18 Jun
Ramadhani Joins Ikulu Race
IPPmedia
AllAfrica.com
Dodoma — Retired Chief Justice and current President of the African Court on Human and People's Right (AFCHPR), Justice Augustino Ramadhani, collected the presidential nomination form, affirming his capability to take over the post as the number of ...
Former CJ out to vie for presidencyIPPmedia
all 3