UN TANZANIA YAZINDUA RIPOTI YA TEKNOLOJIA NA UBUNIFU 2015,
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez akizungumza wakati wa uzinduzi wa ripoti ya mwaka 2015 inayohusu Teknolojia na Ubunifu, ambayo imetolewa na shirika la Umoja wa Mataifa la linaloshughulikia Biashara na Maendeleo (UNCTAD).
Na Rabi Hume.
Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa (UN) nchini, Alvaro Rodriguez amezitaka serikali za nchi za Afrika ikiwemo serikali ya Tanzania kutekeleza vyema sera ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog18 Dec
UN Tanzania yazindua ripoti ya Teknolojia na Ubunifu 2015, nchi za Afrika hali si nzuri
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez (katikati) akiongozana na Naibu Mkurugenzi wa Utawala, Mipango na Fedha wa Chu cha Diplomasia, Bw. Bernard Achiula (suti nyeusi) mara baada ya kuwasili wakielekea kwenye ukumbi wa mikutano wa Mozambique uliopo katika Chuo cha Diplomasia jijini Dar es Salaam.
Naibu Mkurugenzi wa Utawala, Mipango na Fedha wa Chu cha Diplomasia, Bw. Bernard Achiula akitoa neno la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ASrdDd5OxpQ/XqmPuETVc-I/AAAAAAAA36g/LC5VIFmNSQgqJ7X8cXxqDE_fUCENddQEACNcBGAsYHQ/s72-c/LHRC%2B%25282%2529.jpeg)
LHRC YAZINDUA RIPOTI YA HAKI ZA BINADAMU TANZANIA 2019
![](https://1.bp.blogspot.com/-ASrdDd5OxpQ/XqmPuETVc-I/AAAAAAAA36g/LC5VIFmNSQgqJ7X8cXxqDE_fUCENddQEACNcBGAsYHQ/s640/LHRC%2B%25282%2529.jpeg)
Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Anna Henga (katikati) akikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa Ripoti ya Haki za Binadamu Tanzania 2019. Uzinduzi huo uliofanyika leo Aprili 29, 2020 katika ofisi za LHRC jijini Dar es Salaam na wadau kufuatilia kwa njia ya mtandao.
![](https://2.bp.blogspot.com/-GL8HXt4jK94/XqmPuPys-oI/AAAAAAAA36k/ymKRoqSv66MaGb48whLRidCpA2jdDgv7gCNcBGAsYHQ/s640/LHRC%2B%25281%2529.jpeg)
Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Anna Henga (katikati), Afisa Utafiti, Fundikila Wazambi (kushoto) na Mkurugenzi wa Uwajibikaji na Uwezeshaji wa Kituo hicho, Felista Mauya (kulia) wakionesha nakala za Ripoti ya Haki za Binadamu Tanzania...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aQe6gJyu-co/Xm3DhK7kN0I/AAAAAAALjtU/yLV8NsLgUDY3kvG0dNYHf8oxEArcWNbGACLcBGAsYHQ/s72-c/5ea89720-16c0-4695-b7ce-6eb34b67a3d0.jpg)
SERIKALI YASHAURIWA KUONGEZA UWEKEZAJI KATIKA KUENDELEZA SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UBUNIFU
Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe Peter Serukamba wakati wa ziara ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Nelson Mandela...
10 years ago
Dewji Blog24 Jun
JK afungua kongamano la kimataifa la sayansi, teknolojia na ubunifu jijini Dar leo
Rais Jakaya Kikwete akihutubia wakati akifungua Kongamano la nne la Kimataifa la Sayansi, Teknolojia na Ubunifu katika ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Dar es Salaam leo asubuhi.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi inayojishughulisha na Utafiti wa Sayansi ya Jamii (REPOA), Profesa Samuel Wangwe akitoa hutuba mbele ya Rais Jakaya Kikwete wakati wa uzinduzi wa kongamano hilo.
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia, (COSTECH), Dk.Hassan Mshinda akizungumza...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oRRvOVie5Ak/VYvE5Gr3sgI/AAAAAAAHjsg/UeraZIJqVx0/s72-c/IMGL0341.jpg)
JK ALIPOFUNGUA KONGAMANO LA NNE LA SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UBUNIFU JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-oRRvOVie5Ak/VYvE5Gr3sgI/AAAAAAAHjsg/UeraZIJqVx0/s640/IMGL0341.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8BDfz3w-MJA/VYvG6erGEjI/AAAAAAAHjxk/dA_O2U0b5a8/s640/IMGL1813.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IWEt_nklkbY/Vnqc64SnjGI/AAAAAAAAF2M/Qbub-RPmEwg/s72-c/IMG_9436.jpg)
TTCL Yazindua Teknolojia ya 4G LTE
![](http://1.bp.blogspot.com/-IWEt_nklkbY/Vnqc64SnjGI/AAAAAAAAF2M/Qbub-RPmEwg/s640/IMG_9436.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YBxgaAxT0VQ/Vnqc6wwCW_I/AAAAAAAAF2Q/r_jIUHlL4b4/s640/IMG_9412.jpg)
10 years ago
Mwananchi04 Dec
Agra yazindua teknolojia mpya ya uhifadhi mazao
10 years ago
Dewji Blog05 Mar
UN yazindua ripoti ya dawa za kulevya duniani
Afisa habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Stella Vuzo akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na uzinduzi wa ripoti ya Kupambana na dawa za kulevya ya Umoja wa Mataifa. Kulia ni mgeni rasmi Mchambuzi Mkuu wa Mifumo ya Kompyuta wa Tume ya Taifa ya kudhibiti Ukimwi (DCC), January Ntisi na kushoto ni Afisa Habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama.
Na Andrew Chale wa Modewji blog.
Uongozi wa Kituo cha Habari...
10 years ago
VijimamboRAIS JAKAYA KIKWETE AFUNGUA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UBUNIFU UKUMBI WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE JIJINI DAR ES SALAAM LEO