UN YAPONGEZA MKAKATI WA KUELIMISHANA KUHUSU SDGs
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0235.jpg)
Katibu Mkuu Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dk. Abdulhamid Mzee akifungua rasmi warsha ya siku moja ya iliyohusisha wadau mbalimbali wa maendeleo, kuangalia malengo ya programu ya maendeleo endelevu (SDGs), iliyoandaliwa na taasisi ya utafiti wa uchumi na jamii (ESRF) iliyofanyika hivi karibuni visiwani Zanzibar. Kulia kwake ni Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog05 Nov
UN yapongeza mkakati wa kuelimishana kuhusu SDGs
Katibu Mkuu Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dk. Abdulhamid Mzee akifungua rasmi warsha ya siku moja ya iliyohusisha wadau mbalimbali wa maendeleo, kuangalia malengo ya programu ya maendeleo endelevu (SDGs), iliyoandaliwa na taasisi ya utafiti wa uchumi na jamii (ESRF) iliyofanyika hivi karibuni visiwani Zanzibar. Kulia kwake ni Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez na Mkurugenzi wa Idara...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YCzBh2HE6jg/XrLg96VNetI/AAAAAAALpTs/s0drzBeC6hMmGWP8G4jx0w3zuL_RL0ecACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200506-WA0084.jpg)
wananchi watakiwa kuelimishana kuhusu corona.
Na Woinde Shizza,ARUSHA
Chama Cha wafanyabiashara ( TCCIA)Mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na Trade Mark East Africa na TRIAS kimegawa vifaa kinga vyenye thamani ya sh,mil. 4 kwenye masoko matatu katika jiji la Arusha kama njia Moja wapo ya kupambana na maambikizo ya ugonjwa hatari wa Corona na kuunga mkono jitihada za serikali dhidi ya ugonjwa huo.
Akikabidhi vifaa hivyo zikiwemo ndoo za maji ya kutiririka,vitakasa mikono na Barakao ,mwenyekiti wa TCCIA ,Wolter Maeda aliwataka...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_01131.jpg)
WAKUTANA KUJADILI MKAKATI WA MRADI WA KIJIJI CHA DIGITALI
11 years ago
GPLOXFAM YAZINDUA MKAKATI WA KUPUNGUZA ATHARI ZA TABIA NCHI KWA WAKULIMA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q7T2q86GkzVMgKPH5KfW2qNtgOPmGX90YsRKuio1Q7BYKMdgdXbNgAOAfZSOhOVYfFRWz8ziav6Rb8oVEof19TnECdhnjScB/1a1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AZINDUA MPANGO MKAKATI WA KUONGEZA KASI YA KUPUNGUZA VIFO VYA UZAZI, WATOTO
10 years ago
GPLSIMBA SPORT CLUB YAZINDUA MKAKATI UITWAO MABALOZI WA SIMBA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JqcExJ16frM/VQCTJhhpnnI/AAAAAAAHJq0/mMP3IGilYD0/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
Ban ki Moon asifia viongozi walioshirikiana naye katika mkakati wa kimataifa kuhusu vuguvugu la kila mwananamke, kile mtoto
![](http://2.bp.blogspot.com/-JqcExJ16frM/VQCTJhhpnnI/AAAAAAAHJq0/mMP3IGilYD0/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban ki Moon, amesema kama si utashi wa kisiasa, kujituma, na kujitolea kulikofanywa na viongozi mbalimbali aliowaomba kufanya naye kazi kwa karibu huku wengine wakijitolea wenyewe, uhai wa wanawake na...
10 years ago
MichuziBUNGE LAANDAA SEMINA MAALUMU KUHUSU UMUHIMU WA KUWA NA MPANGO MKAKATI WA MAWASILIANO NA NAMNA BORA YA KUPOKEA MAONI YA WADAU WAKATI WA KAMATI ZAKE
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Wafanyakazi Wizara ya Habari waelezea namna wizara yao inavyoweza kufanikisha Mkakati wa Kitaifa kuhusu matumizi ya Kondomu
Afisa Tawala wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Mussa Varisanga akielezea jambo wakati wa kikao cha pamoja na washauri kuhusu masuala ya Kondomu wakati wakijadili Mkatati wa Taifa wa Matumizi ya Kondomu unaoratibiwa na TACAIDS leo jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mshauri wa Kimataifa kutoka Uganda Bw.Moses Muwonge.
Mshauri wa Kimataifa kutoka Uganda Bw.Moses Muwonge akizungumza na baadhi ya maafisa wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo (hawapo pichani) wakati...