Unazitambua changamoto za ndoa? Mume na mke ni lazima watambuane
Siku moja mtaani nilikuta kikundi cha wanaume na wanawake wakibishana kuhusu ndoa. Baadhi yao walikuwa wakisema ndoa ni kitu cha furaha na wengine walisema ndoa siyo kitu cha furaha ila ni wajibu kwa kila binadamu kuingia katika maisha ya ndoa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-l-C7WpxHWJw/VYr7NWmkVGI/AAAAAAAHjn0/HY9ExkXfZEQ/s72-c/african-weddings%2B%25281%2529.jpg)
MAKALA YA SHERIA: KISHERIA ALIYEFUNGA NDOA YA MKE MMOJA HAWEZI KUOA MKE WA PILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-l-C7WpxHWJw/VYr7NWmkVGI/AAAAAAAHjn0/HY9ExkXfZEQ/s640/african-weddings%2B%25281%2529.jpg)
Na Bashir YAkub
Sura ya 29 Sheria ya ndoa imeeleza mambo mengi . Baadhi yanajulikana na baadhi hayajulikani. Wakati mwingine hata baadhi ya yanayojulikana haijulikani kama yameruhusiwa na sheria au yanafanyika kimazoea. Na hapa ndipo inapoibukia migogoro mingi ambayo tunayoshuhudia mahakamani na hata nje ya mahakama. Aidha sheria hii imebeba mambo mengi ya talaka, matunzo ya watoto na mwanamke, jinai za unyanyasaji wa kijinsia, ndoa haramu ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g3fkfqmzjBA/VPN81rBbEBI/AAAAAAAHG0o/--NlsHTonD8/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MKE ASIYE WA NDOA NA MTOTO WA NJE YA NDOA HAWARITHI KISHERIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-g3fkfqmzjBA/VPN81rBbEBI/AAAAAAAHG0o/--NlsHTonD8/s1600/law_5.jpg)
Kumekuwepo na utata mkubwa kuhusu urithi wa mali za marehemu hasa inapotokea kuwa marehemu alikuwa na mke zaidi ya mmoja na hapohapo watoto wanaotokana na mama tofauti. Tumeshashuhudia magomvi makubwa misibani lakini pia tumeshuhudia na tunaendelea kushuhudia utitiri wa mashauri kuhusu mkanganyiko wa mali za marehemu ambaye familia yake ni ya watoto wanatokana na mama tofauti. Kutokana na hayo kuna umuhimu mkubwa wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q3o-n5KIczPxT0vJDVJlJCevk7ZoBvTrdjn7ihRvQtLNjUc9maLADoIsIDHjK-K-3N8fOsJkaHZWOQpfLdJ9P3e/mume.jpg?width=650)
MUME, MKE WATEKWA!
KIJANA aliyetambulika kwa jina la Dickson Mathias (35), na msichana aliyejulikana kwa jina la Mariam Kimaya wanadaiwa kutekwa kwa nyakati tofauti baada ya kufunga ndoa ya siri katika Kanisa la KKT, Tegeta jijini Dar, Mei Mosi, 2012, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi. Mariam Kimaya anayedaiwa kutekwa. Akizungumza na gazeti hili kwa majonzi makubwa, dada wa Dickson, Aneth Mbaga alisema tukio hilo lilitokea baada ya Dickson...
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Mke amkimbia mume kingono
Palikuwa na kituko cha mwaka kilichotukia katika kituo cha polisi bulenga, wakati mwanamke mmoja alipokuwa akiomba poo kwa mumewe.
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
Mume aua mke na kutoweka
MWILI wa mwanamke aliyefamika kwa jina la Ekanga Michael (30), umekutwa korongoni maeneo ya Mwanga Vamia karibu na kambi ya jeshi, Manispaa ya Kigoma Ujiji ikidaiwa kuuawa na mumewe. Akifafanua...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-yZgY*Sei*vk6Lde6Uw0--tXYTmrwd*nTWgE3h*0YmBgquaNMXMcMImevBg5iOBGQXU0VMtTNZ9-65JovJwIpUU/mke.jpg)
MUME, MKE VARANGATI MAHAKAMANI
Stori: Haruni Sanchawa
TIMBWILI! Jamaa mmoja na mkewe ambao wote hawakujulikana majina mara moja wamezua varangati la aina yake mahakamani kisa kikiwa ni kufutiwa kesi na kushindwa kuheshimu amri za maafande. Polisi wakimdhibiti jamaa huyo. Tukio hilo la aina yake lililoshuhudiwa na mwanahabari wetu lilijiri kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar baada ya mume huyo kufutiwa kesi iliyokuwa ikimkabili ya unyayasaji...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouuqv9D4AmId4C-gWj7t6xPLzetpoPOJBmE7KPy9knNLn5nQ07E04hm8XG9kTz79Xi4nxZavCXu4xohd9QX*PEDSO/MUMEcopy.jpg?width=650)
MUME ADAI KUKIMBIWA NA MKE!
Stori: Mayasa Mariwata
Kweli? Jamaa aliyejitambulisha kwa jina la Ally Musa, mkazi wa Moshi mkoani Kilimanjaro anadai kukimbiwa na mkewe aliyemtaja kwa jina moja la Sauda. Bw. Ally Musa anyedai kukimbiwa na mkewe(Sauda). Akizungumza na gazeti hili, mume wa Sauda alisema kwamba, mkewe huyo ambaye alifunga naye pingu za maisha mwaka 2009, siku zote za maisha yao ya ndoa walikuwa wakiishi kwa amani na furaha tele… ...
10 years ago
Mwananchi05 Jun
MUME KWA MKE TAJIRI
UME KWA MKE TAJIRI
Mke akiwa tajiri, mwanamume maskini
Hana uwezo fakiri, mke hatamthamini
Natunga hili shairi, nisemayo naamini
Mume kwa mke tajiri
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*67Uoec4vv1a2K0IP88TwpmSRQv5PZxwGYD8DY5Ss-mfIhAdzc57I1B7WsLSHCXAsGIxYJzMJpSpJXcSmv*WKAwwPst1m7oJ/CHEKANAKITIME.jpg?width=650)
KWA HARUFU ILE NDOA LAZIMA IFE
Jamaa yangu kaja kunitembelea na mimi nilifurahi sana, maana sijaonana naye tangu tulipokuwa shule miaka hiyo. Kwa hiyo tulianza na stori za shule na kukumbuka wale jamaa wenye vituko tuliosoma nao, na kukumbushana vituko vyao. Kadiri muda ulivyokwenda nikagundua kuwa jamaa hana mpango wa kuondoka kwangu, basi nikajitayarisha kisaokolojia kuwa jamaa atalala hapa kwangu, kwa vile nilikuwa na chumba cha wageni haikunisumbua sana....
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania