Undani ajali ya Yanga jana!
![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3Cyl8ia0mVVvoWrtARyo14CBEf4TFQUdTLHq2gezmbhhYkr7JZhMvzCsCU5mIjgZnadWj46IEUT4MWKExpZtg*g/yanga.jpg?width=650)
Na Richard Bukos, Morogoro WACHEZAJI na viongozi wa benchi la ufundi la Yanga, jana walikumbwa na dhoruba baada ya basi lao walilokuwa wakitoka nalo mkoani Morogoro kupata ajali eneo la Mikese mkoani hapa. Basi hilo lilipofika maeneo hayo wakati Yanga ikitoka kusuluhu na Mtibwa juzi, lilijikita nje ya barabara na kulalia upande wa kushoto wakati dereva wa basi hilo akijaribu kulikwepa basi moja lililokuwa likitokea mbele yake....
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Ajali zaua 4,000 mwaka jana
WATU 4,002 nchini wamefariki dunia katika ajali mbalimbali za barabarani zilizotokea mwaka jana. Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Mohammed Mpinga, alisema jana kuwa idadi ya vifo hivyo imeonekana...
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-vHJy8mHNzag/VAmxVZ17zhI/AAAAAAAGe3I/oSCfZkNfuCI/s640/1.jpg)
TASWIRA YA AJALI MUSOMA SIKU YA JANA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdiUKtmWd2GD9rsEyEQOOk*esa95a1XPCJca4ri5RY821xVOXMRij4tNEDZgnRwqMv*AdGbBvo1YJrK9A7IAU2Ds/AJALI.jpg?width=650)
TASWIRA ZA AJALI ILIYOTOKEA KIKATITI JIJINI ARUSHA JANA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2VGrzzXedu130WcHQvjqrWzNntNhYBcnL0-mAckNyVQ752Lg9ZlMBRoEvA0BDrLxBR47bvrAlINtboc0atdQWCZvP4FcpQ3L/IMG20141008WA0010.jpg?width=650)
BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI KILIMANJARO SIKU YA JANA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pM3ABSV3WVX16ma6BpqjFDqhUvlstr2dbfkdYHTSaPkQDbtT119fZPQcfGBv6TSfoiGMSJmwgW-HbNHQtcE9KsvJOL2jkkWv/1ajaliyabasi1.jpg)
TASWIRA ZA AJALI YA BASI LA LUHUYE LILILOUA ZAIDI YA WATU 10 JANA MKOANI MWANZA
10 years ago
GPLYANGA WALIVYOIZIMA JKT RUVU JANA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-IvAjECc7-i0/VU9PXoxQFcI/AAAAAAAHWiw/IW_YN9lzc54/s72-c/IMG_6238.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR AONGOZA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZIKO YA WANA CCM WALIOPATA AJALI JANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-IvAjECc7-i0/VU9PXoxQFcI/AAAAAAAHWiw/IW_YN9lzc54/s640/IMG_6238.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fu40qmPI1f0/VU9PWZSPS-I/AAAAAAAHWio/eD4rG8hFD_U/s640/IMG_6211.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fu40qmPI1f0/VU9PWZSPS-I/AAAAAAAHWio/eD4rG8hFD_U/s72-c/IMG_6211.jpg)
Dkt. Shein aongoza mamia ya waombolezaji kwenye Maziko ya WANA CCM Waliopata ajali jana
![](http://3.bp.blogspot.com/-fu40qmPI1f0/VU9PWZSPS-I/AAAAAAAHWio/eD4rG8hFD_U/s640/IMG_6211.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IvAjECc7-i0/VU9PXoxQFcI/AAAAAAAHWiw/IW_YN9lzc54/s640/IMG_6238.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rM2ET0RD6FE/VDtuJJ7hh_I/AAAAAAAGprE/Jm0dhjWRjHQ/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
latest updates: MAITI ZAIDI ZAPATIKANA ZIWA TANGANYIKA BAADA YA AJALI YA MITUMBWI YA MAHARUSI JANA