Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNDANI STAA WA ISIDINGO...

Marehemu Lesego Motsepe ‘Lettie Matabane’ enzi za uhai wake. Sifael Paul na Mtandao
KIFO cha staa aliyekuwa mwingizaji wa shoo ya runingani ya Isidingo ‘The Need’, Lesego Motsepe ‘Lettie Matabane’ kimeibua vilio kwa ‘Wasauzi’ ikielezwa chanzo ni ugonjwa hatari wa Ukimwi, huu ndiyo undani kamili. Lettie Matabane aliyeaga dunia akiwa na umri wa miaka 40, alikutwa na kaka yake,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

JOKATE: MAPENZI YA STAA KWA STAA MBONA POA TU!

Jokate Mwegelo ‘Kidoti’. Saphyna Mlawa, Dar es Salaam
ANAJULIKANA kwa jina la Jokate Mwegelo ‘Kidoti’, alianza kupata umaarufu kupitia fani ya urembo lakini kwa sasa sauti yake kusikika kwenye Bongo Fleva na kazi zake za urembo ndizo zinamfanya asomeke kwenye vyombo vya habari. Mwanamuziki Ali Kiba. Jokate ambaye alitumia alama iliyopo kwenye uso wake kujipa jina la utani la Kidoti, amezungumza na...

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya kuuwawa kwa risasi kwa staa wa soka wa Honduras, staa mwingine tena kauwawa kwa risasi

Ikiwa ni zaidi ya wiki moja toka mchezaji wa timu ya taifa ya Honduras Arnold Peralta itangazwa kauwawa kwa risasi, December 28 mitandao mingi ya Ulaya imeripoti kifo cha staa mwingine wa soka aliyeuwawa kwa kupigwa risasi. December 27 aliyekuwa mchezaji wa timu ya taifa ya El Salvador Alfred Pacheco ameuawa kwa kupigwa na risasi wakati akiwa […]

The post Baada ya kuuwawa kwa risasi kwa staa wa soka wa Honduras, staa mwingine tena kauwawa kwa risasi appeared first on...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Rajesh’ wa Isidingo aweka rekodi Mlima Kilimanjaro

Mwigizaji maarufu wa tamthilia ya Isidingo The Need, Jack Devnarain maarufu kwa jina la uigizaji la Rajesh Kumar, amefanikiwa kufika kilele cha Uhuru cha Mlima Kilimanjaro.

 

11 years ago

GPL

LETTIE MATABANE: MUIGIZAJI MAARUFU WA ISIDINGO AFARIKI DUNIA LEO! ALIKUWA AKIISHI NA VIRUSI!

Lesego Motsepe (Lettie Matabane), enzi za uhai wake Mwaka 2011 Lettie aliwahi kujitangaza kuwa anaishi…

 

10 years ago

GPL

UNDANI WA PROFESA ALIYECHINJWA

MATUKIO ya ukatili wa kutisha yanazidi kushika kasi kila kona ya nchi,  safari hii hofu imetanda kwa baadhi ya wakazi wa Dar ambapo Profesa maarufu aliyefahamika kwa jina la Joseph Minja, mkazi wa Makonde eneo la Mbezi-Beach anadaiwa kuuawa kwa kuchinjwa kinyama kisha mwili wake kukutwa kwenye  friji , Risasi Jumamosi lina undani kamili. Profesa maarufu anayefahamika kwa jina la Joseph Minja, mkazi wa Makonde eneo la...

 

10 years ago

GPL

UJUE UNDANI WA MEZ B

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva aliyekuwa akiwika na kundi la Chamber Squad, Moses Bushagama ‘Mez B’ amefariki dunia asubuhi ya leo majira ya saa 4:30 mjini Dodoma.Hii imekuwa ni pigo la pili kwa kundi la Chamber Squad kupoteza memba wake baada ya awali kumpoteza Albert Mangweha ‘Ngwear’.Katika makala haya yanauelezea undani wa Mez B mpaka kufikia umauti. Mez B akiwa katika moja ya mahojiano na kituo...

 

11 years ago

GPL

UNDANI MUME KUMCHINJA MKEWE!

JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha linamsaka kwa udi na uvumba, muuza nyama jijini hapa, Lucas Lomayany Molel (37) mkazi wa Ilboru kwa madai ya kumuua mkewe wa ndoa, Agnes Lucas (24) kwa kumcharanga na sime kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kutokana na wivu wa mapenzi. Dada wa Lucas Lomayany Molel (37) anayesakwa kwa kumuua mkewe wa ndoa, Agnes Lucas (24), akiwa katika chumba kilichotumika kwa mauaji hayo. Chanzo cha habari...

 

9 years ago

GPL

UJUE UNDANI WA BIASHARA YA MNADANI!

NI Jumatatu nyingine tena napenda kukukaribisha katika safu hii maalum ya Ujasiriamali. Wiki iliyopita tulizungumzia namna ya kuanzisha biashara ya genge hivyo kuwaamsha walioamini kuwa hawawezi, leo nitazungumza nanyi wasomaji wangu kuhusu biashara ya kuzunguka minadani. MNADA NI NINI? Hii ni sehemu maalum iliyotengwa na sekta husika, wananchi au wanakijiji wa sehemu husika kwa ajili ya wafanyabiashara wa bidhaa tofauti na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani