Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNUNUZI TIKETI MITANDAONI KUDHIBITI CORONA


KATIKA kukabiliana na mambukizi ya virusi vya Corona katika vituo vya mabasi serikali imesema mfumo wa ukatishaji tiketi kwa njia ya mtandao utaanza hivi karibuni kwa mabasi yote yanayofanya safari zake mikoani.
Mbali na mabasi hayo, daladala pamoja na mabasi ya mwendokasi yanatarajiwa (Data center) ambapo mfumo huo utarahisisha huduma na kuondoa adha ya wapiga debe vituoni. 
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano , Mhandishi Isack Kamwele, wakati wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ununuzi tiketi mechi Ligi Kuu kudhibitiwa

ZIKISALIA wiki chache kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu ya soka Tanzania bara, Benki ya CRDB imesema chini ya mfumo mpya wa elektroniki, idadi ya mwisho ya kununua tiketi kwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wakazi 'wanavyotishwa' kudhibiti corona Indonesia

Kijiji kimoja Indonesia chatumia mavazi ya kutisha kuhimiza kukaa mbali na mwengine kwa sababu ya Corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Je, marufuku ya kutotoka nje inaweza kudhibiti Corona Afrika?

Ni muhimu kwa wananchi kuhusishwa katka maamuzi ya marufuku ya kutoka nje, Alex de Waal na Paul Richards wamejadili.

 

5 years ago

BBCSwahili

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Ushahidi wa awali waonesha jinsi inavyoweza kufundisha mfumo wa kinga kudhibiti corona

Majaribio zaid yanatarajiwa kufanyika ili kuthibitisha kama chanjo hiyo inaweza kuzuia maambukizi ya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Picha kabla ya corona zasambaa mitandaoni

Maelfu ya watu watumia mtandao kuweka picha zao walizopiga kabla ya janga la corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona; Wakenya wajirusha mitandaoni kuonyesha matarajio yao

Hii ndio siku ambayo hatua ya kutotoka nje kuanzia saa moja usiku hadi kumi na moja asubuhi inafikia ukomo wake baada ya kuongeza kwa siku 21 zaidi mwezi uliopita.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Dhana potofu mitandaoni zina athari gani kwa watumiaji wa mitandao

Nadharia za uongo zimekuwa zikistawi kupitia mitandao ya kijamii hasa zinazohusu virusi vya corona - nyingi zimekuwa mitandaoni na kuleta athari za kiafya.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI IMEFANIKIWA KUDHIBITI CORONA -WAZIRI UMMY


Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga (CCM) Ummy Mwalimu kushoto akikata utepe wakati wa uzinduzi wa makabidhiano ya vifaa vya Kunawia Mikono kudhibiti ugonjwa wa Covid 19 Mkoa wa Tanga kulia ni Country Director Water Mission Benjamini Filskov .
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga (CCM) Ummy Mwalimu akisisitiza jambo kwa Mganga Mfawidhi wa kituo cha Afya Ngamiani Angelina...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani