UONGOZI WA ARSENAL WAZURU KWA KUENDELEZA SOKA NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-oRxhZ5hFjCU/VL0ayN81wUI/AAAAAAAG-VI/SrcujmD8d6Y/s72-c/DSC_0555.jpg)
Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
Uongozi wa Timu ya Soka ya Arsenal kutoka nchini Uingereza umezuru Tanzania kwa ajili kuhamasisha na kuendeleza soka hapa nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo, Mkurugenzi wa Uhusiano na Maendeleo wa timu hiyo ,Sam Stone amesema kuwa Tanzania ni nchi ya sita kwa ukubwa katika bara la Afrika hivyo watasaidia katika kukuza soka nchini.
Amesema kesho watakuwa na mazungumzo na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-s3ypDAcaq1o/VL_HiWdsUVI/AAAAAAAG-wc/lv83j6e8xXM/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
Mfuko wa Pensheni wa PPF watembelewa na uongozi wa club ya Arsenal kwa lengo la kujitangaza
![](http://2.bp.blogspot.com/-s3ypDAcaq1o/VL_HiWdsUVI/AAAAAAAG-wc/lv83j6e8xXM/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-in0GHYSQNzs/VL_HiFaTL0I/AAAAAAAG-wY/AmNfvypPObs/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
10 years ago
Mwananchi23 Feb
MAONI: TFF iachane na Ligi Kuu, ijikite kuendeleza soka
11 years ago
Michuzi19 Apr
11 years ago
BBCSwahili24 Dec
Arsenal yapoteza uongozi wa ligi
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rQEdWxaaOA8/U-DMARLPYOI/AAAAAAAAFzI/c6EMAO41Yno/s72-c/IMG_2763.jpg)
JUHUDI ZA UONGOZI WA MKOA WA RUKWA KUENDELEZA UTALII WA MAPOROMOKO YA KALAMBO (KALAMBO FALLS) ZAENDELEA
![](http://2.bp.blogspot.com/-rQEdWxaaOA8/U-DMARLPYOI/AAAAAAAAFzI/c6EMAO41Yno/s1600/IMG_2763.jpg)
Zipo jitihada kadhaa zilizokwishafanywa na uongozi wa Mkoa wa Rukwa ukiongozwa na Mkuu wa Mkoa huo Eng. Stella Manyanya katika...
11 years ago
Dewji Blog21 May
AzamTV yaja na Kwetu House (search for the Ultimate Fun) kwa mashabiki wa Soka nchini
AzamTV wamezindua mashindano yatakayowahusisha wapenzi wa kandanda yatakayojulikana kama KWETU HOUSE. Mashindano haya ambayo ni mara ya kwanza Tanzania yatashirikisha wapenzi na mashabiki wa mpira wa miguu ambapo watu kumi wa 10 wa timu mbalimbali watachaguliwa na kuishi katika nyumba moja kwa muda wa siku 3 wakionyesha ni jinsi gani wao ni mashabiki namba mmoja kwa timu zao .
Akizindua mashindano hayo, Mkurugenzi mtendaji wa AzamTV, bwana Rhys Torrington alisema: Lengo kuu la kufanya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CNrdSSxCSno/Uu4bYDGmaWI/AAAAAAAFKQk/_Z9Fg4VKS_w/s72-c/unnamed+(10).jpg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA NCHINI AHUDHURIA SHEREHE ZA KUKABIDHIWA MADARAKA YA UONGOZI KWA KAMISHNA JENERALI MPYA WA MAGEREZA NCHINI NAMIBIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-CNrdSSxCSno/Uu4bYDGmaWI/AAAAAAAFKQk/_Z9Fg4VKS_w/s1600/unnamed+(10).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Serikali kuendeleza viwanda nchini
SERIKALI imeahidi itaendelea kusaidia sekta ya viwanda, hususani vya ndani kwa kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji, ili kuhakikisha vinasaidia kutoa mchango katika kukuza uchumi na maendeleo ya jamii. Akizumgumza katika...
10 years ago
MichuziBENKI YA RASILIMALI NCHINI (TIB) YAKABIDHI MICHORO HALISI YA KITUO CHA MABASI KWA UONGOZI WA MANISPAA YA MOSHI.