Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Arsenal yapoteza uongozi wa ligi

Baada ya kutoka sare ya kutofungana bao lolote na Chelsea siku ya Jumatatu katika uwanja wa Emirates

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

UONGOZI WA ARSENAL WAZURU KWA KUENDELEZA SOKA NCHINI

 Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
Uongozi  wa Timu ya Soka ya Arsenal kutoka nchini Uingereza umezuru Tanzania kwa ajili kuhamasisha na kuendeleza soka hapa nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo, Mkurugenzi wa Uhusiano na Maendeleo wa timu  hiyo ,Sam Stone amesema kuwa Tanzania ni  nchi ya sita kwa ukubwa katika bara la Afrika hivyo watasaidia katika kukuza soka nchini.
Amesema kesho watakuwa na mazungumzo na Rais wa Shirikisho la  Mpira wa Miguu nchini...

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal warejea juu ya Ligi

Klabu ya Arsenal imerejea juu katika jedwali la ligi kuu ya Premier baada ya ushindi wao wa mabao 2-0 dhidi ya Crystal Palace

 

9 years ago

Global Publishers

Arsenal yaongoza Ligi, yaichapa Bournemouth

Mshambuliaji wa Arsenal, Mesut Ozil,  akifunga bao la pili katika dakika ya  63 dhidi ya Bournemouth Uwanja wa Emirates, London.

The German celebrates after his goal confirmed Arsenal would return to the top of the Premier League table

Mesut Ozil  akishangilia baada ya kufunga.Gabriel celebrates after giving Arsenal the lead against Bournemouth at the Emirates Stadium 27 minutes into the first half

 Gabriel (kulia) akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 27 kipindi cha kwanza dhidi ya  Bournemouth.

England international Theo Walcott sees his effort on goal well saved by Boruc as Arsenal enjoyed the better of the opening 45 minutes

  Theo Walcott  (wa pili kulia) katika moja ya mashambulizi yake kipindi cha kwanza.

Alex Oxlade-Chamberlain meets the ball with his head in a crowded penalty area during a positive opening period for the home side

 Alex Oxlade-Chamberlain (kushoto) akipiga mpira kwa kichwa.

ARSENAL...

 

11 years ago

StarTV

Ligi ya Uingereza, Chelsea yaitandika Arsenal 2-0.

Katika ligi kuu ya England jana mamilioni ya wapenda soka duniani waliokuwa wakishuhudia mtanange kati ya Chelsea na Arsenal walishuhudia Chelsea wakiibuka kidedea kwa jumla ya mabao 2-0 yakifungwa na Eden Hazard katika dakika ya 27 kwa njia ya penalti na dakika ya 78 likifungwa na Diego Costa mwenye magoli tisa katika mechi saba alizocheza katika ligi kuu hiyo ya primier.

 

 
Pamoja na mchuano uwanjani hapo lakini nao makocha wa timu hizo Jose Mourinho wa Chelsea na Arsene Wenger wa Arsenal...

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal watesa ligi kuu England

Timu ya Arsenal imeendelea kuongoza ligi kuu ya England hadi sasa

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yapeta Ligi Kuu England

Timu ya Arsenal yazidi kuongoza ligi kuu ya England ikiwa imeingia mzunguko wa 20

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal, Liverpool hapatoshi ligi kuu

Arsenal na Liverpool zinapambana leo katika mchezo wa ligi kuu ya England

 

10 years ago

Michuzi

Mfuko wa Pensheni wa PPF watembelewa na uongozi wa club ya Arsenal kwa lengo la kujitangaza

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF ndugu William Erio (katikati) akipokea jezi ya timu ya Arsenal kutoka kwa Mkurugenzi wa Mahusiano ya Kimaendeleo ya Arsenal Bwana Sam Stone (kulia). Kushoto ni Meneja wa Mahusiano ya Kimaendeleo ya Arsenal Bwana Daniel Willey.Lengo la ziara hiyo ni kuanzisha mahusiano kati ya PPF na Club ya Arsernal kwa kuendelea kujenga imani kwa wateja wao na kuendelea kujitangaza. Uongozi wa club ya Arsenal ukipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi mkuu wa Mfuko wa...

 

11 years ago

GPL

ARSENAL WAKIJIANDAA NA LIGI YA MABINGWA SIKU YA KESHO

Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger, akiongea na wachezaji wake leo wakijiandaa na mchezo wa marudiano wa mchujo Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Beskitas utakapigwa kesho . Jack Wilshere akiwaongoza wachezaji wenzake leo katika mazoezi.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani