Arsenal warejea juu ya Ligi
Klabu ya Arsenal imerejea juu katika jedwali la ligi kuu ya Premier baada ya ushindi wao wa mabao 2-0 dhidi ya Crystal Palace
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Jan
Southampton kumaliza juu ya Arsenal
11 years ago
BBCSwahili24 Dec
Arsenal yapoteza uongozi wa ligi
10 years ago
StarTV06 Oct
Ligi ya Uingereza, Chelsea yaitandika Arsenal 2-0.
Katika ligi kuu ya England jana mamilioni ya wapenda soka duniani waliokuwa wakishuhudia mtanange kati ya Chelsea na Arsenal walishuhudia Chelsea wakiibuka kidedea kwa jumla ya mabao 2-0 yakifungwa na Eden Hazard katika dakika ya 27 kwa njia ya penalti na dakika ya 78 likifungwa na Diego Costa mwenye magoli tisa katika mechi saba alizocheza katika ligi kuu hiyo ya primier.
Pamoja na mchuano uwanjani hapo lakini nao makocha wa timu hizo Jose Mourinho wa Chelsea na Arsene Wenger wa Arsenal...
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
Arsenal yapeta Ligi Kuu England
11 years ago
BBCSwahili08 Feb
Arsenal, Liverpool hapatoshi ligi kuu
11 years ago
BBCSwahili31 Dec
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Arsenal yaongoza Ligi, yaichapa Bournemouth
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/12/28/18/2FA7ED3D00000578-0-image-a-47_1451329088161.jpg)
Mshambuliaji wa Arsenal, Mesut Ozil, akifunga bao la pili katika dakika ya 63 dhidi ya Bournemouth Uwanja wa Emirates, London.
![The German celebrates after his goal confirmed Arsenal would return to the top of the Premier League table](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/12/28/18/2FA7EB4900000578-0-image-a-46_1451328946823.jpg)
Mesut Ozil akishangilia baada ya kufunga.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/12/28/18/2FA7E48F00000578-0-image-m-36_1451328275086.jpg)
ARSENAL...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oncLOIv1tO69NUWO365Uw5uKqUsIQzIahb-5jr9Qo4J-LmosFq7vZ8FYsoZFfppVYR*rBGJ9rboBCj2-SHWWN9LlbLdDaj0U/arsenal.jpg?width=650)
ARSENAL YAREJEA KILELENI LIGI KUU ENGLAND