Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Arsenal warejea juu ya Ligi

Klabu ya Arsenal imerejea juu katika jedwali la ligi kuu ya Premier baada ya ushindi wao wa mabao 2-0 dhidi ya Crystal Palace

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Southampton kumaliza juu ya Arsenal

Meneja wa kilabu ya Southampton Ronald Koeman anaamini kuwa kikosi chake kinaweza kumaliza msimu huu wa ligi kikiwa juu ya Arsenal

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yapoteza uongozi wa ligi

Baada ya kutoka sare ya kutofungana bao lolote na Chelsea siku ya Jumatatu katika uwanja wa Emirates

 

10 years ago

StarTV

Ligi ya Uingereza, Chelsea yaitandika Arsenal 2-0.

Katika ligi kuu ya England jana mamilioni ya wapenda soka duniani waliokuwa wakishuhudia mtanange kati ya Chelsea na Arsenal walishuhudia Chelsea wakiibuka kidedea kwa jumla ya mabao 2-0 yakifungwa na Eden Hazard katika dakika ya 27 kwa njia ya penalti na dakika ya 78 likifungwa na Diego Costa mwenye magoli tisa katika mechi saba alizocheza katika ligi kuu hiyo ya primier.

 

 
Pamoja na mchuano uwanjani hapo lakini nao makocha wa timu hizo Jose Mourinho wa Chelsea na Arsene Wenger wa Arsenal...

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yapeta Ligi Kuu England

Timu ya Arsenal yazidi kuongoza ligi kuu ya England ikiwa imeingia mzunguko wa 20

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal, Liverpool hapatoshi ligi kuu

Arsenal na Liverpool zinapambana leo katika mchezo wa ligi kuu ya England

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal watesa ligi kuu England

Timu ya Arsenal imeendelea kuongoza ligi kuu ya England hadi sasa

 

9 years ago

Global Publishers

Arsenal yaongoza Ligi, yaichapa Bournemouth

Mshambuliaji wa Arsenal, Mesut Ozil,  akifunga bao la pili katika dakika ya  63 dhidi ya Bournemouth Uwanja wa Emirates, London.

The German celebrates after his goal confirmed Arsenal would return to the top of the Premier League table

Mesut Ozil  akishangilia baada ya kufunga.Gabriel celebrates after giving Arsenal the lead against Bournemouth at the Emirates Stadium 27 minutes into the first half

 Gabriel (kulia) akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 27 kipindi cha kwanza dhidi ya  Bournemouth.

England international Theo Walcott sees his effort on goal well saved by Boruc as Arsenal enjoyed the better of the opening 45 minutes

  Theo Walcott  (wa pili kulia) katika moja ya mashambulizi yake kipindi cha kwanza.

Alex Oxlade-Chamberlain meets the ball with his head in a crowded penalty area during a positive opening period for the home side

 Alex Oxlade-Chamberlain (kushoto) akipiga mpira kwa kichwa.

ARSENAL...

 

11 years ago

GPL

ARSENAL YAREJEA KILELENI LIGI KUU ENGLAND

Ligi Kuu ya England mwaka huu ni shughuli pevu.
Jumamosi, Chelsea alikuwa kileleni, Jumapili, Manchester City na sasa ni Arsenal. Kiasi cha pointi mbili tu kinazitenganisha timu tatu za juu. Kikosi cha Arsene Wenger kimerejea kileleni kufuatia ushindi wa mabao 2-1 ugenini usiku wa kuamkia leo dhidi ya Aston Villa. Jack Wilshere alifunga dakika ya 34 na Olivier Giroud akafunga la pili dakika ya 35 Arsenal ikaongoza 2-0 kabla ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani