Upitishaji Bidhaa Njia Za Panya Changamoto ya ukaguzi wa chakula na dawa
Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini TFDA imekiri kuwapo na changamoto ya ukaguzi wa bidhaa bandia na zilizokwisha muda wa matumizi kutokana na wafanyabishara wa aina hiyo kushusha bidhaa kwa kutumia njia za panya katika mipaka ya nchi na bandari zisizo rasmi.
Ni kauli ya mkurugenzi Mkuu wa TFDA mkoani Mtwara Hiiti Sillo katika mahojiano maalum na Star Tv.
Kwa kiasi kikubwa Baadhi ya wafanyabiashara za magendo wanatumia njia za Panya zilizopo mipakani mwa nchi kuingiza bidhaa feki na...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QKBORAO-k1s/VB57WgQK-YI/AAAAAAAGk0c/3oaPKi_Vi4U/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
Mamlaka ya chakula na dawa yateketeza bidhaa mbovu kibao mkoani kigoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-QKBORAO-k1s/VB57WgQK-YI/AAAAAAAGk0c/3oaPKi_Vi4U/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-v0M3rE7uzSE/VB57W-vMeoI/AAAAAAAGk0g/tB_4O9j_u-g/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-y9Z2_PuR3Y8/VB57WxfC3PI/AAAAAAAGk0k/Hrf6vp2nVxM/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
9 years ago
MichuziBODI YA CHAKULA, DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAANGAMIZA KONTENA TANO ZA BIDHAA ZILIZOHARIBIKA.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-XqMvbPM0ix0/VO38l5BD64I/AAAAAAABmco/T46rg_vBm7E/s72-c/BODI%2B2.jpg)
BODI YA CHAKULA, DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAANGAMIZA TANI 8.5 ZA DAWA NA VYAKULA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-XqMvbPM0ix0/VO38l5BD64I/AAAAAAABmco/T46rg_vBm7E/s640/BODI%2B2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jhjeV0C3F9k/VO381AjrVKI/AAAAAAABmcw/e8GqpRWckLg/s640/BODI%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TRi-8a7wuKA/VO3-36wLcZI/AAAAAAABmc8/-JA_3B0L1Qc/s640/0236.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Sn-d_NPBFf0/U4YIRbmRlmI/AAAAAAAFl4k/JRO_gTESB8A/s72-c/TRA1a.jpg)
Zoezi la ukaguzi wa Stempu kwenye bidhaa za Filamu latikisa Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-Sn-d_NPBFf0/U4YIRbmRlmI/AAAAAAAFl4k/JRO_gTESB8A/s1600/TRA1a.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CSD6x2gL9Uw/U4YIay42r_I/AAAAAAAFl40/I1dRHsLMv3A/s1600/TRA2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-aGjFf09I1M4/VMK1F2VwtYI/AAAAAAAABNU/dSGC9e87jKI/s72-c/TFDA.jpg)
Mamlaka ya chakula na dawa nchini (Tanzania) yafuta usajili wa dawa aina Tano za binadamu - Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-aGjFf09I1M4/VMK1F2VwtYI/AAAAAAAABNU/dSGC9e87jKI/s1600/TFDA.jpg)
Mamlaka ya chakula na dawa nchini TFDA imefuta usajili wa dawa za binadamu aina Tano na kuamuru ziondolewe sokoni na vituo vyote vya kutolea huduma za afya mchini kote mara moja kutokana na kubainika kuwa na viambata vinavyosababisha maradhi sugu ikiwemo kiharusi, na wakati mwingine kusababisha vifo.
Dawa zinazotajwa kufutiwa usajiri na kuzuia uingizwaji kuwa ni pamoja na dawa za kutibu maralia ya maji na vidonge aina ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-J0Jox4OFFSk/VL5l9jg-o9I/AAAAAAAG-fg/hJ50pEzpMs8/s72-c/DSC_0211.jpg)
NJIA ZA "PANYA" ZA SUKARI ZINAUA VIWANDA VYA NDANI - ZITTO KABWE
![](http://3.bp.blogspot.com/-J0Jox4OFFSk/VL5l9jg-o9I/AAAAAAAG-fg/hJ50pEzpMs8/s1600/DSC_0211.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4QY98YZDOUE/VL5l_0aR6YI/AAAAAAAG-fo/q1MPNOR8BWs/s1600/DSC_0239.jpg)
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Ajira na mazingira yasiyo na dawa za kulevya huua Panya Road
Nayakumbuka sana yale majadiliano tuliokuwa nayo miaka ile ya shule za msingi na sekondari katika juhudi za walimu kutufanya tujue Kiingereza. Moja ya mada ninayokumbuka ni ‘town life is better than village life’, yaani maisha ya mjini ni bora kuliko yale ya kijijini. Sikumbuki mimi nilikuwa napendelea upande upi kati ya maisha ya mjini au kijijini.
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Je unawezaje kununua chakula na bidhaa madukani kwa usalama?
Wataalamu wanatoa ushauri kuhusu namna unavyoweza kuepuka maambukizi ya virusi vya corona unaponunua chakula.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania