USHABIKI WA LOWASSA MPAKA UGHAIBUNI
![](https://lh6.googleusercontent.com/-h6Vo4BIKz5g/VRm3a0et97I/AAAAAAADeBk/XVXJbcqX_V8/s72-c/blogger-image-397903885.jpg)
Frank Mutafungwa kiongozi wa team lowassa Houston Texas
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-cnaPR3ndVtI/Vcy9B_00MnI/AAAAAAAAJn4/-wQ-05rAPmc/s72-c/Lowassa4.jpg)
Kilichofanyika mpaka Lowassa akatua CHADEMA na kufuta ndoto ya Dk. Slaa
![](http://3.bp.blogspot.com/-cnaPR3ndVtI/Vcy9B_00MnI/AAAAAAAAJn4/-wQ-05rAPmc/s1600/Lowassa4.jpg)
Ni mazungumzo hayo ya Julai 10, ndiyo hatimaye yalimfikisha Waziri Mkuu huyo wa kwanza wa serikali ya Awamu ya Nne kwenye uamuzi wa kujiunga na Chadema mnamo Julai 28 mwaka huu,...
9 years ago
StarTV09 Oct
Lowassa asema hana shaka na elimu ya bure mpaka chuo kikuu.
Mgombea wa Urais kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA,anayewakilisha pia vyama vya siasa vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi UKAWA Edward Lowasa, amesema hana shaka juu ya mpango wake wa kutoa elimu ya bure kuanzia gazi ya awali hadi chuo kikuu, kwakuwa rasilimali zilizopo nchini ninajitosheleza kuwahudumia wananchi.
Lowasa amewekea mkazo mpango wake huo katika mkutano wake wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya Sinoni Mkoani Arusha, ambapo amesema ikiwa atachaguliwa kuwa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-h1CirQJksx0/VdsB_prjcrI/AAAAAAAAt04/vD4Z3md0MGA/s72-c/MMGL1447.jpg)
LOWASSA APANDA DALADALA KUTOKA GONGO LA MBOTO MPAKA PUGU KAJIUNGENI JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-h1CirQJksx0/VdsB_prjcrI/AAAAAAAAt04/vD4Z3md0MGA/s640/MMGL1447.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Tuache ushabiki mchakato wa katiba
KATIBA ni kila kitu katika kuhakikisha ufanisi wa kisiasa, kiuchumi, kielimu, kiuzalishaji, kiafya, kiutunzaji mazingira na mengine yote yanayohusu ndoto na matarajio ya wanajamii. Kwa mujibu wa Montesquieu (Cohler na...
10 years ago
Habarileo26 Mar
‘Wekeni kando ushabiki wa kisiasa’
WAKAZI wa Moshi Vijijini wametakiwa kuweka ushabiki wa kisiasa kando na badala yake kuangalia maslahi yao ili waweze kupiga hatua za maendeleo kwa haraka.
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Washauriwa kuacha ushabiki wa kisiasa
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Said Arfi, amewataka wajumbe kujadili kwa umakini sura ya kwanza na sura ya sita bila kuingiza ushabiki wa vyama vya siasa. Alitoa kauli hiyo...
10 years ago
GPL![](https://3.bp.blogspot.com/-4SEH525A0PE/VXqDsxkmWXI/AAAAAAAAWcM/jtX9XGvKkK4/s640/NJ2.jpg)
MAKAMBA: TUEPUKE USHABIKI NA KUCHAFUANA
9 years ago
Bongo Movies01 Nov
JB: Sitaki Watu Wenye Ushabiki wa Kijinga…
Staa wa bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ ambaye alikuwa ni moja ya wasanii wa bongo movies ambao walikuwa wakikipigia kampeni chama cha mapinduzi (CCM) kwenye uchaguzi uliyopita, amewafungukia baadhi ya mashabiki kwenye ukurasa wake wa Instagram ambao wamekuwa wakiendeleza siasa hadi kwenye kazi yake ya sanaa.
Narudia kwa mara ya mwisho kwenye acc yangu sitaki watu wenye ushabiki wa kijinga....sitaki matusi...hivi unaposema tutaburn cd hatununui tena unafikiri unanikomoa mimi peke...
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Wabunge wasijadili Bajeti kwa ushabiki