Ushahidi kuwa Kiswahili ni lugha ya Kibantu
Huu ni mwendelezo wa mada kuhusu asili ya lugha ya Kiswahili. Moja ya madai ya wasomi ni kuwa lugha hii ina asili ya Kibantu na ndiyo mtazamo unaoshikiliwa na wasomi wengi wa lugha.Kuna vigezo vingi vinavyotumiwa na wataalamu kuthibitisha dai hili. Moja ya vigezo hivyo ni kile cha kiisimu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
Mtembea peku ashinikiza Kiswahili kuwa lugha ya kufundishia
MJADALA wa lugha ya kuundishia umejadiliwa kwa kirefu katika ngazi zote za elimu na taasisi zake, wataalamu wa lugha, wahadhiri na walimu katika ngazi ya msingi na sekondari wanajadili na mwafaka haujapatikana.
Richard Ricardo maarufu Father Pekupeku kutokana na tabia yake ya kutovaa viatu naye anaishawishi serikali kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi iridhie Kiswaili kuwa lugha ya kufundishia kama yalivyo mataifa mengine yanavyotumia lugha zao za taifa katika elimu.
Huyu...
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Katiba Mpya iwezeshe Kiswahili kuwa lugha rasmi ya mawasiliano kitaifa
10 years ago
VijimamboDARASA LA KISWAHILI DMV KUWAKILISHA LUGHA YA KISWAHILI KATIKA SIKU YA MAONYESHO YA WHITE OAK CENTER
240-777-6940FAX 240-777-6941
KUTAKUWA NA NA MOON BOUNCE,FIRE MAN,FIRE TRUCKS, CLOWNS, ICE CREAM ,HOT DOGS,PIZZA,COTTON CANDY, NA MENGINE MINGINE .
KIINGILIO BUREEEEE
![](http://www.columbiaengineering.com/Lists/Photos/Community/White%20Oak%20Community%20Center.jpg)
10 years ago
Mwananchi06 Jun
Kuthamini lugha lugha ya Kiswahili
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Lugha sanifu ya Kiswahili.
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Utafiti wa Lugha ya Kiswahili
9 years ago
Mwananchi23 Nov
Uchambuzi wa lugha ya Kiswahili
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Ukuzaji wa Lugha ya Kiswahili
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Nadharia za asili ya lugha ya Kiswahili