Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Usher na Kanye West kutingisha BET Awards 2015

Leo ni siku ambayo litarekodiwa tukio la nane la kihistoria la kutunza wanamuziki ambao mchango wao ni mkubwa katika medani ya muziki wa kizazi kipya duniani, maarufu kwa jina la BET Music Awards.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Africanjam.Com

NOMINEES BET AWARDS 2015


BEST INTERNATIONAL ACT: AFRICA
Aka (South Africa)
Fally Ipupa (Dr Congo)
Sarkodie (Ghana)
Sauti Sol (Kenya)
Stonebwoy (Ghana)
The Soil (South Africa)
Wizkid (Nigeria)
Yemi Alade (Nigeria)
NEW CATEGORY BET GLOBAL GOOD AWARD
Millen Magese (Tanzania)
BEST FEMALE R&B/POP ARTIST
Beyoncé
Ciara
Janelle Monáe
Jhené Aiko
K. Michelle
Rihanna
BEST MALE R&B/POP ARTIST
August Alsina
Chris Brown
John Legend
The Weeknd
Trey Songz
Usher
BEST GROUP
A$Ap Mob
Jodeci
Migos
Rae Sremmurd
Rich Gang
Young Money
BEST COLLABORATION
August Alsina F/...

 

10 years ago

Africanjam.Com

LIST KAMILI YA WASHINDI "BET AWARDS 2015"

Wakali wa muziki kama Chris Brown, Nicki Minaj, na Rihanna na wengine walimiliki stage kwa kuperform. Janet Jackson pamoja na Smokey Robinson walikua baadhi ya watu waliopewa tuzo za heshima mwaka huu na BETTuzo za BET Awards 2015 zilichukua headlines kubwa siku ya jumapili tarehe 28 June 2015 Los Angeles Marekani ambapo mc alikua ni Anthony Anderson na Trace Ellis Rose.LIST KAMILI YA WASHINDI BET 2015Best International Act UK:FKA TwigsFuse ODGLethal BizzleLittle SimzMnekStormzy- Winner

Best...

 

10 years ago

Africanjam.Com

MILLEN MAGESE KUIWAKILISHA TANZANIA KWENYE BET AWARDS 2015

Mlango mwingine ni huu unafunguka kwenye historia ya Entertainment Tanzania !! Tayari duniani wanatujua kwa Tuzo nyingi ambazo zimebebwa na mastaa kama AY, Vanessa Mdee na Diamond Platnumz.. Kama bado hujajua ni kwamba mwaka huu pia kuna jina la Mbongo wetu mmoja kwenye walioteuliwa kwenye Tuzo za BET 2015.YES.. Jina jingine sio kwenye muziki tena, ni Supermodel wa kwetu kwenye Fashion duniani, Millen Magesse ambaye ameteuliwa kwenye kipengele kipya cha BET ambacho ni BET Global Good...

 

10 years ago

Africanjam.Com

CHRIS BROWN AVOIDED KARRUECHE TRAN ON RED CARPET AT BET AWARDS 2015


Karrueche Tran debuted a surprising — yet stunning! — blonde bombshell look at the 2015 Bet Awards on June 28 . But that didn’t mean she wanted to give her ex, Chris Brown, a chance to see what he’s missing.It was almost unavoidable! Karrueche Tran, 27, could have easily run into Chris Brown, 26, at the BET Awards. While both were in attendance at the big awards show, the former flames steered clear of a an awkward encounter. HollywoodLife.com was on the scene, and has the EXCLUSIVE scoop on...

 

9 years ago

Bongo5

Orodha ya washindi wa BET Hip Hop Awards 2015: Kendrick Lamar na Big Sean waongoza

Rappers Kendrick Lamar na Big Sean ndio wameibuka na tuzo nyingi zaidi kwenye tuzo za BET Hip Hop Awards 2015 zilizorekodiwa weekend iliyopita na kuoneshwa usiku wa Oct.13. Kendrick Lamar na Big Sean kila mmoja ameshinda tuzo tatu wakifuatiwa kwa karibu na Drake aliyeshinda tuzo mbili. Hii ni orodha kamili ya washindi Best Hip Hop […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa Kim na Kanye West aitwa Saint West

Kim Kardashian West na Kanye West wamempa mtoto wao wa pili jina Saint West.

 

10 years ago

Bongo5

Jermaine Dupri asema wimbo mpya ya Ciara ‘I Bet’ ni copy ya ‘U Got It Bad’ ya Usher

Producer mkongwe wa Marekani, Jermaine Dupri amesema kuwa wimbo mpya wa muimbaji wa kike wa R&B Ciara uitwao ‘I Bet’ unafanana sana na wimbo wa zamani wa Usher ‘U Got It Bad’. Katika mahojiano ya hivi karibuni, Dupri (42) amesema kuwa anauhakika na kile anachokisema kwasababu yeye ndiye producer wa wimbo wa Usher uliotoka mwaka […]

 

11 years ago

GPL

11 years ago

GPL

BET AWARDS NI DIAMOND TENA KESHO

Nasibu Abdul ‘Diamond Plutnumz’. UMEKUCHA! Unaweza kusema kwa maana nyingine wakati wasanii kutoka Afrika watakapokuwa pamoja kwenye Ukumbi wa Nokia Theatre uliopo Los Angeles, Marekani katika sherehe za utoaji tuzo za BET 2014 kesho Juni 29.
Macho na masikio yote yameelekezwa kwa mtu mmoja kutoka Tanzania ambaye ni Nasibu Abdul ‘Diamond Plutnumz’. Kupitia wimbo wa My Number One (Remix),...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani