Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ushindi Sombetini waibua shangwe

Mamia ya wafuasi wa Chadema jana, waliandamana katikati ya jiji, wakati mvua ikinyesha wakimtembeza Diwani mpya wa Kata ya Sombetini, Ally Benanga huku, viongozi wakitoa kauli kuwa siku za Meya wa Jiji la Arusha, Gaudence Lymo kukaa madarakani zinahesabika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MAGUFULI ATIKISA JIMBONI KWAKE CHATO,WANANCHI WAIBUA SHANGWE KILA KONA YA MJI


  Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwaaga Wananchi wa Chato waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara baada ya kumaliza kujitambulisha na kuwashukuru kwa kiasi kikubwa kwa kuchaguliwa kwake katika nafasi ya kupeperusha bendera ya chama chake kuwania nafasi ya Urais .
  Mbunge wa Chato na Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa mji huo waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara baada ya kuwasili leo jioni mjini humo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Dkt. John Pombe Magufuli atikisa jimboni kwake, wananchi waibua shangwe kila kona ya mji

    Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwaaga Wananchi wa Chato waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara baada ya kumaliza kujitambulisha na kuwashukuru kwa kiasi kikubwa kwa kuchaguliwa kwake katika nafasi ya kupeperusha bendera ya chama chake kuwania nafasi ya Urais .   Mbunge wa Chato na Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa mji huo waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara baada ya kuwasili jana jioni mjini...

 

10 years ago

Vijimambo

DKT JOHN POMBE MAGUFULI ATIKISA JIMBONI KWAKE CHATO,WANANCHI WAIBUA SHANGWE KILA KONA YA MJI

  Mbunge wa Chato na Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa mji huo waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara baada ya kuwasili leo jioni mjini humo akitokea mkoani Mwanza ambako nako alipita kujitambulisha na kuwashukuru wakazi wa jiji hilo ambao nao walijitokeza kwa wingi. Kufuatia ujio wa Dkt Magufuli ndani ya mji wa Chato kuliibuka shamra shamra za mapokezi zilizokuwa zikirindima kila pande wakifurahia uteuzi wa CCM kwa Dkt Magufuli.   ...

 

9 years ago

Vijimambo

Utafiti wazua taharuki, waibua maswali tata.Kura za maoni: Twaweza yaipa CCM ushindi wa 65%, Ukawa 25%

Mkurugenzi Mkuu wa Twaweza, Aidan Eyakuze akihojiwa na wanahabari
Matokeo ya utafiti kuhusu uchaguzi mkuu yaliyompa ushindi wa asilimia 65 mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli dhidi ya asilimia 25 za Edward Lowassa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yameibua taharuki kubwa huku baadhi wakiupinga, kuunga mkono na wengine kuibua maswali kadhaa magumu.

Akizungumza mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, katika tukio lililorushwa moja kwa moja (live)...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lema, Nassari kuzindua kampeni Sombetini

WABUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Arusha, Godbless Lema na Joshua Nassari, wanatarajia kuzindua kampeni za udiwani Kata ya Sombetini, kesho. Akizungumza na Tanzania Daima jana, mgombea...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sombetini kutumia vituo 62 kupiga kura

MSIMAMIZI wa uchaguzi unaotarajiwa kufanyika kesho kumpata diwani wa Sombetini katika Jiji la Arusha, Elifasi Mollel, ametangaza vituo 62 kutumika kwa ajili ya kupigia kura kumpata diwani huyo. Mollel ambaye...

 

11 years ago

Elections

Scary messages threaten voters ahead of Sombetini By


Scary messages threaten voters ahead of Sombetini By-Elections
Daily News
PUSH messages being sent to residents of Arusha, targeting to scare them from the anticipated by-elections to feature a single ward of Sombetini are causing unrest here. The Police, however, say they are yet to receive official complaints from recipients who ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA wazindua kampeni Sombetini kwa mbwembwe

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimezindua kampeni zake za udiwani kwenye Kata ya Sombetini jijini hapa kwa kulitaka Jeshi la Polisi kutimiza wajibu wao wa kulinda usalama wa raia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani