Usimamizi wa mirathi wakati shauri likiendelea mahakamani -2Â
WIKI iliyopita nilisema lengo kuu la Sheria ya Usimamizi wa Mirathi sura ya 352 ya sheria za Tanzania ni kutoa utaratibu wa kusimamia mali za marehemu baada ya kifo chake...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV23 Nov
CHADEMA chapeleka shauri mahakamani
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimeahirisha shughuli za mazishi ya aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho mkoa wa Geita Marehemu Alphonce Mawazo na kupeleka mahakamani shauri la kuomba kibali cha kuuaga mwili huo.
Uamuzi huo unachukuliwa baada ya jeshi la polisi mkoani Mwanza kushikilia msimamo wa kutofanyika mikusanyiko katika viunga vya jiji la Mwanza.
Awali shughuli za kuuaga mwili huo zilitakiwa kufanyika jumamosi hii jijini Mwanza na jumapili mkoani Geita na mazishi yangefanyika...
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Zijue sababu za kuhamisha shauri mahakamani — 2
Hati ya wito wa kuitwa shaurini Hati inayomwarifu mdaiwa kwamba mdai amefungua shauri dhidi yake na hivyo, anapaswa kuhudhuria mahakamani na kujitetea dhidi ya madai hayo katika siku iliyotajwa katika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MmSI2oTxaRo/VZYRkLDM61I/AAAAAAAHmik/2dw6vu67Vpc/s72-c/law_5.jpg)
KAMA HAMUELEWANI JUU YA MSIMAMIZI MIRATHI INARUHUSIWA NYOTE KUOMBA KUSIMAMIA MIRATHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-MmSI2oTxaRo/VZYRkLDM61I/AAAAAAAHmik/2dw6vu67Vpc/s320/law_5.jpg)
Mara kadhaa kwenye familia mbalimbali kumekuwa hakuna maelewano juu ya nani asimamie mirathi. Unakuta wapo wanaomkubali fulani asimamie na wapo wanomkataa wakimtaka fulani mwingine ndiye asimamie. Hii huwa na athari kubwa sana kwa warithi hasa watoto kama wanasoma ambao kimsingi hutakiwa kutumia mali zile katika mahitaji ya msingi kama ada na mahitaji mengine muhimu ya kiustawi.
Tumeshashuhudia mara nyingi watoto wakiacha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lv6cBpLw9w8/XqfwlZSRJaI/AAAAAAALoc8/nPrMWy2lZn85hyJcD0pUGsVXuuY82xu1QCLcBGAsYHQ/s72-c/CHADEMA-LOGO.png)
Wafuasi wa Chadema marufuku mahakamani wakati wa usikilizwaji wa Rufaa ya viongozi wao
![](https://1.bp.blogspot.com/-lv6cBpLw9w8/XqfwlZSRJaI/AAAAAAALoc8/nPrMWy2lZn85hyJcD0pUGsVXuuY82xu1QCLcBGAsYHQ/s640/CHADEMA-LOGO.png)
Jaji Mfawidhi wa Kanda hiyo, Lameck Mlacha ametoa amri hiyo leo Aprili 28,2020 wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa.
Amri hiyo imetolewa ikiwa ni njia moja wapo ya kuepukana na mikusanyiko katika kipindi hiki ambacho nchi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-8DMbW-zPDQE/Xl6LDXYwEOI/AAAAAAACz_g/4rqMe-_FzaUeETZ164AzkOU7BFTMcIfMACLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
DARAJA LIKIENDELEA KUJENGWA BARABARA KUU YA DODOMA NA MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-8DMbW-zPDQE/Xl6LDXYwEOI/AAAAAAACz_g/4rqMe-_FzaUeETZ164AzkOU7BFTMcIfMACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-sKopSodAnJ0/Xl6LGTrUxAI/AAAAAAACz_k/QPNBC4FeDMgHP9p1mgNFwQzQYo_OecH4QCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-6cSicVaCbFU/Xl6LGsOL7VI/AAAAAAACz_o/5nT14nRZCNAfV4sxeyMt72cCPxJFylLhQCLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-q-ttutyxWvU/Xl6LHI-QhrI/AAAAAAACz_s/unxaaUgrZLcP0iVXMxU_jl5ndeEqHqTrwCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)
9 years ago
MichuziKongamano la Diaspora na Wajasiriamali likiendelea kwa siku ya pili jijini Dar es Salaam
10 years ago
Dewji Blog27 Jul
Mchakato wa kuomba kura za maoni katika jimbo la Singida mjini likiendelea katika kata mbalimbali kwa wagombea kujinadi
Mmoja wa wagombea ubunge jimbo la Singida Mjini, Hasan Mazala akiomba kura kata ya kajengo jana.
Mazala akiomba kura.
Amani Rai mmoja wa wagombea Jimbo la Singida mjini akimwaga serra zake kata ya majengo.
Mpiga picha na mwandishi wa habari Leah Samike nae amejitosa kuwania Ubunge Singida mjini.
Mmoja wa wananchi wa Majengo, Hamson Mrecha akiuliza swali mgombea.
Yage Kiaratu mmoja wa wagombea nafasi ya Udiwani Kata ya Majengo akiomba kura.
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/CFTs_opzCeQ/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Sababu za kumuondoa msimamizi wa mirathi
LEO tutaangalia wajibu wa wasimamizi wa mirathi. Nitazungumzia juu ya usimamizi wa mirathi pamoja na mambo muhimu juu ya wanaonufaika na mirathi. Katika Mahakama za Mwanzo pamoja na zile mahakama ...