Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USINGIZI NI BIASHARA UNAUZWA PIA HAPA

Chezea Masai wewe hapa uwezi kukwapua ukitaka kitu gusa miguu hili uhudumiwe na hii inaonyesha kuwa na usingizi unauzwa hapa kazi kwako ushindwe mwenyewe tu kujipatia mahitaji yako.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

KIGOGO BIASHARA YA DAWA ZA KULEVYA AMBAYE NI RAIA WA NIGERIA ANASWA JIJINI DAR, WAMO PIA WATANZANIA WAWILI...



Watuhumiwa wa biashara ya dawa za kulevya wakiwa chini ya ulinzi baada ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini kuwanasa jijini Dar es Salaam.Tanki la maji machafu ambalo lilitengenezwa na watuhumiwa hao wa biashara ya dawa za kulevya kwa ajili ya kuwekea dawa hizo kama sehemu ya kuzificha.Hata hivyo tanki hilo walichelewa kulikamisha na hivyo dawa hizo kuzihifadhi ndani ya nyumba.
 
Na Ripota Wetu,Michuzi TV

MAMLAKA ya Kudhibiti na kupambana na Dawa za Kulevya jana...

 

10 years ago

Michuzi

Mchuma unauzwa

Bei Milioni 6.5 ... Maelewano yapo. Kwa maelezo zaidi cheki kwa namba hii: 0713262902. Karibu. kwa nyumakwa ndaniKwa mbele

 

11 years ago

GPL

FOR SALE ... MCHUMA UNAUZWA

MARCEDES…

 

9 years ago

Michuzi

AECF YAZINDUA AWAMU YA NNE YA DIRISHA LA UFADHILI WA KILIMO BIASHARA HAPA NCHINI.

Mkurugenzi wa The African Enterprise Challenge Fund (AECF), Hugh Scott akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusiana na uzinduzi wa awamu ya nne ya dirisha la ufadhili wa kilimo cha biashara maalum kwaajili ya watanzania hapa nchini.Afisa mkuu wa usimamizi, Sam Ng'ang'a akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kushoto ni Mkurugenzi wa The African Enterprise Challenge Fund (AECF), Hugh Scott.
Mkurugenzi wa kampuni ya Internation Tan Feed...

 

10 years ago

GPL

OYA MWANA MDOLI FAMBA NDO UNAUZWA BEI GHALI!

Niaje…niaje wazazi majembe yangu? Inakuwa nini wanangu wenyewe? Kipande hii ni mpango mzima. Hapa ni mwendo wa kubandika na kubandua mwanzo mwisho. Ama nene? Mazee kitu cha Pasaka kilihapeni vipi? Dah! Siyo sekreti wana mlinifungia vioo bati haina kwere hopu mambo yalikwenda flenga. Basi barida! Ebana eeh…tudei noo kumbwela dheni tunazama kwenye mastori moo fasta tuone kama yaliyomo yamo? Shujaa wangu mmoko kakutana...

 

11 years ago

Bongo5

Video: Tazama alichokisema 2 Chainz baada ya kutumia mswaki aghali duniani, unauzwa tshs milioni 8.4

Unaweza kulipa $5,000 (takriban shilingi milioni 8.4) kununua mswaki tu? Bei ya mswaki huo wa Reinast ilimshangaza pia rapper huyo.

 

10 years ago

Bongo5

Wasomi wengi hawawezi kufanya biashara, ila wanasaidia biashara nyingi kukua

Unapotazama kwa umakini suala la uchumi na mambo ya biashara utagundua wamiliki wakubwa wa biashara nyingi sio wasomi sana ukilinganisha na walioajiriwa kuendesha hizo biashara. Nilipokuwa nikisoma maelezo ya mtu mmoja alizungumzia kitu fulani cha msingi ambacho kinatukabiri sisi ambao kwa namna moja ama nyingine tunasema ni wasomi lakini hatuwezi kuendesha biashara zetu wenyewe. Kitu […]

 

10 years ago

Mtanzania

Lowassa: Msikose usingizi

Pg 1Lowassa: Msikose usingizi

*Amwaga ahadi, asema hakuna kura itakayoibwa

*Mnyika amfananisha Dk. Slaa na Samsoni, Delila

 

NORA DAMIAN NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM

MGOMBEA urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, ameisimamisha tena Dar es Salaam kwa saa kadhaa huku akiwataka Watanzania kutokosa usingizi kwani hakuna kura itakayoibwa.

Lowassa alisema hayo jana jijini Dar es Salaam kwa nyakati tofauti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani