Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USU MALLYA: Mpambanaji anayekerwa na mifumo kandamizi

USU Mallya akiwa anazungumzia mada yoyote juu ya jinsia na ukombozi wa mwanamke kimapinduzi, hawezi kuongea maneno matano bila kutaja muktadha na mifumo. Huyu ndie mwanamama ninayemzungumzia leo katika safu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

GEA HABIB : Mwanzilishi wa ‘Hekaheka’ anayekerwa na ukatili dhidi ya watoto

Kwa wasikilizaji wa redio, Geah Habib litakuwa si jina geni masikioni mwao. Hilo linatokana na umaarufu mkubwa aliojijengea katika kipindi cha Leo Tena kinachorushwa na Clouds Fm.

 

9 years ago

Michuzi

TANAPA YAANZA KUBADILI MFUMO WA UTENDAJI KUTOKA KIRAIA KWENDA JESHI USU

Shirika la Hifadhi za Taifa limeanza rasmi kutumia mfumo wa jeshi usu kutoka ule wa kiraia katika utendaji kazi wake ikiwa ni hatua mojawapo ya kuongeza ufanisi katika shughuli za uhifadhi. 
Jumla ya wahifadhi 40 walihitimu mafunzo ya Awamu ya kwanza ya kubadili mfumo wa utendaji kazi kutoka ule wa kiraia kwenda wa jeshi usu kwa kwa viongozi maafisa wa ngazi ya kati “Transformation Leadership Course for Middle Cadre Wardens” yaliyofanyika katika Hifadhi ya Taifa ya Katavi hivi karibuni. 
Mfumo...

 

9 years ago

Mtanzania

Tutaondoa sheria kandamizi

kinana2Na Upendo Mosha, Moshi

 

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amesema iwapo chama chake kitapata ridhaa ya kushika dola, watahakikisha wanafuta sheria zote ambazo ni kandamizi kwa wananchi ili kuleta mabadiliko ya kweli.

Kinana alitoa agizo hilo wakati akizungumza na baadhi ya wanachama na viongozi katika Jimbo la Vunjo wilayani Moshi jana.

Alisema kumekuwa na sheria nyingi ambazo ni kandamizi kwa wananchi jambo ambalo si zuri.

Alisema sheria kandamizi kwa wananchi...

 

10 years ago

Mwananchi

Katiba iondoe sheria kandamizi

Mtandao wa Wanawake na Katiba unaoundwa na mashirika na asasi mbalimbali zinazoshughulikia masuala ya wanawake nchini, umetaka Katiba mpya kuondoa sheria zote zinazowakandamizi wanawake, kwa kuwa zinarudisha nyuma maendeleo yao.

 

9 years ago

Habarileo

Serikali kufuta sheria kandamizi

TANZANIA imeahidi kuchukua hatua tano muhimu za kutetea na kuendeleza haki za wanawake kati ya sasa na mwaka 2030, ikiwa ni pamoja na kufanya mabadiliko makubwa ya kufuta sheria zinazokandamiza wanawake.

 

11 years ago

GPL

TANZIA: BABA MZAZI WA MDAU BEATRICE SINGANO MALLYA‏ AFARIKI

MAREHEMU MZEE WETU MOURICE NOEL SINGANO. MDAU WETU BEATRICE SINGANO  AMEONDOKEWA/AMEFIWA NA BABA YAKE MZAZI MPENDWA  MZEE MOURICE NOEL SINGANO.
MZEE WETU  M.N. SINGANO ALIFARIKI JANA TAREHE 31/05/2014. NCHINI  INDIA - CHENNAI , MIPANGO YA MZISHI INAFANYIKA NYUMBANI KWA MTOTO WAKE MIKOCHENI B, DAR ES SALAAM.
KUFUATIA MSIBA HUO KUTAKUWA NA MISA MAALUM YA SIKU YA ALHAMISI KANISA LA MT. MARTHA MIKOCHENI DAR ES...

 

10 years ago

Mwananchi

Seretse Khama, mpambanaji aliyevunja minyororo ya ubaguzi

Miongoni mwa wapigania Uhuru ambao Afrika haitawasahau ni Seretse Khama, aliyewahi kuwa Rais wa Botswana kuanzia mwaka 1966 hadi alipofariki kwa saratani mwaka 1980.

 

9 years ago

Mwananchi

MCHANGO WA MAWAZO: Lowassa ni mfamaji au mpambanaji asiyechoka?

Nimejitahidi nilivyoweza kutoandika chochote juu ya Edward Lowassa. Nilikuwa na sababu kadhaa ambazo siyo lazima kuziandika kwenye makala haya.

 

10 years ago

Michuzi

Marehemu Mzee SK George Mallya kuzikwa Maili-Sita Moshi Alhamisi Agosti 13, 2015

Marehemu Mzee SK George MallyaFamilia ya  Mallya inasikitika kutangaza kifo cha Mzee SK George Mallya aliyefariki kwenye hospitali ya KCMC siku ya Jumamosi tarehe 8 Agosti. Taarifa ya familia inaeleza kuwa marehemu  anatarajiwa kuzikwa siku ya Alhamisi tarehe 13 Agosti, nyumbani kwake Maili-Sita, Moshi, ambako mipango ya mazishi inafanywa kwa sasa.Marehemu Mzee SK George Mallya atakumbukwa kama mmoja wa wanajeshi shupavu wa Kings African Rifles (KAR) wa  Tanganyika Battalion nyakati za Vita...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani