Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utafiti: Madereva huendesha wakiwa walevi

Utafiti uliofanywa na Serikali kuhusu ajali za barabarani umebaini kuwa baadhi ya madereva wa mabasi ya abiria wanaendesha wakiwa wamelewa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Sokwe ni walevi Hodari :Utafiti

Watafiti waliokuwa wakiwachunguza sokwe nchini Guinea kwa miak 17 wamegundua kuwa wanyama hao wamezoea kukwea minazi na kubugia mvinyo

 

10 years ago

Habarileo

Madereva walevi wa mabasi wakiona cha moto

Mabasi yakiwa Ubungo.MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA), imefungia kwa miezi sita leseni za udereva za madereva sita wa mabasi wa mkoani Arusha na kuwafikisha mahakamani kwa tuhuma ya ulevi.

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOA WA ARUSHA LATOA ONYO KWA WAVURUGA AMANI PAMOJA NA MADEREVA WALEVI NA WASIOZINGATIA SHERIA

Na.Vero Ignatus,Arusha.
Jeshi la polisi mkoani Arusha limetoa onyo kwa watu wachache wanaopenda kuvuruga amani katika kipindi cha sikukuu na kuwataka waache mara moja kuwa na fikra hizo kwani watachukuliwa hatua za kisheria.
Akizungumza Kamanda wa polisi mkoani hapa Jonathan Shana amesema kuwa kwa upande wa madereva wa vyombo vya usafiri ni marufuku kuendesha vyombo hivyo wakiwa wamelewa ,mwendokasi pamoja na kujaza abiria kupita kiasi kwani hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yaoAidha...

 

10 years ago

Bongo5

Utafiti: Matangazo ya barabarani yenye wasichana waliovaa kimitego huwachanganya madereva

Matangazo ya barabarani (billboards) yenye picha za wanawake waliovaa nguo za mitego huwachanganya madereva na yanaweza kusababisha ajali, utafiti umesema. Watafiti kwenye chuo kikuu cha Alberta wamebaini kuwa matangazo yenye picha za aina hizo huathiri tabia za uendeshaji. Utafiti huo ulionesha kuwa matangazo ya aina hiyo yana madhara ikiwemo kuhatarisha usalama wa watu, kuongezeka kwa […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Taifa likiendeshwa na walevi?

“WALIOSEMA mimi ni waziri mzigo, wasubiri waone kazi yangu.” Haya ni maneno yaliyotolewa na waziri wetu wa fedha, Saada Mkuya, mapema mwaka huu wakati alipoapishwa kushika nafasi hiyo iliyoachwa wazi...

 

11 years ago

Mwananchi

Wachezaji walevi Yanga kukiona

Katibu Mkuu wa Yanga, Benno Njovu amekemea tabia ya baadhi wa wachezaji wa timu yake kuendeleza unywaji pombe na uvutaji wa sigala.

 

11 years ago

BBCSwahili

Walevi wajanja wa Nairobi, Kenya

Madereva walevi nchini Kenya wamebuni njia za kufika nyumbani huku wakikwepa kifaa cha 'Alcoblow' kinachotumiwa na polisi kuwanasa

 

10 years ago

Habarileo

Wanafunzi walevi wa gongo, viroba

MKUU wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Novatus Makunga ameelezea hofu yake ya tishio la kukosekana kwa nguvu kazi wilayani humo kutokana na kukithiri kwa wimbi la ulevi, hasa wanafunzi wakiwemo wa shule za msingi wanaodaiwa kunywa kwa kiasi kikubwa pombe aina ya gongo na nyingine za `viroba’.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani