Utafiti: Madereva huendesha wakiwa walevi
Utafiti uliofanywa na Serikali kuhusu ajali za barabarani umebaini kuwa baadhi ya madereva wa mabasi ya abiria wanaendesha wakiwa wamelewa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
Sokwe ni walevi Hodari :Utafiti
10 years ago
Habarileo20 Jul
Madereva walevi wa mabasi wakiona cha moto
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA), imefungia kwa miezi sita leseni za udereva za madereva sita wa mabasi wa mkoani Arusha na kuwafikisha mahakamani kwa tuhuma ya ulevi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pt9nsq0us3I/XsisLu6bYuI/AAAAAAAEHTM/iwG2Gn0qp5UwwfPRG-PZQ0Om5r0d92ChwCLcBGAsYHQ/s72-c/SHANA-NA-LEMA.jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA ARUSHA LATOA ONYO KWA WAVURUGA AMANI PAMOJA NA MADEREVA WALEVI NA WASIOZINGATIA SHERIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-pt9nsq0us3I/XsisLu6bYuI/AAAAAAAEHTM/iwG2Gn0qp5UwwfPRG-PZQ0Om5r0d92ChwCLcBGAsYHQ/s320/SHANA-NA-LEMA.jpg)
Jeshi la polisi mkoani Arusha limetoa onyo kwa watu wachache wanaopenda kuvuruga amani katika kipindi cha sikukuu na kuwataka waache mara moja kuwa na fikra hizo kwani watachukuliwa hatua za kisheria.
Akizungumza Kamanda wa polisi mkoani hapa Jonathan Shana amesema kuwa kwa upande wa madereva wa vyombo vya usafiri ni marufuku kuendesha vyombo hivyo wakiwa wamelewa ,mwendokasi pamoja na kujaza abiria kupita kiasi kwani hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yaoAidha...
10 years ago
Bongo513 Jan
Utafiti: Matangazo ya barabarani yenye wasichana waliovaa kimitego huwachanganya madereva
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Taifa likiendeshwa na walevi?
“WALIOSEMA mimi ni waziri mzigo, wasubiri waone kazi yangu.” Haya ni maneno yaliyotolewa na waziri wetu wa fedha, Saada Mkuya, mapema mwaka huu wakati alipoapishwa kushika nafasi hiyo iliyoachwa wazi...
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Wachezaji walevi Yanga kukiona
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
Walevi wajanja wa Nairobi, Kenya
10 years ago
Habarileo19 Sep
Wanafunzi walevi wa gongo, viroba
MKUU wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Novatus Makunga ameelezea hofu yake ya tishio la kukosekana kwa nguvu kazi wilayani humo kutokana na kukithiri kwa wimbi la ulevi, hasa wanafunzi wakiwemo wa shule za msingi wanaodaiwa kunywa kwa kiasi kikubwa pombe aina ya gongo na nyingine za `viroba’.