Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taifa likiendeshwa na walevi?

“WALIOSEMA mimi ni waziri mzigo, wasubiri waone kazi yangu.” Haya ni maneno yaliyotolewa na waziri wetu wa fedha, Saada Mkuya, mapema mwaka huu wakati alipoapishwa kushika nafasi hiyo iliyoachwa wazi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Sokwe ni walevi Hodari :Utafiti

Watafiti waliokuwa wakiwachunguza sokwe nchini Guinea kwa miak 17 wamegundua kuwa wanyama hao wamezoea kukwea minazi na kubugia mvinyo

 

10 years ago

Habarileo

Wanafunzi walevi wa gongo, viroba

MKUU wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Novatus Makunga ameelezea hofu yake ya tishio la kukosekana kwa nguvu kazi wilayani humo kutokana na kukithiri kwa wimbi la ulevi, hasa wanafunzi wakiwemo wa shule za msingi wanaodaiwa kunywa kwa kiasi kikubwa pombe aina ya gongo na nyingine za `viroba’.

 

11 years ago

Mwananchi

Wachezaji walevi Yanga kukiona

Katibu Mkuu wa Yanga, Benno Njovu amekemea tabia ya baadhi wa wachezaji wa timu yake kuendeleza unywaji pombe na uvutaji wa sigala.

 

11 years ago

BBCSwahili

Walevi wajanja wa Nairobi, Kenya

Madereva walevi nchini Kenya wamebuni njia za kufika nyumbani huku wakikwepa kifaa cha 'Alcoblow' kinachotumiwa na polisi kuwanasa

 

10 years ago

Mwananchi

Utafiti: Madereva huendesha wakiwa walevi

Utafiti uliofanywa na Serikali kuhusu ajali za barabarani umebaini kuwa baadhi ya madereva wa mabasi ya abiria wanaendesha wakiwa wamelewa.

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi yawaonya walevi Sikukuu ya Pasaka

Wananchi mkoani Mbeya wametakiwa kuacha kuzitumia sikukuu za kidini kwa ulevi, badala yake wajikite kuimarisha upendo na amani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Chupa ndogo hatari kwa walevi DRC

Unywaji wa pombe umeongezeka kwa kiasi kikubwa mjini Kinshasa DRC kutokana na utengenezaji wa chupa ndogo za pombe

 

10 years ago

Habarileo

Madereva walevi wa mabasi wakiona cha moto

Mabasi yakiwa Ubungo.MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA), imefungia kwa miezi sita leseni za udereva za madereva sita wa mabasi wa mkoani Arusha na kuwafikisha mahakamani kwa tuhuma ya ulevi.

 

11 years ago

Habarileo

Walevi wakojoa kwenye visima vya kanisa

VISIMA vilivyochimbwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) katika kijiji cha Msiha wilayani Mbozi vimegeuzwa vyoo vya walevi, imeelezwa. Kugeuzwa kwa matumizi ya visima hivyo vilivyochimbwa mwaka jana kumetokana na pampu zake kutokuwa imara kiasi kwamba ziliharibika muda mfupi tu tangu kufungwa kwake na baadhi ya wakazi kuzing’oa na kuviacha visima vikiwa wazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani