Utafiti: Matangazo ya barabarani yenye wasichana waliovaa kimitego huwachanganya madereva
Matangazo ya barabarani (billboards) yenye picha za wanawake waliovaa nguo za mitego huwachanganya madereva na yanaweza kusababisha ajali, utafiti umesema. Watafiti kwenye chuo kikuu cha Alberta wamebaini kuwa matangazo yenye picha za aina hizo huathiri tabia za uendeshaji. Utafiti huo ulionesha kuwa matangazo ya aina hiyo yana madhara ikiwemo kuhatarisha usalama wa watu, kuongezeka kwa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-R2pVnq6L-sY/VZLS_IQ1j_I/AAAAAAAHl60/R5d86NhRqlE/s72-c/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI WAPEWA GARI LA MATANGAZO
![](http://2.bp.blogspot.com/-R2pVnq6L-sY/VZLS_IQ1j_I/AAAAAAAHl60/R5d86NhRqlE/s640/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Utafiti usaidie kupunguza ajali za barabarani
11 years ago
GPLMADEREVA WATWANGANA KWA KUTOELEWANA BARABARANI
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Haki za Madereva, Abiria na Polisi Barabarani — 3
Katika mfululizo wa uhakiki huu wa kitabu cha Haki za Madereva, Abiria na Polisi Barabarani kilichotungwa na Al-Muswadiku Chamani, tumeangalia utangulizi, mazingira yanayokizunguka kitabu na muhtasari wa kitabu. Sasa endelea…...
9 years ago
Bongo505 Oct
Utafiti: Makampuni yenye mabosi wakali hufanya vibaya zaidi
10 years ago
Mwananchi18 Oct
Utafiti: Madereva huendesha wakiwa walevi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*VuOF18pjA2C*7MGWdBfxzjNNHFh4J*7dGTNWXacY1zgI20WPWZLbTdoj*I1ot5ZBqtKU4vqhyGhna2o6bDodR5/BREAKINGNEWS.gif)
KIMENUKA MORO, MADEREVA DALADALA WAGOMA KUINGIA BARABARANI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HpeX2GVjkzI/VCPfKgFyH9I/AAAAAAAGlq0/QwtLJIraO88/s72-c/unnamed%2B(98).jpg)
Utii wa Sheria kwa Madereva utapunguza ajali za Barabarani
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama barabarani inayofanyika kitaifa mkoani Arusha,Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya uagizaji wa magari nchini ya Be Forward Tanzania,Daniel Mtaalam amesema njia hiyo ndio suluhu za ajali zinazotokea mara kwa mara.
Amesema wao kama wadau wa...