Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utalii wa kiutamaduni unakuza uchumi binafsi

Utalii wa kiutamaduni bado ni nadharia changa katika nchi za ulimwengu wa tatu ikiwemo Tanzania,kwa kuwa nchi hizo zimezoea kuona utalii wa asili wa kutembelea mbuga za wanyama.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Sekta binafsi sasa yashika uchumi EAC

Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Dk Richard Sezibera amesema nchi wanachama wa jumuiya hiyo zinajengwa na sekta binafsi ambayo ndiyo injini ya uchumi wake.

 

5 years ago

Michuzi

Majadiliano Sekta ya Umma na Binafsi Chachu Ukuaji wa Uchumi


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge Kazi, Vijana Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge (kulia) pamoja na Katibu Mtendaji wa Baraza la Biashara la Taifa, Dkt. Godwill Wanga (kushoto) baada ya uzinduzi wa Muongozo wa majadiliano kati ya sekta ya Umma na Binafsi katika ngazi ya Mikoa na Wilaya uliofanyika leo jijini...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Utalii utaubeba uchumi-Mkapa



 Nyalandu asema malengo lazima yatimie
NA WILLIAM SHECHAMBO
RAIS mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, amesema ana imani na sekta ya utalii nchini kuwa ni suluhisho la kudumu kwenye maendeleo endelevu ya ukuaji wa uchumi wa Tanzania kuliko sekta nyingine.
Amesema imani hiyo inatokana na idadi kubwa ya sekta binafsi nchini, zinazoweza kushirikiana na serikali katika jitihada za kuijengea uwezo sekta hiyo kwa gharama yoyote huku wakitanguliza kwanza maslahi ya taifa.
Mkapa aliyasema hayo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utalii kukuza uchumi nchi za Afrika

KATIKA  kukuza  soko la utalii hivi karibuni  Afrika Kusini ilifungua ofisi mjini Lagos nchini Nigeria. Ufunguzi wa ofisi hiyo ni ishara ya mwingiliano wa utalii baina ya nchi za Kiafrika ...

 

11 years ago

Mwananchi

Utalii wa chakula unaweza kuchangia maendeleo ya uchumi

Tatizo la Watanzania wengi ni kuwa wana uelewa mdogo kuhusu dhana ya utalii. Wengi wanafikiri utalii ni kwenda mbuga za wanyama na kutembelea magofu tu.

 

10 years ago

Michuzi

BARAZA LA BIASHARA MKOA WA DODOMA LASISITIZA USHIRIKIANO BAINA YA SERIKALI NA SEKTA BINAFSI ILI KUONGEZA FURSA ZA UWEKEZAJI NA KUKUZA UCHUMI WA DODOMA

Mkuu wa Mkoa Dodoma na Mwenyekiti wa Baraza la Biashara Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akitoa hotuba ya kufungua mkutano wa baraza hilo Mjini Dodoma Feb. 13,2015. Katibu Mtendaji wa Baraza la Biashara la Taifa (TNBC) Ndg. Raymond Mbilinyi akiwasilisha majukumu ya Baraza hilo katika kusaidia mabaraza ya biasara ya Mkoa na jinsi ya kukuza ushirikiano kati ya Serikali na Sekta binafsi wakati wa mkutao wa baraza la biashara la Dodoma Feb. 13, 2015. Wajumbe wa baraza la biashara Mkoa wa Dodoma...

 

11 years ago

Michuzi

Wakazi wa Mtwara na Lindi kushuhudia fursa za Utalii na Uchumi kupitia Tamasha la Utamaduni la Mtwara,Waziri mkuu pinda kuwa mgeni rasmi.

 
Waziri Mkuu Mizengo Pinda.
Tamasha la Mkoa wa Mtwara, ‘Mtwara Festival’, linatarajia kufungua milango ya fursa kwa wakazi wa mikoa ya Mtwara na Lindi katika kuziona fursa kadhaa kwenye sekta ya Utalii na Uchumi.Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika kwa siku mbili kuanzia mwezi Agosti 16 na 17 mwaka huu kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona  ulipo Mtwara mjini. Mgeni rasmi katika Tamasha hilo anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda huku likiwa na kauli mbiu isemayo ‘Fursa Zimefunguka,...

 

10 years ago

Michuzi

UBORESHAJI WA BOMA LA MKUU WA WILAYA YA IRINGA KUWA KITUO CHA MAKUMBUSHO NA MAONESHO YA SANAA ZA KIUTAMADUNI WAPONGEZWA

Meneja wa Mradi wa Kuendeleza Utamaduni Nyanda za Juu Kusini Jan Kuever akitoa taarifa ya Uboreshaji wa Boma la Mkoloni Iringa Kuwa sehemu ya makumbusho na Maonesho ya Kiutamaduni.Boma lililokuwa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Iringa linaloboreshwa likwa katika hatua nzuri ya ujenzi.Makamu Mkuu wa Chuo Cha Iringa akieleza ushirikiwa wa Chuo katika kudumisha Utamaduni.Meneja Msaidizi wa Mradi wa Fahari yetu Bw Jimson Sanga akitolea ufafanuzi juu ya mwenendo wa Mradi. Kwa taarifa kamili na picha...

 

10 years ago

Michuzi

wizara ya MALIASILI NA UTALII YAENDELEA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII MAREKANI

 Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dk. Adelhelm Meru (kulia) akimpa zawadi ya kinyago Naibu Meya wa jiji la Seattle nchini Marekani Bi. Kim mara baada ya kumaliza mazungumzo yao. Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Iringa Mjini Mhe. Peter Msigwa akiongea katika ziara ya kutangaza vivutio vya utalii nchini katika jiji la Seattle nchini Marekani. Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dk. Adelhelm Meru (kulia) akipokea kitabu maalum...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani