Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utamaduni unaowaadhibu watoto Kenya

Katika kabila la Wabukusu Magharibi mwa Kenya mtu kufanya ngono na jamaa yake wa karibu ni mwiko mkubwa. Na adhabu yake ni kifo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

“Wajengeeni watoto utamaduni wa kusoma vitabu” — Mama Salma Kikwete

DSC_0002

MKE wa Rais na Mwenyekiti wa WAMA, Mama Salma Kikwete akizindua rasmi Tamasha la kwanza la vitabu vya watoto sambamba na kampeni ya usomaji yenye kauli mbiu ‘Mpe Kila Mtoto Kitabu’  kwenye uzinduzi uliofanyika Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam leo.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog)

Na Damas Makangale, MOblog Tanzania

MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete amewataka walezi na wazazi nchini kuwanunulia vitabu watoto wao ili kuwajengea utamaduni wa kupenda kujisomea vitabu vya ziada...

 

11 years ago

Michuzi

Mahojiano na washiriki wa maonyesho ya Utamaduni wa Kenya hapa Washington DC

Kati ya Juni 25 na Julai 6, jiji la Washington DC lilikuwa mwenyeji wa maonyesho ya kila mwaka ya yanayohusu maisha a watu na jamii mbalimbali.Mwaka huu, nchi ya Kenya ilishirikishwa, wakionyesha utamaduni wao na changamoto za kuzidumisha katika zama hizi za sayansi na teknolojia.Kwanza Production ilipata fursa ya kutembelea maonyesho hayo na kuzungumza na baadhi ya washiriki wa maonyesho hayo ambapo walieleza mengi ya kufurahisha.KARIBU UUNGANE NASI
Zaidi ya washiriki 100 kutoka nchini Kenya...

 

11 years ago

Michuzi

Ujumbe wa watu watano kutoka Makumbushoya Utamaduni, Malindi Kenya watembelea Sauti za Busara

Ujumbe wa watu watano kutoka Makumbusho ya Utamaduni, Malindi Kenya ukiongozwa na kiongozi wao, Ghazzal Swaleh, jana walitembelea Ofisi ya Sauti za Busara, mjini Zanzibar, kujifunza mbinu za kuinua vipaji vya wasanii wa utamaduni wa kiafrika baina ya Zanzibar na Kenya, kuona mafanikio ya Tamasha la Utamaduni la Sauti za Busara Zanzibar na kudumisha mahusiano mema baina ya Zanzibar na Kenya. Ujumbe huo ulifanya mazungumzo kwa kubadilishana mawazo na Viongozi wa Sauti za Busara. Waziri...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuendelea kushirikiana na wadau katika kuendeleza Utamaduni

pinda

Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda (kushoto) akifungua kituo cha utamaduni wa China nchini Tanzania mapema hii leo jijini Dar es Salaam, katikati ni Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel na kulia ni Mkurugenzi wa Utamaduni toka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Hermas Mwansoko.

pinda 2

Baadhi ya wanafunzi wa Kitanzania wanaojifunza lugha ya Kichina katika kituo cha Utamaduni wa China nchini Tanzania wakiimba nyimbo kwa lugha ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Aliyewalawiti Watoto Kenya kuhukumiwa

Raia wa Uingereza aliyewadhalilisha kingono watoto mjini Gilgil nchini Kenya anatarajiwa kuhukumiwa leo nchini Uingereza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto na muziki wa Jazz, Kenya

Watoto katika kitongoji kimoja Nairobi Kenya, wamekuwa wakifunzwa na kucheza muziki wa Jazz kama njia ya kuepukana na maovu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Aliyewalawiti Watoto Kenya kuhukumiwa

Raia wa Uingereza aliyewadhalilisha kingono watoto wa kiume katika mji mdogo wa Gilgil nchini Kenya anatarajiwa kuhukumiwa leo

 

11 years ago

BBCSwahili

Masaibu ya watoto wenye HIV Kenya

Baadhi ya watoto wenye HIV wanatumia dawa za watu wazima kutokana na ukosefu wa zile za watoto.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya:Mke wa rais atetea watoto

Mradi wa mke wa rais wa Kenya wa kupunguza vifo vya watoto wachanga na mama waja wazito umepokelewa kwa furaha Pwani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani