Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliyewalawiti Watoto Kenya kuhukumiwa

Raia wa Uingereza aliyewadhalilisha kingono watoto mjini Gilgil nchini Kenya anatarajiwa kuhukumiwa leo nchini Uingereza.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Aliyewalawiti Watoto Kenya kuhukumiwa

Raia wa Uingereza aliyewadhalilisha kingono watoto wa kiume katika mji mdogo wa Gilgil nchini Kenya anatarajiwa kuhukumiwa leo

 

10 years ago

BBCSwahili

Mosri kuhukumiwa leo

Mahakama nchini Misri inatarajiwa kutoa hukumu dhidi ya rais wa zamani Mohammed Morsi ambaye aliondolewa madarakani mwaka 2013.

 

10 years ago

Mtanzania

Kina Mramba kuhukumiwa Juni 30

mafisadiNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam

HUKUMU ya kesi inayowakabili aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba, aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona na wenzao inatarajiwa kusomwa Juni 30, mwaka huu, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Uamuzi huo ulifikiwa jana, mbele ya jopo la mahakimu watatu, likiongozwa na Jaji John Utamwa, baada ya kupangwa kwa tarehe za majumuisho ya mwisho wa kesi hiyo. Mahakimu wengine katika kesi hiyo ni Sam Rumanyika na Saul Kinemela.

Mbali na Mramba na Yona,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Waisraeli waliochoma moto Mpalestina kuhukumiwa

Mahakama moja nchini Israel imewapata waisraeli wawili na hatia ya kumuua kijana wa kipalestina mwaka wa 2014.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanatahiniwa kwa mitihani na kuhukumiwa na maisha

Bila shaka lengo kuu la kumpeleka mtoto shule ni kujifunza. Katika kujifunza huko, tunatarajia mabadiliko chanya na bayana, ambayo hujengwa na uelewa, ubunifu na maarifa, anayopata mtoto.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ban ataka waliomchoma mtoto kuhukumiwa

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa ametaka waliohusika kwenye shambulizi la kumchoma mtoto Mpalestina kufikishwa mbele ya sheria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto na muziki wa Jazz, Kenya

Watoto katika kitongoji kimoja Nairobi Kenya, wamekuwa wakifunzwa na kucheza muziki wa Jazz kama njia ya kuepukana na maovu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utamaduni unaowaadhibu watoto Kenya

Katika kabila la Wabukusu Magharibi mwa Kenya mtu kufanya ngono na jamaa yake wa karibu ni mwiko mkubwa. Na adhabu yake ni kifo.

 

5 years ago

Michuzi

IYANNA FLOYD KUHUKUMIWA KIFUNGO CHA HADI MIAKA 99 JELA

Na Irene Mwidima,Michuzi TV. Iyanna Floyd ambae ni binti wa Floyd Mayweather huwenda akahukumiwa kifungo cha hadi miaka 99 jela kwa kosa la kumchoma mtu kisu mara mbili binti ambae ni mzazi mwenzake na NBA Youngboy. Iyanna Floyd ambae ana miaka 20 aliwasili nyumbani kwa mpenzi wake, rapper NBA Youngboy ambapo alimkuta na mzazi mwenzake aitwae Lapattra Lashai Jacobs. Iyanna alianza kumwambia Lapattra aondoke hapo nyumbani kwani NBA Youngboy ni mchumba wake. Tukio hilo lilitokea jumamosi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani