Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utaratibu wa masomo kwa askari waelezwa

Pereira SilimaASKARI wa ngazi zote wanalazimika kuomba na kukubaliwa kujiendeleza kielimu kwenye taaluma, zinazohitajika ndani ya jeshi baada ya kumaliza muda usiopungua miaka mitatu tangu kuajiriwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wanaokiuka utaratibu kutwaa madaraka, watavuruga utaratibu, wadumu milele

Kuanzia Mei 30, mwaka huu, taifa limeshuhudia kuanza rasmi kwa zoezi la kutangazania na kuchukua fomu kwa wanaokusudia kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).

 

5 years ago

CCM Blog

MAJALIWA:TUTAENDELEA KUCHUKUA HATUA KWA WATAKAOKATISHA MASOMO KWA WATOTO WA KIKE

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai (wa tatu kulia) wakiweka jiwe la Msingi la Shule ya Sekondari ya Wachana  ya Bunge  iliyojengwa na wabunge na kukabidhiwa kwa Serikali Juni 14, 2020. Kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Selemani Jafo na wa pili kulia ni Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson Mwansasu. Kushoto ni Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekinolojia, Profesa Joyce Ndalichako na wapili kushoto ni Mbunge wa Urambo na Mwenyekiti wa Umoja wa Wabunge...

 

10 years ago

Michuzi

UTARATIBU MPYA WA KUPATA BILI KWA WATEJA WA DAWASCO

SHIRIKA LA MAJI SAFI NA MAJITAKA DAR-ES-SALAAM (DAWASCO),  LINAWATANGAZIA  WAKAZI WA JIJI LA DAR-ES-SALAAM NA MJI WA BAGAMOYO MKOANI PWANI  KUWA, UTARATIBU WA KUPATA BILI KWA MTEJA UMEBADILIKA KUTOKA “SPOT BILL” KWENDA “SPOT SMS” KUANZIA  JULAI 2015.
UTARATIBU HUU UNAMAANISHA KUWA MTEJA ATAKUWA AKIPATIWA BILL YAKE YA MATUMIZI YA MAJI KILA MWEZI KUPITIA SIMU YAKE YA MKONONI, NA UTALENGA WATEJA WA MAJUMBANI TU NA HAUTAHUSISHA KAMPUNI NA TAASISI ZA SERIKALI.
FAIDA ZA UTARATIBU HUU NI PAMOJA NA...

 

10 years ago

Habarileo

Magereza waelezwa umuhimu wa takwimu

MAOFISA Magereza wamekumbushwa kutambua kuwa takwimu rasmi zinahitajika kwa ajili ya kutunga sera, kupanga mipango ya maendeleo, kutathmini utekelezaji wa mikakati mbalimbali na kutoa maamuzi katika ngazi mbalimbali kwa ajili ya Taifa.

 

10 years ago

Habarileo

Polisi waelezwa Slaa alivyotaka kuuawa

Mchumba wa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willbrod Slaa, Josephine Mushumbusi MCHUMBA wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willbrod Slaa, Josephine Mushumbusi jana ametoa maelezo yake katika Kituo Kikuu cha Polisi, Dar es Salaam kuhusu tuhuma za kutaka kuuawa kwa katibu huyo.

 

11 years ago

Habarileo

Chalinze waelezwa kwanini Ridhiwani anawafaa

VIONGOZI waandamizi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamewaomba wakazi wa Jimbo la Chalinze kumchagua Ridhiwani Kikwete ili aende kusaidia kudhibiti ubadhirifu Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo.

 

11 years ago

Habarileo

Chalinze waelezwa kwanini Ridhiwani anawafa

VIONGOZI waandamizi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamewaomba wakazi wa Jimbo la Chalinze kumchagua Ridhiwani Kikwete ili aende kusaidia kudhibiti ubadhirifu Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo.

 

10 years ago

Michuzi

Wasanii waelezwa umuhimu wa kujiwekea akiba

WASANII nchini wametakiwa kujenga utamaduni wa kujiwekea akiba katika mifuko mbalimbali ya jamii kwa kuwa kufanya hivyo kuna kumuhimu mkubwa katika maisha yao baada kuwa wamestaafu kazi zao au wanapokuwa hawana tena uwezo wa kufanya kazi.

Hayo yalisemwa na msanii mkongwe wa maigizo hapa nchini Bakari Mbelemba maarufu kwa jina la Mzee Jangala wakati akizungumza katika Jukwaa la na Sanaa lililofanyika Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) mwanzoni mwa wiki hii jijini Dar es Salaam.

Mzee ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani