Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utoaji mimba wazua gumzo Marekani

Mahakama ya juu zaidi nchini Marekani, imetupilia mbali vifungu kadhaa vya sheria tatanishi inayowekea vikwazo wanaotaka kutoa mimba.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

DIAMOND, MTOTO WAZUA GUMZO

Mwandishi wetu GUMZO! Mkali wao kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mtoto wa dada yake Esma, Taraj wamezua gumzo la aina yake baada picha yao kutupiwa mtandaoni na watu kudhani ni yule Tiffah wa Diamond ambaye hajawahi kuonekana sura. Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya Esma kuiweka picha inayomuonesha Diamond akiwa amelala kitandani na Tahaj ndipo watu walipofikiri ni ya...

 

10 years ago

GPL

WEMA,IDRIS WA BBA WAZUA GUMZO

Staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ na Mshindi wa Big Brother Africa 2015, Idris Suleiman PROJECT? Staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ na Mshindi wa Big Brother Africa 2015, Idris Suleiman wamezua gumzo hivyo mwanadada huyo kufunguka na kuweka mambo hadharani. Wema Sepetu na Idris… ...

 

9 years ago

GPL

ROSE NDAUKA KANUMBA FEKI, WAZUA GUMZO!

GUMZO! Waigizaji vinara ndani ya Bongo Movies, Rose Ndauka na Rammy Gallis ‘Kanumba Feki’ wameibua gumzo na minong’ono kufuatia kugandana na mara nyingi kuonekana peke yao huku mazungumzo na mapozi yao yakikoleza hisia kwamba, huenda ni wapenzi, Amani lilikuwepo. Waigizaji vinara ndani ya Bongo Movies, Rose Ndauka na Rammy Gallis ‘Kanumba Feki’ wakikata keki. Gumzo hilo liliibuka Oktoba 7, mwaka huu ndani ya Ukumbi wa...

 

10 years ago

GPL

TAMASHA LA FIESTA 2014: DAVIDO, ALI KIBA, DIAMOND NA T.1 WAZUA GUMZO KWA MASHABIKI

Tamasha la Serengeti Fiesta 2014, usiku wa kuamkia leo lilifunga mitaa ya Jiji la Dar na viunga vyake ambapo burudani ya kufa mtu ilidondoshwa kwenye Viwanja vya Leaders, Kinondoni jijini Dar.

 

10 years ago

Vijimambo

TAMASHA LA FIESTA LAFANA, DAVIDO, ALI KIBA, DIAMOND WAZUA GUMZO, T.I. AWAKUNA WABONGO

Ilikuwa ni shoo moja nzuri kutoka nyumba ya vipaji ya THTMmoja wa askari waliokuwa wamepangwa katika suala zima la kusimamia usalama ndani ya tamasha la Fiesta 2014 akihakikisha usalama wa kutosha unakuwepo katika eneo hilo,na watazamaji wanapata burudani iliyokusudiwa kutoka kwa wasanii mbalimbali waliotumbuiza usiku wa kuamkia leo katika tamasha la Fiesta 2014 lililofanyika usiku wa kuamkia leo katika viwanja vya Lidaz Kinondoni jijini Dar.Shaa na madansa wake wakilishambulia jukwaa. 

 

10 years ago

Michuzi

TAMASHA LA FIESTA LAFANA,DAVIDO,ALI KIBA,DIAMOND WAZUA GUMZO KWA MASHABIKI,T.I AWAKUNA WABONGO

Mmoja wa askari waliokuwa wamepangwa katika suala zima la kusimamia usalama ndani ya tamasha la Fiesta 2014 akihakikisha usalama wa kutosha unakuwepo katika eneo hilo,na watazamaji wanapata burudani iliyokusudiwa kutoka kwa wasanii mbalimbali waliotumbuiza usiku wa kuamkia leo katika tamasha la Fiesta 2014 lililofanyika usiku wa kuamkia leo katika viwanja vya Lidaz Kinondoni jijini Dar.Shaa na madansa wake wakilishambulia jukwaa. 
Pichani kulia ni Msanii kutoka nchini Nigeria ajulikanae...

 

9 years ago

Mwananchi

Utoaji mimba na athari zake kiafya

Utoaji wa mimba kwa njia isiyo salama umechangia kuongezeka kwa tatizo la ugumba na vifo vya watoto chini ya miaka mitano nchini Tanzania.

 

10 years ago

Habarileo

Utoaji mimba holela waathiri Kagera

IMEELEZWA kuwa kati ya wajawazito kumi ambao hulazwa katika hospitali ya mkoa wa Kagera kwa mwezi mmoja hufa kwa sababu ya kutoa mimba kwa njia za kienyeji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Clinic za utoaji mimba zafungwa-Brazili

Polisi katika mji mkuu wa Brazili,Rio de Jeneiro wamesema wameuvunja mtandao mkubwa katika nchi hiyo wa kiliniki za utoaji mimba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani