Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Clinic za utoaji mimba zafungwa-Brazili

Polisi katika mji mkuu wa Brazili,Rio de Jeneiro wamesema wameuvunja mtandao mkubwa katika nchi hiyo wa kiliniki za utoaji mimba.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Utoaji mimba holela waathiri Kagera

IMEELEZWA kuwa kati ya wajawazito kumi ambao hulazwa katika hospitali ya mkoa wa Kagera kwa mwezi mmoja hufa kwa sababu ya kutoa mimba kwa njia za kienyeji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utoaji mimba wazua gumzo Marekani

Mahakama ya juu zaidi nchini Marekani, imetupilia mbali vifungu kadhaa vya sheria tatanishi inayowekea vikwazo wanaotaka kutoa mimba.

 

9 years ago

Mwananchi

Utoaji mimba na athari zake kiafya

Utoaji wa mimba kwa njia isiyo salama umechangia kuongezeka kwa tatizo la ugumba na vifo vya watoto chini ya miaka mitano nchini Tanzania.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kardinali Pengo akemea utoaji mimba, ushoga

ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo, amekemea tabia ya utoaji mimba inayofanywa na baadhi ya wanawake nchini kwani kufanya hivyo ni...

 

10 years ago

Vijimambo

NILIWAHI KUTOA MIMBA MOJA TU YA KANUMBA KWA VILE NILIKUWA MDOGO SANA, WANAO SEMA NIMETOA MIMBA NYINGI NI WAONGO






Anazungumzia ishu ya kupata mtoto ndani ya EFM Radio Jana... Anasema watu wanaomsema hapati mimba kwa kuwa ametoa sana mimba, ni uongo kwa kuwa ameshatoa mimba moja tu tena ya Kanumba na kwa kuwa alikuwa mdogo.
Anasema ndoto yake ilikuwa kuzaa na Diamond ila hakuwahi kupata ujauzito ila ameangaika sana kupata na Diamond na wamehustle together kumpata mtoto ila haikuwezekana.
Anasema tangu hapate hiyo mimba ya Kanumba hakuna mwanaume ambaye ameshawai kumpa ujauzito. Anachukia sana watu...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AAGANA NA BALOZI WA BRAZILI


 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
WAZIRI MKUU AAGANA NA BALOZI WA BRAZILI
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amekutana na Balozi wa Brazili nchini Tanzania, Bw. Fransisco Luz na kujadiliana mambo kadhaa kuhusu maendeleo na mahusiano baina ya nchi hizo mbili.
Akizungumza na Balozi Luz ofisini Magogoni jijini Dar es Salaam leo mchana (Jumatano, Aprili 29, 2015), Waziri Mkuu alimshukuru Balozi huyo kwa ushirikiano ambao ameutoa kwa Serikali ya Tanzania katika kipindi cha miaka sita ambacho amekuwa...

 

11 years ago

Michuzi

NANI KUIBUKA MSHINDI WA SAFARI YA BRAZILI WIKI HII?

Tiketi ya kwanza ya kwenda Brazili na Serengeti kutolewa wiki hii:
Machi 4, 2014; Kampuni ya Bia ya Serengeti inatarajia kuchezesha droo ya nne ya promosheni ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti ambapo mshindi wa kwanza wa kwenda Brazili atapatikana. Licha ya zawadi kibao kutoka kampuni hiyo kama ving’amuzi, ipad, bia za bure, na fedha taslimu kufaidisha wateja wengi wa bia ya Serengeti kwa wiki tatu za mwanzo na zinazoendelea, wiki hii kutakua na zawadi kubwa zaidi ya promosheni hiyo ya...

 

5 years ago

Michuzi

MZEE WA MIAKA 99 APONA MAAMBUKIZI YA COVID-19 NCHINI BRAZILI

Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiRAIA na mwanajeshi wa zamani wa Brazili, Ermando Piveta, mwenye umri wa miaka 99, amekuwa Mbrazili mkongwe kupona maambukizi ya coronavirus na kuruhusiwa kutoka siku ya Jumanne.
Piveta aliyepigana vita ya pili ya dunia alitoka Hospitalini ya Kijeshi katika mji ya Brasilia hapo akiwa amevaa kofia ya jeshi na kusalimiana kutoka kwa kiti chake cha magurudumu akionesha ishara ya ushindi na kupigiwa makofi ya wahudumu wa hospitali hiyo.
"Kushinda vita hii ilikuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani