Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UTORO, MIMBA: CHUNYA NI ZAIDI YA KYELA - WAZIRI MKUU

Waziri mkuu, Mizengo Pinda akihutubia mkutano wa hadhara katika kijiji cha Mkwajuni wilayani Chunya akiwa katika ziara ya wailaya ya Chunya Februari 28, 2015. Waziri Mkuu, Mizengo PInda akizungumza na wananchi wa mji mdogo wa Makongorosi Chunya waliofunga njia na akalazimika kuzungumza nao akiwa katika ziara ya mkoa wa Mbeya Februari 28, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda ameendelea kukemea tabia za utoro na mimba kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu Pinda ziarani wilaya ya Chunya

PG4A4157

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia mkutano wa hadhara katika kijiji cha Mkwajuni wilayani Chunya akiwa wakati wa ziara yake mkoani Mbeya Februari 28, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A4238

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wananchi wa mji mdogo wa Makongorosi  Chunya waliofunga njia na akalazimika kuzungumza nao akiwa katika ziara ya mkoa wa  Mbeya Februari 28, 2015. (Picha na Ofisi  ya Waziri Mkuu).

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOA WA MBEYE,LEO YUPO WILAYANI KYELA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mkuu wa Zamani wa Mkoa wa Mbeya Mzee John Mwakipesile baada ya kuwasili kwenye makazi ya Mkuu wa Wilaya ya Kyela kwa ziara ya siku moja wilayani humo Februari 26, 2015.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Katibu wa CHADEMA wa kata ya Mwaya, Ageni Pamesa kabla ya kufungau maabra ya shule ya sekondari ya Mwaya akiwa katika ziara ya Mkoa wa Mbeya Februari 26, 2015.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikata utepe kufungua maabara ya shule ya sekondari...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasichana 35 wafukuzwa shule kwa mimba, utoro

BODI ya Shule ya Sekondari Munkinya, Kata ya Dung’unyi wilayani Ikungi, Singida imewafukuza shule wanafunzi 35 kwa sababu za utoro, mimba na ukosefu wa nidhamu. Mkuu wa Shule hiyo, Joseph...

 

10 years ago

Mwananchi

400 waacha shule kwa mimba, utoro

Zaidi ya wanafunzi 400 wilayani hapa, mkoani Morogoro wameshindwa kuendelea na masomo ya sekondari kwa kwa sababu mbalimbali, ikiwamo ujauzito na wengine kukimbilia katika biashara ya uchimbaji wa madini.

 

5 years ago

Michuzi

DC JOKATE AKEMEA VIKALI UTORO,MIMBA ZA UTOTONI NA UBAKAJI KWA WATOTO WADOGO

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo akifafanya jambo katika mkutano wa kazi kwa watendaji wa kata, watendaji wa vijiji, pamoja na wenyeviti wa vijiji vipatavyo 84 ambapo walikutana kwa lengo la kujadili masuala ya maendeleo pamoja na changamoto zilizopo.
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe Mussa Gama akitoa mada wakati wa mkutano huo ambao aliuandaaa kwa ajili ya kuwakutanisha viongozi na watendaji mbali mbali wa ngazi za vijiji, kata pamoja na tarafa ili kujadili...

 

5 years ago

Michuzi

WAJUMBE BARAZA LA MADIWANI WILAYA YA ARUMERU WAKUBALIANA KUTOKOMEZA MIMBA ZA UTOTONI NA UTORO SHULENI

Na Woinde Shizza, ARUMERUWajumbe wa baraza la madiwani Halmashauri ya Meru, wilayani Arumeru, wamekubaliana kuwa na agenda ya kutokomeza mimba za utotoni na utoro shuleni kudumu kwenye vikao vya Vijiji na Kata kwa kujikita kuelimisha jamii kuanzia ngazi ya familia. Wajumbe hao wameadhimia hilo, mara baada ya, madiwani wa Kata kadhaa kuwasilishwa taarifa zinazoonesha changamoto ya mimba za utotoni zinazowaka bili wanafunzi katika kata zao. Awali taarifa hizo zimethibitishwa na Idara...

 

9 years ago

StarTV

Waziri Mkuu aipiga marufuku Hospitali ya Mkoa Ruvuma kutoaji  Mimba

Waziri Mkuu Mheshimiwa Majaliwa Kassim Majaliwa amepiga marufuku utoaji wa mimba katika Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma akisisitiza kuwa yeyote atakayebainika kufanya kazi ya utoaji Mimba atafukuzwa kazi mara moja.

Amesema hayo wakati akizungumza na watumishi, wauguzi na Madaktari wa Mkoa wa Ruvuma.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Majaliwa Kasimu Majaliwa mara baada ya kufanya ukaguzi katika hospitari ya mkoa wa Ruvuma  amesema ana taarifa  ya madakitar baadhi kuhusika na...

 

9 years ago

Dewji Blog

“Vitendo vya utoro na mimba kwa wanafunzi Mkoani Singida havivumiliki”- Mwenyekiti wa ACT- Wazalendo Anna Mughwira

IMG_1743

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Taifa, Anna Mughwira, akichangia ajenda zilizokuwa zinatolewa kwenye kikao cha kamati ya maendeleo (RCC) mkoa wa Singida kilichofanyika mjini hapa. Pamoja na mambo mengine, ameviomba vyombo vya habari mkoani, kusaidia kutoa elimu juu ya madhara yanayowapata wanafunzi watoro.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

Mwenyekiti wa chama cha ACT- Wazalendo ,Anna Mughwira amewahimiza waandishi wa habari mkoani hapa, kutumia taaluma yao kuwaelimisha...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU ALIAGIZA JIJI LA MBEYA KUKUSANYA MAPATO ZAIDI

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda ameutaka uongozi wa Jiji la Mbeya uongeze mapato yake ya ndani kwa kuweka mifumo ya kisasa ya ukusanyaji mapato.
Ametoa agizo hilo jana (Jumamosi, Agosti 2, 2014) wakati akizindua stendi ya kisasa ya mabasi katika eneo la Nane Nane nje kidogo ya Jiji la Mbeya.
“Nikuombe Meya Kapunga, wewe na watu wako ongezeni mapato ya ndani ya Jiji la Mbeya. Wekeni mifumo ya kisasa ya makusanyo inayotumia teknolojia ya habari na mawasiliano, acheni kutumia risiti za kuandika wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani