Uzalishaliji Ngozi waendelea kuwa changamoto nchini
Na Esther Nangale
Mwanza.
Tanzania inatajwa kuwa nchi ya pili kwa kuwa na mifugo mingi barani Afrika ikitanguliwa na Ethiopia, lakini kipato kinachopatikana kutokana na mazao ya mifugo hakilingani na idadi ya mifugo hiyo.
Zao la ngozi linatajwa kuwa miongoni mwa mazao yanayotoa mchango katika maendeleo ya kiuchumi na ya kijamii kwa kutoa wa fursa za ajira, na kuingiza fedha za kigeni na hivyo kuifanya serikali kuongeza mapato.
Tanzania ilipopata uhuru mwaka 1961 kulikuwa na viwanda...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania28 Mar
Kituo cha watu wenye ulemavu wa ngozi kilichojaa changamoto!
NA AGATHA CHARLES, ALIYEKUWA SHINYANGA
WAKATI jamii ikipambana kuzuia mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino), imebainika kuwa licha ya tishio hilo la kuawa lakini pia wamekuwa wakifanyiwa vitendo wa ukatili ikiwemo kubakwa.
Mwandishi wa gazeti hili, Machi 10, mwaka huu alitembelea kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum wakiwemo walemavu wa ngozi cha Buhangija Jumuishi kilichopo Manispaa ya Shinyanga na kukutana na binti mwenye umri chini ya miaka 18 ambaye alifanyiwa ukatili...
10 years ago
Vijimambo18 Mar
CHAMA CHA MADAKTARI WA KINYWA NA MENO WAENDELEA KUTOA HUDUMA YA BURE KATIKA KITUO CHA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI ALBINO
![](http://api.ning.com/files/afJNJUtdOc7ov-gqEiHQEERch9qXthjChL6DcF-BVFe7qe-DX5qTkHIqDR5YEONOicJqV-utIoa2135EnoFW8B1oWbiS5KRh/unnamed.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/afJNJUtdOc4tqLoeCL89vyp8P-OFzZoG0wJEpY4r7wYFyto0aSWrzOUMp8BtdGSmdlOEAtwMNKz9jJ8adEqCOwdcaUPzOv9v/unnamed2.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc7ov-gqEiHQEERch9qXthjChL6DcF-BVFe7qe-DX5qTkHIqDR5YEONOicJqV-utIoa2135EnoFW8B1oWbiS5KRh/unnamed.jpg?width=650)
CHAMA CHA MADAKTARI WA KINYWA NA MENO WAENDELEA KUTOA HUDUMA YA BURE KATIKA KITUO CHA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI ALBINO
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Ngozi; bidhaa isiyothaminiwa nchini
NGOZI ni bidhaa inayoweza kuzalisha vitu mbalimbali kwa ajili ya matumizi ya binadamu na kuchangia kwa kiwango kikubwa kuboresha maisha ya mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla. Kwa mujibu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4eVnJc0AsFU/VOdRLJ__QHI/AAAAAAAHEyo/WAWCTlW1_04/s72-c/DSC_0891.jpg)
MWANAMITINDO TAUSI LIKOKOLA AWASILI NCHINI,AWAPA CHANGAMOTO WANAMITINDO NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-4eVnJc0AsFU/VOdRLJ__QHI/AAAAAAAHEyo/WAWCTlW1_04/s1600/DSC_0891.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tjNWY0bPwW8/VOdRK72AvtI/AAAAAAAHEys/Gf6cHCIYl4I/s1600/DSC_1094.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jE687D6VxOE/VOdRLAG2rjI/AAAAAAAHEyk/nSDj3cEBBZs/s1600/DSC_1152.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
WOP na nia ya kunusuru soko la ngozi nchini
TANZANIA ni miongoni mwa nchi zenye idadi kubwa ya mifugo ikilinganishwa na nchi nyingine. Takwimu kutoka katika Wizara ya Uvuvi na Maendeleo ya Mifugo zinaonyesha kuwa kuna ng’ombe milioni 21.3; ...
11 years ago
Mwananchi31 Jan
AFYA YA NGOZI: Saratani ya ngozi aina ya Melanoma ni hatari kiasi gani?
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Va-HN9etES0/VTtq0XqLrmI/AAAAAAAHTHU/bA54pFKNnXs/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
WAZIRI WA NCHI AKUTANA NA VIONGOZI WA WALEMAVU WA NGOZI NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Va-HN9etES0/VTtq0XqLrmI/AAAAAAAHTHU/bA54pFKNnXs/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dM9fmsKnmsY/VTtq0v8TQxI/AAAAAAAHTHY/KzkF3-x1xE4/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
11 years ago
Mwananchi01 Aug
AFYA YA NGOZI: Maradhi ya ngozi kwa njia ya ngono