WOP na nia ya kunusuru soko la ngozi nchini
TANZANIA ni miongoni mwa nchi zenye idadi kubwa ya mifugo ikilinganishwa na nchi nyingine. Takwimu kutoka katika Wizara ya Uvuvi na Maendeleo ya Mifugo zinaonyesha kuwa kuna ng’ombe milioni 21.3; ...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 Feb
Serikali kunusuru machinga nchini
SERIKALI imeingilia kati manyanyaso wanayopata wafanyabiashara ndogo na mamalishe nchini, kwa kuamua kuunda kikosi cha kiofisi, kitakachohusisha wajasiriamali hao kwa lengo la kukubaliana juu ya maeneo na muda mwafaka wa kuendesha shughuli zao.
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Ngozi; bidhaa isiyothaminiwa nchini
NGOZI ni bidhaa inayoweza kuzalisha vitu mbalimbali kwa ajili ya matumizi ya binadamu na kuchangia kwa kiwango kikubwa kuboresha maisha ya mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla. Kwa mujibu...
10 years ago
StarTV10 Jan
Uzalishaliji Ngozi waendelea kuwa changamoto nchini
Na Esther Nangale
Mwanza.
Tanzania inatajwa kuwa nchi ya pili kwa kuwa na mifugo mingi barani Afrika ikitanguliwa na Ethiopia, lakini kipato kinachopatikana kutokana na mazao ya mifugo hakilingani na idadi ya mifugo hiyo.
Zao la ngozi linatajwa kuwa miongoni mwa mazao yanayotoa mchango katika maendeleo ya kiuchumi na ya kijamii kwa kutoa wa fursa za ajira, na kuingiza fedha za kigeni na hivyo kuifanya serikali kuongeza mapato.
Tanzania ilipopata uhuru mwaka 1961 kulikuwa na viwanda...
11 years ago
Mwananchi31 Jan
AFYA YA NGOZI: Saratani ya ngozi aina ya Melanoma ni hatari kiasi gani?
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Va-HN9etES0/VTtq0XqLrmI/AAAAAAAHTHU/bA54pFKNnXs/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
WAZIRI WA NCHI AKUTANA NA VIONGOZI WA WALEMAVU WA NGOZI NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Va-HN9etES0/VTtq0XqLrmI/AAAAAAAHTHU/bA54pFKNnXs/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dM9fmsKnmsY/VTtq0v8TQxI/AAAAAAAHTHY/KzkF3-x1xE4/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
11 years ago
Mwananchi01 Aug
AFYA YA NGOZI: Maradhi ya ngozi kwa njia ya ngono
10 years ago
Dewji Blog30 Mar
Jamii itoe ushirikiano kukomesha mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi nchini
Na. Johary Kachwamba – MAELEZO, DODOMA
JAMII imetakiwa kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi nchini katika kutoa taarifa zitakazo fanikisha kukamatwa kwa wote walioshiriki mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi nchini.
Wito huo umetolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. Pereira Silima (pichani) bungeni mjini Dodoma alipokuwa akijibu swali la nyongeza la Mhe. Al -Shaimaa Kwegyir, Mbunge wa Viti Maalum aliyehoji kuchelewa kwa taarifa ya kupatikana kwa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi,...
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Wawezeshaji wa kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamtaka serikali kuchukua hatua kunusuru Tembo nchini
Miongoni mwa matukio ya tembo kufanyiwa ujangili kwa kutolewa pembe zake kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya marigafi.
Na Rabi Hume
Vijana wa kitanzania ambao wameungana na kuanzisha kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamemtumia barua ya wazi rais Dr. John Magufuli kwa kumtaka serikali yake ichukue hatua za makusudi ili kuokoa tembo waliosalia nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari, Mratibu wa kampeni hiyo Shubert Mwarabu amesema wao kama vijana wameamua kumwandikia barua hiyo rais...
11 years ago
Habarileo22 Jan
Paras India yaonesha nia kuwekeza afya nchini
UJUMBE wa uongozi wa juu wa Shirika la Afya la Paras la nchini India linalomiliki hospitali za ngazi ya kimataifa, umewasili jijini Dar es Salaam jana ambapo pamoja na mambo mengine umeanza mchakato kuwekeza katika sekta ya afya. Ujumbe huo ukiongozwa na Naibu Meneja wa Hospitali hizo anayehusika na Uhusiano wa Kimataifa, Anuradha Sharma, ulipokelewa na Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya Yono Auction Mart ambaye ni Mbunge wa zamani wa Njombe Magharibi, Yono Kevela.