Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UZI MPYA WA PUMA ARSENAL

Rangi ya Bluu: Jezi mpya ya mechi za ugenini itakayotumika msimu 2014/15 Arsenal. Jezi ya mechi za nyumbani msimu ujao…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Ujenzi wa maabara waleta kizaazaa kwa uongozi mpya Puma

DSC03554

Diwani kata ya Puma wilaya ya Ikungi (CCM) Ramadhani Kulungu, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya kusomwa kwa taarifa ya mapato na matumizi ya michango ya ujenzi wa maabara.

Na Nathaniel Limu, Puma

MWENYEKITI  mpya wa serikali ya kijiji cha Puma tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida kupitia CCM,Sifa Joramu Hema, alipata wakati mgumu na hivyo kushindwa kuongoza mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya yeye na wajumbe wake,kutambulishwa kwa wananchi...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Uzi mpya Stars urejeshe hamasa, mapenzi’

Hamasa na mapenzi makubwa waliyokuwa nayo Watanzania kwa timu yao ya Taifa, Taifa Stars yamepotea siku za karibuni kutokana na sababu mbalimbali, zikiwamo matokeo mabaya ya timu hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Mashabiki wa Barcelona wagomea uzi mpya wa timu yao

Nguvu ya umma haizuiliki. Hivyo, ndivyo unavyoweza kueleza uamuzi wa mashabiki wa klabu ya Barcelona kukataa jezi mpya za klabu hiyo.

 

10 years ago

Michuzi

PIGA KURA ILI TUPATE UZI MPYA WA TIMU YA TAIFA

Watanzania wanatakiwa kupigia kura jezi ya timu ya Taifa ya nyumbani na ugenini kupitia mtandao wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) wa www.tff.or.tz ambapo jezi hizo zimewekwa.
TFF ilipokea mapendekezo ya mwonekano mpya wa jezi ya timu ya Taifa kutoka kwa Watanzania 86. Jezi 11 za nyumbani, bukta nane za nyumbani, jezi nane za ugenini na bukta tano za ugenini ndizo zimepitishwa kwa ajili ya kupigiwa kura.
Mwisho wa kupiga kura ni Desemba 31 mwaka huu. Mpigaji kura anatakiwa...

 

10 years ago

Michuzi

MACHAVA FC KUTUMIA UZI MPYA TOKA MEGATRADE KATIKA MECHI YAO DHIDI YA PANONE FC ITAKAYOSHUHUDIWA NA MAGWIJI WA REAL MADRID UWANJA WA USHIRIKA MOSHI

Meneja Mauzo wa kampuni ya Megatrade Investment Ltd ya jijini Arusha ,Edmund Rutaraka (kushoto)akikabidhi msaada wa jezi kwa Makamu mwenyekiti wa timu ya soka ya Machava fc,Abuu Masudi.Baadhi ya wachezaji wa kikosi cha timu ya Machava fc ya mkoani Kilimanjaro wakionesha uzi mpya waliopewa na kampuni ya Megatrade Investment ya jijini Arusha kwa ajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya Panone fc uliondaliwa mahususi kwa ajili ya Magwiji wa soka wa klabu ya Real Madrid utakaopigwa katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rihanna kujiunga na Puma

Msanii wa muziki nchini Marekani Rihanna anajiandaa kuanza kufanya kazi katika kampuni ya michezo Puma.

 

10 years ago

Africanjam.Com

JEZI MPYA YA ARSENAL MSIMU UJAO 2015/16


Kwa wale wanaojiuliza ni lini Arsenal watatoa jezi zao mpya za Puma kwa ajili ya msimu wa 2015/2016, jibu hili hapa. Jezi za nyumbani za Arsenal zitakazotumika msimu ujao wa 2015/2016 zimevuja….hivyo mashabiki wa London na duniani kote wajiandae kupata mzigo mpya.

 

10 years ago

Africanjam.Com

PICHA: ARSENAL WALIVYOTANGAZA JEZI ZAO MPYA

Maandalizi ya zile pilikapilika za Ligi mbalimbali Ulaya yanaendelea, kwenye Klabu kuna mengi yanafanyika ikiwemo kubadili Jezi zao na kuzitangaza.
henyArsenal wameingia kwenye Headlines nao baada ya kuzindua Jezi zao mpya watakazozitumia msimu wa 2015/16… Uzinduzi umefanyika kwenye Uwanja wao wa nyumbani wa Emirates, London na MC alikuwa striker wa zamani wa Klabu hiyo, Thierry Henry.heny3Fans wa Klabu hiyo nao walipata nafasi ya kushuhudia tukio hilo jingine kubwa la Kihistoria.heny2heny4heny9heny8heny7heny1011Ars IIUnahitaji chochote...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rihanna aajiriwa na kamapuni ya Puma

Msanii wa muziki nchini Marekani Rihanna anajiandaa kuanza kufanya kazi katika kampuni ya michezo Puma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani