Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rihanna aajiriwa na kamapuni ya Puma

Msanii wa muziki nchini Marekani Rihanna anajiandaa kuanza kufanya kazi katika kampuni ya michezo Puma.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Rihanna kujiunga na Puma

Msanii wa muziki nchini Marekani Rihanna anajiandaa kuanza kufanya kazi katika kampuni ya michezo Puma.

 

11 years ago

GPL

MTOTO AAJIRIWA, ADAI KUTESWA

Stori: Shani Ramadhani Mbaya! Mtoto mwenye umri wa miaka (14) anadaiwa kuajiriwa akiwa na umri mdogo kinyume cha sheria za kazi kisha kupokea kipigo na manyanyaso kutoka kwa mtu anayedai ni bosi wake aliyemtaja kwa jina moja la Agness. Mtoto mwenye umri wa miaka (14) ambaye ni mwenyeji wa Rombo mkoani Kilimanjaro anayeripoti manyanyaso kutoka kwa mtu anayedaiwa kuwa bosi wake. Kwa mujibu wa mashuhuda, mbali na kuwepo kwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkalimani wa mazishi ya Mandela aajiriwa

Mkalimani katika mazishi ya Mandela apata ajira

 

11 years ago

GPL

MAMA AJIFANYA NESI, AAJIRIWA HOSPITALINI KWA MUDA MREFU, ADAKWA!

Stori: Brighton Masalu na Andrew Carlos Hatari sana! Mwanamke aliyetambulika kwa jina la Joyce Jonas, mwenye umri unaokadiriwa kuwa kati ya miaka 45 na 50, mkazi wa Tabata, Dar, ametiwa mbaroni kwa madai ya kughushi vyeti vya unesi kisha kufanya kazi ya uuguzi katika hospitali mbalimbali, akijishughulisha na upasuaji bila kuwa na utaalamu wa taaluma hiyo. Mwanamke aliyetambulika kwa jina la Joyce Jonas ametiwa mbaroni kwa madai...

 

11 years ago

GPL

UZI MPYA WA PUMA ARSENAL

Rangi ya Bluu: Jezi mpya ya mechi za ugenini itakayotumika msimu 2014/15 Arsenal. Jezi ya mechi za nyumbani msimu ujao…

 

10 years ago

Dewji Blog

Puma and DHL Express Tanzania announce retail partnership

1-IMG_1540

Mr. Philippe Corsaletti (left) Managing Director of Puma Energy in Tanzania with Mr. Maurice Effombo (right) Country Manager DHL Express Tanzania during the signing of a retail partnership in a bid to provide customers with better access to global express services.

1-IMG_1595

Mr. Philippe Corsaletti(left) Managing Director of Puma Energy in Tanzania with Mr. Maurice Effombo (right) Country Manager DHL Express Tanzania  addressing the media during the signing of a retail partnership in a bid to...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ujenzi wa maabara waleta kizaazaa kwa uongozi mpya Puma

DSC03554

Diwani kata ya Puma wilaya ya Ikungi (CCM) Ramadhani Kulungu, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya kusomwa kwa taarifa ya mapato na matumizi ya michango ya ujenzi wa maabara.

Na Nathaniel Limu, Puma

MWENYEKITI  mpya wa serikali ya kijiji cha Puma tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida kupitia CCM,Sifa Joramu Hema, alipata wakati mgumu na hivyo kushindwa kuongoza mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya yeye na wajumbe wake,kutambulishwa kwa wananchi...

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA PUMA ENERGY YAMKABIDHI SILIMA MAMILIONI YA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI

 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima (katikati) akimshukuru Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Puma Energy nchini, Philippe Corsaletti (kulia) baada ya kupokea hundi yenye thamani ya Sh. Milioni 40 msaada uliotolewa kwa ajili ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani inayotarajiwa kufanyika wiki ijayo, jijini Arusha. Kushoto ni Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Naibu Kamishna, Mohamed Mpinga. Makabidhiano hayo yalifanyika katika Ukumbi mdogo wa Wizara hiyo,...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YAPATA GAWIO LA FAIDA LA SHILINGI BILIONI 3 KUTOKA KAMPUNI YA PUMA ENERGY TANZANIA LIMITED

Waziri wa Fedha, Mh. Saada Mkuya Salum (wa pili kulia) akiwa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dr. Servacius Likwelile pamoja na Msajili wa Hazina, Nd. Lawrence Mafuru wakipokea hundi ya mfano ya shilingi Bilioni 3 kutoka Kampuni ya Puma Energy Tanzania Limited iliyokabidhiwa na Mkuu wa Puma Energy Tanzania Limited, Nd. Philippe Corsaletti. Waziri wa Fedha, Mh. Saada Mkuya Salum akiwashukuru watendaji wakuu wa Puma Energy Tanzania Limited kwa kuwasilisha kwa Serikali gawio la faida la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani