Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uzinduzi Mtenda Akitendewa wahamia Meeda

BAADA ya bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kimbembe’ kuwapagawisha wakazi wa Mbagala na vitongoji vyake katika uzinduzi wa albamu ya ‘Mtenda Akitendewa’ sasa uzinduzi huo unahamia Ukumbi wa Meeda...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Uzinduzi Mtenda Akitendewa waacha gumzo

UZINDUZI wa albamu ya ‘Mtenda Akitendewa’ umeacha gumzo kwa mashabiki waliojitokeza kwenye ukumbi wa Dar Live Mbagala jijini Dar es Salaam juzi, ambapo mnenguaji mahiri hapa nchini, Super Nyamwela, alipagawisha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Usiku wa mtenda akitendewa’ Feb. 22

BAADA ya kimya cha muda mrefu, hatimaye albamu ya ‘Mtenda akitendewa’ ya Extra Bongo Next Level ‘Wazee wa Kimbembe’ ipo tayari na inatarajiwa kuzinduliwa Ukumbi wa Dar Live Mbagala jijini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Extra Bongo kuzindua ‘Mtenda Akitendewa’

BENDI inayokuja kwa kasi katika tasnia ya muziki wa dansi hapa nchini, Extra Bongo ‘Wazee wa Kimbembe, Kizigo’ wanatarajia kuzindua albamu yao mpya ijulikanayo kama ‘Mtenda Akitendewa’. Uzinduzi huo wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Extra Bongo kuzindua Mtenda Akitendewa Handeni

BENDI ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kimbembe Next Level’ wanatarajiwa kutoa burudani ya aina yake katika Ukumbi wa CCM Handeni mkoani Tanga, Ijumaa. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es...

 

11 years ago

Michuzi

ali Choki atinga ukumbini na Ambulance kuzindua albamu yake ya "Mtenda akitendewa!"

Ilikuwa ni siku ya aina yake kwa bendi ya Extra Bongo "wazee wa kizigo" walipokuwa wakizindua albamu yao ya "Mtenda akitendewa" na kuacha gumzo kwa mamia ya mashabiki waliojitokeza katika ukumbio wa Dar Live kitongojini Mbagala jijini Dar es salaam wikiendi hii. Asante kwa udhamini wa Vodacom kufanikisha Tamasha hilo.   Palikuwa hapatoshi katika ukumbi huo wa taifa wa burudani wa Dar Live uliopo Mbagala jijini Dar es Salaam ambapo bendi kaadhaa za muziki wa dansi na wasanii wa bongo flava...

 

11 years ago

GPL

BENDI YA EXTRA BONGO IMEZINDUA ALBAMU YAKE YA ‘MTENDA AKITENDEWA’ DAR LIVE

Kiongozi wa Extra Bongo, Ally Choky (kushoto) na Muumin Mwinjuma wakiimba kwa pamoja katika uzinduzi wa albamu ya Mtenda akitendewa usiku huu Dar Live. ...Banza Stone mmoja wa vivutio.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Extra Bongo, Yamoto ndani ya Meeda

BENDI ya muziki wa dansi ya Extra Bongo ‘Next Level Wazee wa Kimbembe’, Jumamosi hii itaungana na kundi la Yamoto linaloongozwa na Saidi Fela ‘Mkubwa Fela’ kuwasha moto wa burudani...

 

11 years ago

GPL

EXTRA BONGO YAWAKUTANISHA MAFAHARI WATATU MKESHA WA KRISMAS MEEDA

Mwijuma Mumini akiwajibika jukwaani na Bendi ya Extra Bongo kwenye mkesha wa Krismas ndani ya Ukumbi wa meeda Usiku wa kuamkia leo,ambapo bendi hiyo ilikuwa ikifanya makamuzi yake na yeye akiwa ni moja ya watumbizaji. Wacheza shoo wa kiume wa Bendi ya Extra Bongo,wakiwajibika usiku wa kuamkia leo ndani ya Ukumbi wa Meeda Sinza jijini Dar es Salam,katika mkesha wa Krismas.… ...

 

9 years ago

Raia Mwema

Utamjuaje kiongozi mtenda maovu?

KWENYE kujibu hili inahusu zaidi falsafa ya kimaadili.

Mwandishi Wetu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani