Uzinduzi wa chapisho la Tatu la Taarifa za Msingi za Kidemografia, Kijamii na kiuchumi kufanyika Mei 25
Uzinduzi wa chapisho la Tatu la Taarifa za Msingi za Kidemografia, Kijamii na kiuchumi linalotokana na Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 (Basic Demographic and Socio-Economic Profile) katika ngazi ya Taifa uliokuwa umepangwa kufanyika siku ya jumapili tarehe 25 Mei, 2014 umeahirishwa.
Uzinduzi huo sasa utafanyika rasmi tarehe 10 Juni, 2014 katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwl. Julius Nyerere uliopo mtaa wa Shaaban Robert jijini Dar es Salaam kuanzia saa 3:00 asubuhi.
Mgeni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziChapisho la Tatu la Taarifa za msingi za Kidemografia,kijamii na kiuchumi kuzinduliwa MEI 25, 2014
11 years ago
Michuzi11 Jun
NBS YAENDESHA SEMINA KUHUSU CHAPISHO LA TAARIFA ZA MSINGI ZA KIDEMOGRAFIA, KIJAMII NA KIUCHUMI KATIKA HOTELI YA PEACOCK
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/118.jpg)
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Rais Jakaya Kikwete azindua chapisho la tatu la taarifa za msingi za Sensa
Rais Jakaya Kikwete akitoa hotuba yake kabla ya kuzindua Chapisho la Tatu la taarifa za msingi za Kidemografia,Kijamii na Kiuchumi linalotokana na Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 na Matumizi ya tovuti katika kupata taarifa mbalimbali kuhusu Sensa ya Watu na Makazi kwenye ukumbi wa mikutano wa Mwalimu J.K.Nyerere jijini Dar es Saalam leo.
Rais Jakaya Kikwete akitoa hotuba yake kabla ya kuzindua Chapisho la Tatu la taarifa za msingi za Kidemografia,Kijamii na Kiuchumi linalotokana...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sqe4IM2nqQg/U5c-BKRZ1HI/AAAAAAAFpmA/jWmz6_dmjVQ/s72-c/unnamed.jpg)
Rais Kikwete azindua Chapisho la Tatu la Taarifa za Sensa
![](http://4.bp.blogspot.com/-sqe4IM2nqQg/U5c-BKRZ1HI/AAAAAAAFpmA/jWmz6_dmjVQ/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gc1eMcwTRSw/U2Nb54ZnPLI/AAAAAAAFe3I/tOs9qpcOP6c/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Mkutano mkubwa wa Kimataifa wa Wafadhili wa kustawisha Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii ya Zanzibar,kufanyika robo mwaka ya mwisho ya mwaka huu
Mkutano huo utakofadhiliwa na Serikali ya Oman unatatarajiwa pia kujumuisha Wawekezaji wa sekta ya fedha na uchumi kutoka Mataifa na Taasisi tofauti Duniani . Mjumbe Maalum wa Serikali ya Oman Bwana Yahya Al – Ureim alieleza...
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA FEDHA -SAADA MKUYA AONGOZA UZINDUZI WA CHAPISHO KUU LA UTAFITI WA MAPATO NA MATUMIZI YA KAYA BINAFSI 2011-2012-TANZANIA BARAâ€
10 years ago
Tanzania Daima25 Nov
UDA kuendelea kusaidia miradi ya kijamii, kiuchumi
SHIRIKA la Usafiri Dar es Salaam (UDA) limethibitisha kuwa litaendelea kusaidia miradi ya uwezeshaji ya kiuchumi nchini, ili kusaidia kuinua ukuaji wa maendeleo ya kiuchumi nchini. Akizungumza wakati wa uzinduzi...
10 years ago
Michuzi12 Apr
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FKhAKP8g2_c/VDpR_jTmoQI/AAAAAAAGpeE/Sc7_lGZbuKs/s72-c/DSW1.jpg)
DSW yafungua Vituo 33 vya kuwaweza Vijana Kiuchumi na Kijamii
![](http://1.bp.blogspot.com/-FKhAKP8g2_c/VDpR_jTmoQI/AAAAAAAGpeE/Sc7_lGZbuKs/s1600/DSW1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6fpb9m0NM8A/VDpSBearO5I/AAAAAAAGpeM/w0yPsSuHTrE/s1600/DSW2.jpg)