Rais Jakaya Kikwete azindua chapisho la tatu la taarifa za msingi za Sensa
Rais Jakaya Kikwete akitoa hotuba yake kabla ya kuzindua Chapisho la Tatu la taarifa za msingi za Kidemografia,Kijamii na Kiuchumi linalotokana na Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 na Matumizi ya tovuti katika kupata taarifa mbalimbali kuhusu Sensa ya Watu na Makazi kwenye ukumbi wa mikutano wa Mwalimu J.K.Nyerere jijini Dar es Saalam leo.
Rais Jakaya Kikwete akitoa hotuba yake kabla ya kuzindua Chapisho la Tatu la taarifa za msingi za Kidemografia,Kijamii na Kiuchumi linalotokana...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sqe4IM2nqQg/U5c-BKRZ1HI/AAAAAAAFpmA/jWmz6_dmjVQ/s72-c/unnamed.jpg)
Rais Kikwete azindua Chapisho la Tatu la Taarifa za Sensa
![](http://4.bp.blogspot.com/-sqe4IM2nqQg/U5c-BKRZ1HI/AAAAAAAFpmA/jWmz6_dmjVQ/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
MichuziChapisho la Tatu la Taarifa za msingi za Kidemografia,kijamii na kiuchumi kuzinduliwa MEI 25, 2014
11 years ago
Michuzi24 May
Uzinduzi wa chapisho la Tatu la Taarifa za Msingi za Kidemografia, Kijamii na kiuchumi kufanyika Mei 25
Uzinduzi huo sasa utafanyika rasmi tarehe 10 Juni, 2014 katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwl. Julius Nyerere uliopo mtaa wa Shaaban Robert jijini Dar es Salaam kuanzia saa 3:00 asubuhi.
Mgeni...
9 years ago
Dewji Blog17 Oct
Rais Jakaya Kikwete ahimiza amani ilikuvutia zaidi wawekezaji, azindua rasmi jiwe la msingi Bandari ya Bagamoyo
Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete (katikati) akiwa sambamba na viongozi waandamizi wa China na Oman wakichanganya mchanga kwa pamoja na kuweka kwenye kalai kuashiria tukio hilo la ufunguzi wa jiwe la Msingi la ujenzi wa bandari ya Kisasa ya Bagamoyo kwa msaada wa nchi hizo mbili za China na Oman. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
Na Andrew Chale, Modewjiblog.
[BAGAMOYO-PWANI] Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amewahimiza watanzania kuendelea kuienzi...
9 years ago
Dewji Blog17 Oct
Makamu wa Rais Dkt. Bilal amwakilisha Rais Jakaya Kikwete, azindua HALOTEL TANZANIA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (katikati) akizungumza jambo na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick, wakati walipokuwa kwenye Hafla ya uzinduzi wa Mtandao mpya wa simu za Halotel Tanzania, iliyofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro jijini Dar es Salaam, jana usiku Okt 15, 2015. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na...
11 years ago
Michuzi11 Jun
NBS YAENDESHA SEMINA KUHUSU CHAPISHO LA TAARIFA ZA MSINGI ZA KIDEMOGRAFIA, KIJAMII NA KIUCHUMI KATIKA HOTELI YA PEACOCK
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/118.jpg)
9 years ago
MichuziRAIS JAKAYA KIKWETE KUWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA UJENZI WA BANDARI YA BAGAMOYO
9 years ago
GPLRAIS JAKAYA KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA MOROCCO SQUARE JIJINI DAR