‘Uzio kikwazo Msimbazi Sekondari’
IMEELEZWA kuwa Shule ya Sekondari Msimbazi inashindwa kutunza mazingira ipasavyo kutokana na kutokuwa na uzio. Hayo yalibainishwa na kiongozi wa mazingira wa shule hiyo, Hitesh Harish, wakati wa hafla ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Wazee Muheza waomba uzio
WAZEE wanaoishi kwenye kambi ya ukoma iliyopo Ngomeni, wilayani hapa, wameiomba serikali kuwajengea uzio ili kuwanusuru na vibaka wanaowavamia mara kwa mara na kupora mali zao, ikiwemo mifugo. Walitoa ombi...
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Yanga, Stand wavunja uzio
9 years ago
MichuziMEYA MANISPAA YA KINONDONI ANAYEMALIZA MUDA WAKE YUSUPH MWENDA AZINDUA UZIO WA KISASA SHULE YA MSINGI MIKOCHENI A NA KUWAAGA RASMI WANANCHI WA KATA HIYO
(PICHA ZOTE NA MPIGAPICHA WETU)KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
Vijimambo23 May
HOTUBA YA KAIMU KATIBU TAWALA MKOA WA MWANZA WAKATI WA KUFUNGUA MASHINDANO YA NGAZI YA MKOA YA MICHEZO YA SHULE ZA SEKONDARI TANZANIA (UMISSETA) NSUMBA SEKONDARI TAREHE 23 MEI, 2015
Nimeupokea mwaliko huu kwa furaha kwa vile umenipa fursa ya pekee kuwaona na kuzungumza na hadhara hii ya wanafunzi, Wanamichezo na Walimu wao. Aidha, nitumie fursa hii kuupongeza uongozi wa Nsumba na Jumuia yote kwa maandalizi mazuri ya...
11 years ago
TheCitizen29 May
Sweeping changes begin at Msimbazi
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Hali tete Msimbazi
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Nyumba 100 zabomolewa Msimbazi
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
‘IGP timua askari Msimbazi’
BAADHI wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wamemtaka Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Ernest Mangu, kufanya mabadiliko ya askari katika Kituo cha Polisi Msimbazi, kutokana na kuhusishwa katika tuhuma...
10 years ago
Raia Tanzania24 Jul
Mkwanja wa Okwi watua Msimbazi
MAMBO yamenoga Mtaa wa Msimbazi baada ya juzi kupokea malipo ya kiungo wao mshambuliaji Emmanuel Okwi, aliyeuzwa kwenye klabu ya Sonderjyske FC ya Denmark.
Simba imepokea kiasi cha Dola 110,000 sawa na shilingi milioni 220, kama mauzo ya mchezaji huyo aliyesaini mkataba wa miaka mitano kuichezea timu hiyo.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Kamati ya usajili Simba, Zacharia Hanspope alisema wanashukuru kuona wamepata fedha hizo ambazo hivi sasa wanaweza kumsajili...