Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Uzio kikwazo Msimbazi Sekondari’

IMEELEZWA kuwa Shule ya Sekondari Msimbazi inashindwa kutunza mazingira ipasavyo kutokana na kutokuwa na uzio. Hayo yalibainishwa na kiongozi wa mazingira wa shule hiyo, Hitesh Harish, wakati wa hafla ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wazee Muheza waomba uzio

WAZEE wanaoishi kwenye kambi ya ukoma iliyopo Ngomeni, wilayani hapa, wameiomba serikali kuwajengea uzio ili kuwanusuru na vibaka wanaowavamia mara kwa mara na kupora mali zao, ikiwemo mifugo. Walitoa ombi...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Stand wavunja uzio

Mashabiki wa timu za Yanga na Stand United wameonyeshana ubabe baada ya kuvunja uzio wa Uwanja wa Kambarage uliopo katika jukwaa kuu na kuingia kinguvu.

 

9 years ago

Michuzi

MEYA MANISPAA YA KINONDONI ANAYEMALIZA MUDA WAKE YUSUPH MWENDA AZINDUA UZIO WA KISASA SHULE YA MSINGI MIKOCHENI A NA KUWAAGA RASMI WANANCHI WA KATA HIYO

 Meya wa Manispaa ya Kinondoni anayemaliza muda wake, Yusuph Mwenda (wa pili kushoto) akifuatilia kwa makini matukio ya sherehe hizo sambamba na watendaji.  Vijana wa timu za Kata hiyo wakichuana katika bonanza la sherehe hizo.Mwimbaji wa nyimbo za mipasho, Isha Mashauzi akitumbuiza katika bonanza la sherehe za uzinduzi wa uzio wa kisasa wa Shule ya Msingi Mikocheni A, Manispaa ya Kinondoni mwishoni mwa wiki.
(PICHA ZOTE NA MPIGAPICHA WETU)KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

10 years ago

Vijimambo

HOTUBA YA KAIMU KATIBU TAWALA MKOA WA MWANZA WAKATI WA KUFUNGUA MASHINDANO YA NGAZI YA MKOA YA MICHEZO YA SHULE ZA SEKONDARI TANZANIA (UMISSETA) NSUMBA SEKONDARI TAREHE 23 MEI, 2015

Awali ya yote napenda kuchukua fursa hii kukushukuru Katibu Tawala Msaidizi ambaye ni Afisaelimu wa Mkoa na Viongozi wenzako katika seksheni ya Elimu kwa kunialika kufungua Mashindano haya ya Umoja wa Michezo ya Shule za Sekondari Tanzania (UMISSETA).

Nimeupokea mwaliko huu kwa furaha kwa vile umenipa fursa ya pekee kuwaona na kuzungumza na hadhara hii ya wanafunzi, Wanamichezo na Walimu wao. Aidha, nitumie fursa hii kuupongeza uongozi wa Nsumba na Jumuia yote kwa maandalizi mazuri ya...

 

11 years ago

TheCitizen

Sweeping changes begin at Msimbazi

Simba SC coach Zdravko Logarusic has embarked on a talent identification that is meant to bring in eleven new players at the club next season in what is viewed as the coach’s intention of reforming the club.

 

10 years ago

Mwananchi

Hali tete Msimbazi

Uongozi wa Klabu ya Simba umeingia katika mgogoro wa kisheria na wachezaji wake 10 baada ya kuvunja mikataba yao na kuwapa barua ili wasajiliwe na timu nyingine msimu ujao.

 

9 years ago

Mwananchi

Nyumba 100 zabomolewa Msimbazi

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi jana ilitekeleza shughuli ya ubomoaji nyumba zilizojengwa kwenye Bonde la Mto Msimbazi na kusababisha vilio na huzuni kutoka kwa wakazi na wamiliki wake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘IGP timua askari Msimbazi’

BAADHI wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wamemtaka Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Ernest Mangu, kufanya mabadiliko ya askari katika Kituo cha Polisi Msimbazi, kutokana na kuhusishwa katika tuhuma...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Mkwanja wa Okwi watua Msimbazi

MAMBO yamenoga Mtaa wa Msimbazi baada ya juzi kupokea malipo ya kiungo wao mshambuliaji Emmanuel Okwi, aliyeuzwa kwenye klabu ya Sonderjyske FC ya Denmark.

 Simba imepokea kiasi cha Dola 110,000 sawa na shilingi milioni 220, kama mauzo ya mchezaji huyo aliyesaini mkataba wa miaka mitano kuichezea timu hiyo.

Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Kamati ya usajili Simba, Zacharia Hanspope alisema wanashukuru kuona wamepata fedha hizo ambazo hivi sasa wanaweza kumsajili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani