Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazee Muheza waomba uzio

WAZEE wanaoishi kwenye kambi ya ukoma iliyopo Ngomeni, wilayani hapa, wameiomba serikali kuwajengea uzio ili kuwanusuru na vibaka wanaowavamia mara kwa mara na kupora mali zao, ikiwemo mifugo. Walitoa ombi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wazee Misungwi waomba wizara yao

WAZEE wilayani Misungwi, mkoani Mwanza, wameitaka serikali kuwaundia wizara yao itakayosaidia kutekeleza sera ya huduma mbalimbali kwa wazee kama ilivyo katika kundi la vijana. Ombi hilo lilitolewa na washiriki wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Uzio kikwazo Msimbazi Sekondari’

IMEELEZWA kuwa Shule ya Sekondari Msimbazi inashindwa kutunza mazingira ipasavyo kutokana na kutokuwa na uzio. Hayo yalibainishwa na kiongozi wa mazingira wa shule hiyo, Hitesh Harish, wakati wa hafla ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Stand wavunja uzio

Mashabiki wa timu za Yanga na Stand United wameonyeshana ubabe baada ya kuvunja uzio wa Uwanja wa Kambarage uliopo katika jukwaa kuu na kuingia kinguvu.

 

10 years ago

Vijimambo

MATUKIO KATIKA PICHA YA MTANANGE WA WAZEE WA KUNDUCHI YANGA 0 NA WAZEE WA SAUZI SIMBA 0

Beki wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ (kulia), akiondosha mpira wa hatari katika eneo la langoni kwake huku mshambuliaji wa Simba, Elius Maguri (katikati) akijaribu kunyoosha guu ili kupiga mpira huo bila mafanikio wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliomaliziki jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, bila timu hizo kufungana. Kushoto ni Kelvin Yondan, akijiandaa kutoa msaada.

MATOKEO KAMILI YA MECHI ZA LIGI KUU KATIKA VIWANJA SITA HII LEO:-

YANGA 0- SIMBA 0
NDANDA...

 

5 years ago

Michuzi

WAZEE WAIPONGEZA SERIKALI SHINYANGA KUPUNGUZA MAUAJI YA WAZEE

Baraza la Wazee mkoa wa Shinyanga limeipongeza Serikali ya mkoa huo, kupunguza tatizo la mauaji ya wazee pamoja na watu wenye ualbino, ambao walikuwa akiuawa kwa sababu ya imani potofu za kishirikina.


Wazee wametoa pongezi hizo leo Machi 11,2020 kwenye kikao cha Baraza la Wazee Mkoa wa Shinyanga, kilichofanyika kwenye hospitali ya rufani ya mkoa wa Shinyanga, kilichokuwa na lengo la kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi likiwamo suala la matibabu.  Akisoma...

 

9 years ago

Michuzi

MEYA MANISPAA YA KINONDONI ANAYEMALIZA MUDA WAKE YUSUPH MWENDA AZINDUA UZIO WA KISASA SHULE YA MSINGI MIKOCHENI A NA KUWAAGA RASMI WANANCHI WA KATA HIYO

 Meya wa Manispaa ya Kinondoni anayemaliza muda wake, Yusuph Mwenda (wa pili kushoto) akifuatilia kwa makini matukio ya sherehe hizo sambamba na watendaji.  Vijana wa timu za Kata hiyo wakichuana katika bonanza la sherehe hizo.Mwimbaji wa nyimbo za mipasho, Isha Mashauzi akitumbuiza katika bonanza la sherehe za uzinduzi wa uzio wa kisasa wa Shule ya Msingi Mikocheni A, Manispaa ya Kinondoni mwishoni mwa wiki.
(PICHA ZOTE NA MPIGAPICHA WETU)KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

11 years ago

IPPmedia

'Several Muheza schools have only one teacher'


IPPmedia
'Several Muheza schools have only one teacher'
IPPmedia
Several schools in Muheza district are reported to have as few as two teachers and others are said to shockingly have but one teacher for the entire school which on average have several hundred pupils. Muheza District Council says it needs at least 110 ...

 

11 years ago

Dewji Blog

DC Muheza ashauriwa na wananchi

DSC09680

Pichani ni Mkuu wa Wilaya ya Muheza, Subira Mgalu.

Na Mwandishi wetu

Wakazi wa kijiji cha Kicheba, Muheza, Tanga wamemuomba Mkuu wa Wilaya hiyo, Subira Mgalu, kuwa makini na viongozi wa kijiji hicho, kwani wanaweza kumgombanisha nao kwa ajili ya malengo yao binafsi.

Mmoja wa wakazi hao, ambaye hakupenda jina lake liandikwe kwenye mtandao wetu, alisema viongozi wa kijiji hicho, wamekuwa wakitekeleza majukumu yao vibaya huku wakidai kuwa hayo ni maagizo kutoka wailayani.

Alisema hivi karibuni...

 

10 years ago

Tanzania Daima

NHC yawakumbuka vijana Muheza

SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limekabidhi mashine nne za kufyatulia matofali kwa vijana 40 wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza ili kusaidia wajasiliamali wadogo kupitia vikundi. Akikabidhi mashine hizo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani