Wazee Muheza waomba uzio
WAZEE wanaoishi kwenye kambi ya ukoma iliyopo Ngomeni, wilayani hapa, wameiomba serikali kuwajengea uzio ili kuwanusuru na vibaka wanaowavamia mara kwa mara na kupora mali zao, ikiwemo mifugo. Walitoa ombi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Wazee Misungwi waomba wizara yao
WAZEE wilayani Misungwi, mkoani Mwanza, wameitaka serikali kuwaundia wizara yao itakayosaidia kutekeleza sera ya huduma mbalimbali kwa wazee kama ilivyo katika kundi la vijana. Ombi hilo lilitolewa na washiriki wa...
10 years ago
Tanzania Daima06 Oct
‘Uzio kikwazo Msimbazi Sekondari’
IMEELEZWA kuwa Shule ya Sekondari Msimbazi inashindwa kutunza mazingira ipasavyo kutokana na kutokuwa na uzio. Hayo yalibainishwa na kiongozi wa mazingira wa shule hiyo, Hitesh Harish, wakati wa hafla ya...
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Yanga, Stand wavunja uzio
10 years ago
VijimamboMATUKIO KATIKA PICHA YA MTANANGE WA WAZEE WA KUNDUCHI YANGA 0 NA WAZEE WA SAUZI SIMBA 0
MATOKEO KAMILI YA MECHI ZA LIGI KUU KATIKA VIWANJA SITA HII LEO:-
YANGA 0- SIMBA 0
NDANDA...
5 years ago
MichuziWAZEE WAIPONGEZA SERIKALI SHINYANGA KUPUNGUZA MAUAJI YA WAZEE
Wazee wametoa pongezi hizo leo Machi 11,2020 kwenye kikao cha Baraza la Wazee Mkoa wa Shinyanga, kilichofanyika kwenye hospitali ya rufani ya mkoa wa Shinyanga, kilichokuwa na lengo la kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi likiwamo suala la matibabu. Akisoma...
9 years ago
MichuziMEYA MANISPAA YA KINONDONI ANAYEMALIZA MUDA WAKE YUSUPH MWENDA AZINDUA UZIO WA KISASA SHULE YA MSINGI MIKOCHENI A NA KUWAAGA RASMI WANANCHI WA KATA HIYO
(PICHA ZOTE NA MPIGAPICHA WETU)KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
11 years ago
IPPmedia24 Feb
'Several Muheza schools have only one teacher'
IPPmedia
IPPmedia
Several schools in Muheza district are reported to have as few as two teachers and others are said to shockingly have but one teacher for the entire school which on average have several hundred pupils. Muheza District Council says it needs at least 110 ...
11 years ago
Dewji Blog12 Aug
DC Muheza ashauriwa na wananchi
Pichani ni Mkuu wa Wilaya ya Muheza, Subira Mgalu.
Na Mwandishi wetu
Wakazi wa kijiji cha Kicheba, Muheza, Tanga wamemuomba Mkuu wa Wilaya hiyo, Subira Mgalu, kuwa makini na viongozi wa kijiji hicho, kwani wanaweza kumgombanisha nao kwa ajili ya malengo yao binafsi.
Mmoja wa wakazi hao, ambaye hakupenda jina lake liandikwe kwenye mtandao wetu, alisema viongozi wa kijiji hicho, wamekuwa wakitekeleza majukumu yao vibaya huku wakidai kuwa hayo ni maagizo kutoka wailayani.
Alisema hivi karibuni...
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
NHC yawakumbuka vijana Muheza
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limekabidhi mashine nne za kufyatulia matofali kwa vijana 40 wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza ili kusaidia wajasiliamali wadogo kupitia vikundi. Akikabidhi mashine hizo...