Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazee Misungwi waomba wizara yao

WAZEE wilayani Misungwi, mkoani Mwanza, wameitaka serikali kuwaundia wizara yao itakayosaidia kutekeleza sera ya huduma mbalimbali kwa wazee kama ilivyo katika kundi la vijana. Ombi hilo lilitolewa na washiriki wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wazee Muheza waomba uzio

WAZEE wanaoishi kwenye kambi ya ukoma iliyopo Ngomeni, wilayani hapa, wameiomba serikali kuwajengea uzio ili kuwanusuru na vibaka wanaowavamia mara kwa mara na kupora mali zao, ikiwemo mifugo. Walitoa ombi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wafanyakazi Wizara ya Habari waelezea namna wizara yao inavyoweza kufanikisha Mkakati wa Kitaifa kuhusu matumizi ya Kondomu

PIX1

Afisa Tawala wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Mussa Varisanga akielezea jambo wakati wa kikao cha pamoja na washauri kuhusu masuala ya Kondomu wakati wakijadili Mkatati wa Taifa wa Matumizi ya Kondomu unaoratibiwa na TACAIDS leo jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mshauri wa Kimataifa kutoka Uganda Bw.Moses Muwonge.

PIX2

Mshauri wa Kimataifa kutoka Uganda Bw.Moses Muwonge akizungumza na baadhi ya maafisa wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo (hawapo pichani) wakati...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wazee Kyela wajutia kauli yao

WAZEE kutoka Kata ya Ipinda wilayani hapa Mkoa wa Mbeya, wamejutia kauli waliyoitoa kwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willbrod Slaa, kuwa chaguo lao ni...

 

10 years ago

Mwananchi

Tumewatelekeza wazee, nasi tunaelekea njia yao— (1)

Makala hii itaangazia masuala ya wazee hapa nchini Tanzania. Leo tutaanza na masuala ya wazee kwa ujumla na Jumapili ijayo tutaendelea na sehemu ya pili.

 

10 years ago

Mwananchi

Tumewatelekeza wazee, nasi tunaelekea njia yao— (2)

Makala ya Jumapili iliyopita imeniletea simu zaidi ya 43 kutoka kwa wazee mbalimbali wa mikoani, ujumbe mfupi pia uliletwa kwa mamia na nisingeweza kusema kila malalamiko waliyotanabaisha wazee wote. Mama Temba kutoka Dar es Salaam ni mstaafu, yeye alifanya kazi serikalini tangu mwaka 1966 na kustaafu mwaka 1998, huyu aliitumikia Serikali kwa miaka 32, aliniambia “…..Mwanangu pamoja na utumishi wote huo hivi sasa na uzee huu Serikali hainipi pensheni inayozidi au kufikia...

 

9 years ago

Michuzi

MFUKO WA BIMA(NHIF) YA KIGOMA WAWAKUMBUKA WAZEE LEO KATIKA SIKU YAO.

Baadhi ya wafanyakazi wa mfuko wa bima ya afya NHIF kigoma wakikabidhi msaada wa vyakula kwa uongozi wa kituo cha Silabu cha kulelea wazee wasiojiweza ikiwa leo ni siku ya maadhimisho ya siku ya wazee duniani. Meneja wa Mfuko wa bima NHIF  ya kigoma akisalimiana na wazee wanaotunzwa katika kambi ya Silabu kata ya kibiriziBaadhi ya wazee wasiojiweza wanaoishi na kutunzwa katika kambi ya kulea wazee ya Silabu kata ya Kibirizi Mkoani hapa


 

Na Editha Karlo.KigomaMFUKO wa Bima ya afya...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA KAZI UWEZESHAJI WAZEE WANAWAKE NA WATOTO


 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto Zanzibar, katika mkutano wa uwasilishaji taarifa ya Utekelezaji Mpango Kazi wa Wizara hiyo kwa kipindi cha mwezi  wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar..(kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi na (kulia kwa Rais) Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu...

 

11 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII BAADA YA KUPITA BAJETI YAO

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Sophia M. Simba (Mb.) na Mhe. Amina Makilagi (Mb) Katibu Mkuu wa UWT, Mhe. Dk. Pindi H. Chana (Mb) Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto na Anna T. Maembe Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto wakipongezana baada ya kupitishwa kwa Bajeti ya Wizara hiyo jumamosi iliyopita Bungeni Dodoma. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Sophia M. Simba (Mb.), Mhe. Dk. Pindi H. Chana (Mb) Naibu Waziri...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto yatoa taarifa kuhusu hali ya Kipindupindu nchini

ummy 1

Waziri Ummy Mwalimu alizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na hali ya kipindupindu nchini ambapo hadi sasa ni mikoa 21 ya Tanzania Bara imeathirika.Jumla ya watu 12,222 wameugua kipindupindu na kati yao watu 196 wameshafariki.

ummy 2

Baadhi ya waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali wakimfuatilia waziri huyo(hayupo pichani) alipokuwa akitoa taarifa hiyo.Hata hivyo Waziri Ummy ameagiza kila wiki (jumatatu) wizara yake kutoa  taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu hali ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani