Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VAI WA UKWELI MPENZI WAKE WAMWAGANA

HAMIDA HASSAN
Msanii wa filamu Bongo, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’ ameachana na mpenzi wake wa muda mrefu aitwaye Bonny baada ya jamaa huyo kuweka ‘bondi’ TV yao sambamba na kupewa kipigo pale alipohoji. Msanii wa filamu Bongo, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’. Chanzo cha habari kilieleza kuwa, awali Vai na jamaa yake huyo walikuwa wakipendana sana lakini hivi karibuni walizinguana...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

VAI WA UKWELI: SIPIKI, NAMSTAREHESHA MPENZI TU!

Stori: Hamida Hassan
MSANII wa filamu Bongo, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’ ametoa kali ya mwaka kwa kusema kuwa, licha ya kwamba sifa ya mwanamke ni kujua kumpikia mume mahanjumati, yeye hana muda wa kupika ila anajua jukumu lake ni kumstarehesha mpenzi wake tu. Msanii wa filamu Bongo, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’. Akipiga stori na paparazi wetu, Vai alisema hawezi kutumia muda wake kupika awapo...

 

10 years ago

GPL

NISHA MPENZI WAKE WAMWAGANA

Na Gladness Mallya
MSANII wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’  na mpenzi wake aliyejulikana kwa jina la Farhad wanadaiwa kumwagana baada ya kuwa kwenye uhusiano kwa muda mrefu.Chanzo makini kililiambia gazeti hili kwamba Nisha na mpenzi wake huyo ambaye walikuwa na mipango ya kuoana mwaka jana lakini ndoa ikayeyuka waliachana kutokana na sababu zisizojulikana na sasa kila mmoja  yupo bize na maisha yake....

 

10 years ago

Bongo Movies

Nisha na Mpenzi Wake Wamwagana

 

Mwigizaji wa kike  anaeonyesha uwezo mkubwa  kwenye tansia ya  filamu hapa Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’  na mpenzi wake aliyejulikana kwa jina la Farhad wanadaiwa kumwagana baada ya kuwa kwenye uhusiano kwa muda mrefu.

Chanzo makini cha GPL,kilisema kwamba Nisha na mpenzi wake huyo ambaye walikuwa na mipango ya kuoana mwaka jana lakini ndoa ikayeyuka waliachana kutokana na sababu zisizojulikana na sasa kila mmoja  yupo bize na maisha yake.

Baada ya kuzinyaka habari hizo paparazi...

 

11 years ago

CloudsFM

NGOMA YA NDAGUSHIMA YA OMMY DIMPOZ NI HISTORIA YA UKWELI YEYE NA MPENZI WAKE

STAA wa Bongo Fleva,Ommy Dimpoz amefunguka kuwa ngoma yake mpya ya Ndagushima ni historia ya kweli na hisia zake za ukweli kwa mpenzi wake anayesoma Ulaya anayeitwa Emmy Mwarabu ila hapa anafunguka jinsi mchakato ulivyokua mpaka akawa na mwanadada huyo ambaye dimpoz huwa anapost picha zake kwenye mtandao.

 

11 years ago

GPL

VAI WA UKWELI NUSURA AVUNJE MGUU!

Na Hamida Hassan MUIGIZAJI wa filamu Bongo Movies, Isabela Francis ’Vai wa Ukweli’ nusura avunje mguu chumbani kwake baada ya bwana’ake Boniface kuibukia uvunguni mwa kitanda ghafla. Muigizaji wa filamu Bongo, Isabela Francis ’Vai wa Ukweli’. Akipiga stori na Amani, Vai alisema tukio hilo lilitokea hivi karibuni ambapo pasipo kujua lengo lake, mchumba wake huyo alijificha uvunguni kama mtu...

 

11 years ago

GPL

VAI WA UKWELI ATOKWA MABAKA MWILINI

Na Gladness Mallya MSANII wa filamu Bongo, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’ amejikuta katika wakati mgumu baada ya kutokwa na mabaka mwili mzima. Msanii wa filamu Bongo, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’ Hivi karibuni, paparazi wetu alimnasa Vai wa Ukweli akiwa nyumbani kwake maeneo ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam ambapo alisema anashukuru Mungu kwani yupo kwenye dozi ya mwezi mzima baada ya...

 

11 years ago

GPL

VAI WA UKWELI: TAMAA YA FEDHA ILINIPONZA, NAJUTA

Stori: Mwandishi Wetu
SIKU chache baada ya msanii anayekuja kwa kasi kwenye tasnia ya filamu za Kibongo, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’ kuingia kwenye kumi na nane za mtego wa kujiuza wa kikosi kazi cha Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’, ameibuka na kusema, anajuta, amekoma na hatarudia tena. Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’ akiwa katika ofisi za GPL akiongea na OFM. Habari ya Vai kunaswa...

 

10 years ago

GPL

10 QUESTIONS VAI WA UKWELI AFUNGUKIA ISHU YA USAGAJI, KUTOA MIMBA!

Wiki hii tunaye msanii wa filamu anayefahamika sana kwa jina la Vai wa Ukweli lakini jina lake halisi ni Isabela Fransis. Mwandishi wetu Hamida Hassan alimbana kwa maswali 10 na yeye alitoa ushirikiano katika kuyajibu, shuka naye… Ijumaa: Hebu waambie wasomaji kuhusu maisha yako ya kimapenzi maana wengi wanahisi hujatulia na una wanaume kibao. Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’ akiwa katika ofisi za GPL. Vai:...

 

11 years ago

Bongo Movies

SHILOLE akataliwa ukweni kisa umri wake kuwa mkubwa kuliko mpenzi wake.


Habari zinadai kwamba baadhi ya ndugu wa msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda ambao ni wakwe wa staa wa muziki na filamu za Kibongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ hawamtaki kwa madai kuwa ana umri mkubwa kuliko ndugu yao.

Wakizungumza na Ijumaa Wikienda kwa nyakati tofauti, baadhi ya wanandugu hao (majina yanahifadhiwa) walisema umri wa Shilole siyo wa kuishi na ndugu yao, Mziwanda kwani hawaendani.

“Ukweli ni kwamba mapenzi hayaingiliwi lakini tunaumia kuona ndugu yetu katika penzi zito na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani