Vanessa atema ndoa
MSANII anayekuja kwa kasi katika tasnia ya filamu nchini, Maria Joseph ‘Vanessa’ amevunja ndoa yake na kudai talaka baada ya kuchoshwa na tabia isiyoridhisha ya mumewe aliyemtaja kwa jina moja...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Jan
JK atema mawaziri 60
10 years ago
Mtanzania19 Feb
JK atema wakuu wa wilaya 19
Na Debora Sanja, Dodoma
RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya wakuu wa wilaya kwa kuwateua wapya 27, huku akiwahamisha 64 katika vituo vyao na wengine 42 amewabakisha katika maeneo yao ya zamani.
Akitangaza mabadiliko hayo jana mjini hapa, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, alisema mabadiliko hayo yamesababishwa na kuwapo kwa nafasi 27 zilizokuwa wazi kutokana na wakuu wake wa wilaya watatu kufariki dunia na wengine kupandishwa vyeo kuwa wakuu wa mikoa.
“Wakuu wa wilaya 27 wameteuliwa kuziba...
10 years ago
Mwananchi12 Jan
Frank atema nyongo
11 years ago
Habarileo17 Feb
Membe atema cheche
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, ametema cheche akitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuruhusu mgombea wa urais mwakani, kujulikana ifikapo Desemba, lakini akawashushia lawama waandishi wa habari nchini.
11 years ago
Mwananchi01 Jan
IGP atema cheche
11 years ago
Mwananchi03 Jul
Mwakyembe atema 13 uwanja wa ndege
11 years ago
Mwananchi20 Jan
JK atema wengine watano, wapya ni 10
9 years ago
Habarileo19 Aug
Mbunge wa zamani atema nyongo
MBUNGE wa Mpwapwa aliyemaliza muda wake na kushindwa katika kura za maoni alipoomba ridhaa ya wanachama wa CCM kuwania tena ubunge wa jimbo hilo, Gregory Teu, amesema hatakuwa tayari kumuunga mkono mgombea aliyepitishwa na chama hicho tawala kuwania katika uchaguzi mkuu ujao, akidai ushindi huo alioupata ni wa mizegwe.
10 years ago
Mwananchi04 Dec
Mmiliki wa IPTL atema cheche