Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VANITHA: VIFO VIMENITOA FUNGATE

Stori: Mayasa Mariwata
MSANII Vanitha Omary aliyeolewa hivi karibuni, amesema vifo vya mfululizo vya wasanii wenzake vimemlazimu kuondoka katika fungate ili ashirikiane na wenzake katika shughuli za misiba. Vanitha aliyefunga ndoa siku moja kabla ya kifo cha msanii Recho Haule, alisema marehemu huyo alikuwa ni mtu wake wa karibu hivyo akalazimika kufuta mapumziko hayo ya baada ya ndoa. “Tangu niolewe balaa juu ya balaa,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

VANITHA, THEA WACHAMBANA MSIBANI

Stori: Hamida Hassan HAIJAKAA poa! Staa wa sinema za Kibongo, salome Ndumbagwe Misayo ‘Thea’ na rafiki yake wa kitambo ambaye pia ni mwigizaji, Vanitha Omary wamepishana kauli na kuchambana vilivyo msibani kwa komediani mkongwe, Said Ngamba ‘Mzee Small’. Mwigizaji wa Bongo muvi, Vanitha Omary akitabasamu. Ishu hiyo iliibuka mara baada ya Thea kumtuhumu Vanitha kumuita mume wake mnafiki kwa kitendo cha...

 

10 years ago

GPL

MUME WANGU SIKUMUIBA KWA RAFIKI YANGU- VANITHA

Wiki hii kupitia safu hii tunaye staa wa filamu za Kibongo Vanitha Omary. Amebanwa maswali mengi na mwandishi wetu Hamida Hassan lakini kutokana na jina la kolamu hii, tunakuletea maswali 10 ‘hot’ aliyoulizwa na yeye kutoa ushirikiano katika kuyajibu licha ya kwamba aliachwa kijasho chembamba kikimtoka. Staa wa filamu za Kibongo Vanitha Omary. Ijumaa: Kuna hizi tetesi kwamba huyu mume wako wa sasa alikuwa ni mpenzi...

 

10 years ago

Habarileo

Escrow yazuia Kafulila kwenda fungate

SAKATA la wizi wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow, limesababisha Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila kutokwenda fungate baada ya kufunga ndoa mwishoni mwa wiki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Korti yatupilia mbali kesi ya 'fungate'

Mahakama nchini Afrika Kusini imetupilia mbali kesi dhidi ya Shrien Dewani , mfanyabiashara mwingereza anayetuhumiwa kuwakodi mamluki waliomuua mkewe Anni Dewani wakati wa fungate yao mjini Cape Town.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wapenzi wafa maji wakiwa fungate

Mke na mume wamepoteza maisha baada ya kuzama baharini nchini Afrika kusini

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Covid-19 ilivyowalazimisha kuendelea na fungate isiyoisha

Ilianza na harusi iliyofanyika katika mji mkuu wa Misri -Cairo tarehe 06 Machi: Miaka minane tangu wakutane, Khaled mwenye umri wa miaka 36 na Peri mwenye umri wa miaka 35 walioana mbele ya marafiki na famiolia zao.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vifo vya corona: Kwanini Uingereza imerekodi vifo vingi vya corona Ulaya?

Hadi kufikia sasa Uingereza inaongoza kwa idadi ya walioambukizwa virusi vya corona Ulaya na kote duniani kulingana na takwimu rasmi. Kipi kilichokoseka?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani