Vibindo na ugumu wa kurasimisha biashara
Kila mara wenye biashara ndogo hukabiliwa na maswali kuhusu usajili wa shughuli zao. Wafanyabiashara hawa ukiwahoji wanasema wazi kwamba hujiuliza maswali kama wasajili/warasimishe biashara zao au waache.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Namna bora ya kurasimisha biashara zetu
Wajasiriamali wengi wadogo hawajarasimisha biashara zao. Kitendo cha kutorasimisha biashara zao kimewafanya kufanya biashara hizo kwa mashaka bila kujiamini. Mara nyingi wamekuwa wakifukuzwa na hata kuchukuliwa bidhaa zao na mamlaka za miji na majiji. Pia, wamekuwa wakikosa huduma muhimu kama vile mikopo kutoka katika taasisi za kifedha na misaada kutoka serikalini kwa kuwa hawana anuani maalumu ya biashara zao.
5 years ago
Michuzi
BRELA YAWATAKA MAMA LISHE KURASIMISHA BIASHARA ZAO
Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imewahimiza Mama lishe wa Mkoa wa Pwani kurasimisha biashara zao kwa kuzisajili ili waweze kulinda biashara zao na kupata fursa mbalimbali.
Rai hiyo imetolewa katika Tamasha la Mama Lishe festival lililofanyika siku ya jana tarehe 28 Februari 2020, kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari Chanzige, Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani.
Akizungumza katika Tamasha hilo Msaidizi wa Usajili Mwandamizi kutoka BRELA, Bi. Leticia Zavu amebainisha kwamba mara...
Rai hiyo imetolewa katika Tamasha la Mama Lishe festival lililofanyika siku ya jana tarehe 28 Februari 2020, kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari Chanzige, Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani.
Akizungumza katika Tamasha hilo Msaidizi wa Usajili Mwandamizi kutoka BRELA, Bi. Leticia Zavu amebainisha kwamba mara...
5 years ago
Michuzi
Njombe:Wazidi kulia na ugumu wa biashara
Na Amiri Kilagalila, Njombe
Hali ya biashara kwa wakazi wa mji wa Njombe imetajwa kuwa kwenye mkwamo kutokana na Ongezeko la kodi hasa katika ukadiriaji wa kodi hatua inayowalazimu baadhi ya wafanyabiashara kufunga milango yao.
Katika mkutano wa kwanza mwaka 2020 wa jumuiya ya wafanyabiashara mjini Njombe,baadhi ya wafanyabiashara akiwemo Agnetha Sanga na Nathaniel mgani wanakiri kuwa hali ya biashara kwa sasa imekuwa ngumu na mauzo kupungua kwa kiasi kikubwa.
Kutokana na hali hiyo serikali...
Hali ya biashara kwa wakazi wa mji wa Njombe imetajwa kuwa kwenye mkwamo kutokana na Ongezeko la kodi hasa katika ukadiriaji wa kodi hatua inayowalazimu baadhi ya wafanyabiashara kufunga milango yao.
Katika mkutano wa kwanza mwaka 2020 wa jumuiya ya wafanyabiashara mjini Njombe,baadhi ya wafanyabiashara akiwemo Agnetha Sanga na Nathaniel mgani wanakiri kuwa hali ya biashara kwa sasa imekuwa ngumu na mauzo kupungua kwa kiasi kikubwa.
Kutokana na hali hiyo serikali...
11 years ago
Michuzi24 Jun
Waziri mkuu Pinda ahudhuria mkutano wa benki ya dunia,awataka wajasiriamali walioko katika sekta isiyo rasmi kurasimisha biashara zao.


5 years ago
Michuzi
10 years ago
GPL
UGUMU WA LOWASSA KUINGIA IKULU
Na Mwandishi Wetu WAKATI wafuasi wa vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi ( Ukawa) wakiwa na shangwe kutokana na kumpata Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kama mgombea wake wa urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, ugumu wa kiongozi huyo kuingia ikulu umebainishwa, Uwazi lina habari kamili. Â ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1IYZQ26 ...
11 years ago
GPL
MAINDA NA UGUMU WA KUACHA MKOROGO
Stori: Mayasa Mariwata STAA wa filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amefunguka kuwa miongoni mwa vitu vilivyokuwa vimeuteka ujana wake ni pamoja na matumizi ya mkorogo ambapo ilikuwa vigumu kuacha baada ya kuokoka. Staa wa filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’. Akipiga stori na paparazi wetu, Mainda alisema kutokana na starehe za ujana pamoja na kutaka kuonekana mrembo, alitumia vipodozi hatari bila kujua...
11 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Kutotafakari mwanzo wa ugumu wa maisha
WIKI iliyopita niliandika makala nikilalamikia michango mikubwa ya sherehe, wamejitokeza wasomaji wengi kuniunga mkono. Karibu wote waliowasiliana na mimi baada ya kuisoma makala hiyo wameniomba niuendeleze mjadala huo kuzidi kuweka...
10 years ago
Mwananchi07 May
HakiElimu yabashiri ugumu wa bajeti
Taasisi ya HakiElimu imetoa tamko kuhusu bajeti ya elimu kwa mwaka wa fedha 2015/16 na kuainisha mambo yanayotakiwa kupewa kipaumbele katika sekta hiyo, huku ikionya kuwa hatua stahiki zisipochukuliwa, kuna hatari ya mwaka ujao wa fedha kuwa mgumu zaidi kiutendaji.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania