Video: Dj D-Ommy akiongelea show ya Bahrain na Afrika Kusini
DJ D-Ommy wa Clouds FM alikuwa Dj mwalikwa kwenye tamasha kubwa la nchini Bahrain linalofanyika kila mwaka la Afro Caribbean Beach Party hivi karibuni. Kabla ya hapo alialikwa pia kutumbuiza kwenye pre-party ya NBA Allstars Game jijini Johannesburg, Afrika Kusini. Amepita kwenye studio zetu kutuambia alichikifanya. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo517 Oct
Ommy Dimpoz ashoot video mbili Marekani na Afrika Kusini
9 years ago
Bongo502 Nov
Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini ampongeza Cassper Nyovest kwa kuweka historia, itazame show iliyomletea heshima hiyo (Video)
![casper the dome](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/casper-the-dome-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo520 Nov
Picha: Lil Ommy wa Times FM afanya ziara kwenye redio za Afrika Kusini, aeleza alichojifunza
![de98d706-c2ab-4594-bc30-a595db645200](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/de98d706-c2ab-4594-bc30-a595db645200-300x194.jpg)
Mtangazaji wa kipindi cha The Playlist cha Times FM, Lil Ommy yupo jijini Johannesburg alikoenda kwenye ziara maalum kujifunza mambo yanayohusiana na redio.
Akiwa huko amezunguka kwenye vituo mbalimbali vya redio na TV vikiwemo vituo vya SABC. Amesema amejifunza mambo mengi kwenye redio na muziki.
“Jamaa wana promote zaidi muziki wao na lugha yao kwenye redio wanachanganya Zulu, wanapenda kujifunza Kiswahili, wanaichukulia kama lugha kubwa ya bara la Afrika ukiachana na Kiingereza kuwa...
10 years ago
GPL19 Dec
10 years ago
Vijimambo23 Dec
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/uCdnAN55a3E/default.jpg)
11 years ago
Bongo514 Jul
Video: Teaser ya video mpya ya Linah ‘Ole Themba’ aliyoshoot Afrika Kusini na director GodFather
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Mo Music kusaka video Afrika Kusini
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII Moshi Katemi ‘Mo Music’, amepanga kwenda nchini Afrika Kusini kwa ajili ya upigaji wa picha za video ya wimbo wake mpya wa ‘Skendo’.
Video hiyo inatarajiwa kuandaliwa na mwongozaji mashuhuri nchini, Adam Juma ambaye wamepanga kwenda naye nchini humo kwa ajili ya kazi hiyo.
“Sitaki kuwaangusha mashabiki wangu, nitakwenda Afrika Kusini kufanya video ya Skendo ila nitamtumia Adam Juma kwa sababu ni mwongozaji bora na huwa tunafanya kazi nzuri kila tunapokutana,”...
9 years ago
Bongo524 Dec
Barnaba kuachia video mbili alizoshoot Afrika Kusini
![Barnaba Elias](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Barnaba-Elias-300x194.jpg)
Barnaba amesema atafungua mwaka 2016 kwa kuachia video mbili moja ikiwa ya wimbo ‘Nakutunza’aliyomshirikisha Jose Chameleone wa Uganda.
Muimbaji huyo ambaye pia ni mwandishi mzuri wa nyimbo, ameiambia Bongo5 kuwa video nyingi za wasanii zilizotoka zimemfanya aweke zake kapuni ili atoe mwakani.
“Mwaka huu hatuwezi tena kutoa video kutokana na population ya wasanii kutoa video. Watu wanaojua marketing ya muziki wanajipanga na kuangalia muda sahihi wa kuachia video. Nashukuru Mungu video...