Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video inayoonesha mtoto wa miaka 6 akikamatwa shuleni

Mtoto aliyekamatwa na polisi mwezi Septemba 2019,mjini Florida. Video ya tukio la kukamatwa kwake yaonekana Februari 25.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mtoto adhaniwa kupeleka bomu shuleni

Rais wa Marekani amemwita Mtoto aliyekuwa aliyeshikiliwa kwa muda na polisi kuhojiwa baada ya kupeleka shuleni saa aliyotengeneza

 

9 years ago

Dewji Blog

Mtoto wa miaka 9 aozeshwa na baba yake kwa mwanaume mwenye miaka 60

 Untitled

Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9).

Untitled 1

Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akiwa amepozi.

2 (2)

Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akizungumza jana na Msaidizi wa Kisheria wa Kataa ya Makuyuni Kijiji cha Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha na Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Kataa hiyo, Ruthi Mashambo (kulia).

3

Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akizungumza jana na Msaidizi wa Kisheria wa Kataa ya Makuyuni Kijiji cha Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha na Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Kataa hiyo,...

 

11 years ago

Dewji Blog

INASIKITISHA SANA: Mtoto wa miaka 4 afichwa katika Boksi miaka 4

DSC01716mtotot

Maria Said mama mkubwa wa Nasra, (katikati) ni baba mzazi wa Nasra, Rashidi Mvungi, na (kulia) ni mume wa Mariam Said wakiwa katika ofisi za ustwawi wa jamii mjini Morogoro baada ya kukamatwa na kufikishwa polisi kwa tuhuma za kumficha mtoto huyo ndani ya box kwa miaka 4 baada ya mama wa mtoto huyo kufariki dunia kwa ugonjwa wa Malaria.

MUME na mke wanashikiliwa na polisi mkoani Morogoro kwa tuhuma za kumficha mtoto kwa miaka 4 ndani ya Box .

Kamanda wa polisi mkoani Morogoro Leonard Paul...

 

11 years ago

Mwananchi

Baba wa miaka 54 aoa mtoto wa miaka minane

Polisi Wilaya ya Bunda, wanamshikilia baba mwenye umri wa miaka 54 kwa tuhuma kuoa mwanafunzi wa kike wa umri wa miaka minane.

 

10 years ago

Habarileo

'Mtoto wa miaka 10 ana mtoto'

WIMBI la watoto wenye umri chini ya miaka 18 kupata ujauzito limetajwa kuhatarisha uhai wa mama na mtoto wakati wa kujifungua suala ambalo serikali na wadau wengine wameomba kuendelea kuelimisha jamii kudhibiti mimba za utotoni.

 

11 years ago

GPL

PICHA INAYOONESHA UMAHILI WA MCHONGAJI ALIVYOJALIWA KIPAJI

Picha ya kinyago iliyochongwa na kuwekwa nje ya jengo la NHC mtaa wa Samor-Dar Na Gabriel Ng’osha/Gpl

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Ramani inayoonesha idadi ya watu walioambukizwa na waliofariki kutokana na virusi vya corona duniani

Tayari virusi hivyo vimesambaa katika mabara yote duniani isipokuwa Antarctica

 

11 years ago

Habarileo

Aliyelawiti mtoto jela miaka 30

MKAZI wa Donge Mkoa wa Kaskazini Unguja, Changarawe Madula Balale (30) ameanza kutumikia kifungo cha miaka 30 jela, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kubaka na kumuingilia kinyume na maumbile mtoto wa kiume wa miaka minane.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa miaka 2 amuokoa mamake

Mtoto mwenye umri wa miaka 2 pekee amepokea sifa kedekede kwa kuokoa maisha ya mamake kwa kuwapigia simu wahudumu wa afya baada ya mamake kuzimia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani