Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Msanii wa bongofleva anasimulia mwenyewe alivyoitiwa Mwizi juzi kati Kinondoni usiku

Msanii wa bongofleva Edu Boy anasema kama sio Mungu basi leo zingekua zimeandikwa habari nyingine, ni baada ya kufananishwa na mmoja wa vijana kwenye kundi Wezi waliofanya uhalifu usiku huohuo maeneo ya Kinondoni Dar es salaam, kisa kizima kipo kwenye hii video hapa chini… Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]

The post Video: Msanii wa bongofleva anasimulia mwenyewe alivyoitiwa Mwizi juzi kati Kinondoni usiku appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NEWZ ALERT:msanii wa bongofleva Geez mabovu afariki dunia mjini Iringa usiku huu.

Msanii wa muziki wa bongofleva (pichani enzi za uhai wake )Ahmed Ally Upete ambaye pia alitambulika kwa jina la kisanii  kama Geez Mabovu,emefariki Dunia mnamo majira ya saa moja usiku wa leo,taarifa zinaeleza kuwa Geez amekutwa na umauti nyumbani kwao mjini Iringa.Taarifa kamili tutawaletea kadiri ya zitakavyokuwa zikiingia,MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI-AMEN

 

10 years ago

Mwananchi

Msanii anayeteswa na ukiritimba katika tasnia ya Bongofleva

Naumia sana naandika nyimbo nyingi lakini sipati nafasi ya kuzirekodi zote na ninazozirekodi inakuwa ngumu kuwafikia mashabiki kwa kuwa kusambaza kunahitaji pesa na wanaohusika kuzipiga redioni nao wanahitaji pesa,”anasema.

 

10 years ago

Vijimambo

SEPP BLATTER AACHIA NGAZI KUONGOZA CHOMBO KIKUBWA KABISA KINACHOONGOZA MPIRA WA MIGUU DUNIA FIFA LICHA YA JUZI JUZI TU KUSHINDA KWA KISHINDO


Kutoka na tuhuma za rushwa ilichokikumba chama cha soka duniani FIFA rais wake ajiuzulu. Habari zaidi kuwaletea kwaiyo endelea kukodolea macho blog yako ya jamii Vijimambo.

 

10 years ago

Vijimambo

Meneja wa Diamond Afunguka Kilicho Sababisha Diamond Asifanye show London Juzi Usiku

Kutokana na tukio hilo, Meneja wa mwanamuziki huyo, Hamis Taletale maarufu Babu Tale ambaye hakuambatana naye, aliliambia gazeti hili kuwa Diamond alipokea mwaliko kutoka kwa promota huyo, lakini hakulipwa fedha hata kidogo, jambo ambalo lilimfanya ashindwe kufanya uamuzi wowote.“Diamond alipofika Uingereza yule promota alimdaka juu kwa juu kwa kuwa kule alikwenda kwa ajili ya shoo ya Ujerumani itakayofanyika usiku wa leo (jana) akimtaka afanye shoo jijini London, Uingereza, alikubali na...

 

9 years ago

MillardAyo

Ninazo hizi video mpya 5 za bongofleva zinazochukua headlines kwenye Youtube…

Kazi yangu ni kuhakikisha haupitwi na chochote kinachonifikia basi hapa ninazo video mpya 5 ambazo zinachukua headlines kwenye mtandao wa Youtube. Zifuatazo ni video mpya za bongo  zilizotoka mwezi December 2015 ambazo zimechukua headlines hutakiwi zikupite…. ya kwanza kuitazama ni hii ya Alikiba & Christian Bella iitwayo Nagharamia  imewekwa December 19 2015 na mpaka sasa […]

The post Ninazo hizi video mpya 5 za bongofleva zinazochukua headlines kwenye Youtube… appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Video 3 fupi za comedy: Dalali muongo wa nyumba, girlfriend asiejua kumpikia boyfriend na mwizi

Kuna vipisi vya sekunde 15 kila kimoja hapa kwenye hii post ya vichekesho/vituko vilivyotengenezwa ambapo hiki cha kwanza hapa chini ni cha dalali wa nyumba ambaye ni mjanjamjanja ila aliumbuka pale alipopeleka Wateja kwenye mtaa wenye nyumba iliyowazi, akawa anawaambia jinsi huo mtaa ulivyo salama lakini kinaachoonekana kwenye video ni tofauti na anachosema. Unapokutana na […]

The post Video 3 fupi za comedy: Dalali muongo wa nyumba, girlfriend asiejua kumpikia boyfriend na mwizi appeared...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani