VIDEO; POLEPOLE ATOA KAULI YA CCM KUHUSU UDHIBITI WA CORONA
![](https://img.youtube.com/vi/wAsv7uePRBs/default.jpg)
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/L5vwVsPJDZ8/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DTxjZTXLOuM/XmHNLkhoC2I/AAAAAAALhb0/AXpq7h3u8l8Y4E23JER9wx5BM8yHqKGHwCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv65d4f31b0851lcxt_800C450.jpg)
Corona yaingia Afrika Kusini, Rais Ramaphosa atoa kauli
![](https://1.bp.blogspot.com/-DTxjZTXLOuM/XmHNLkhoC2I/AAAAAAALhb0/AXpq7h3u8l8Y4E23JER9wx5BM8yHqKGHwCLcBGAsYHQ/s640/4bv65d4f31b0851lcxt_800C450.jpg)
Akizungumza masaa machache baada ya kuthibitishwa kesi hiyo ya kwanza ya Corona nchini Afrika Kusini, Rais Cyril Ramaphosa wa nchi hiyo amesema kuingia kwa ugonjwa huo hatari kutakuwa na taathira hasi kwa sekta ya utalii na uchumi wa nchi hiyo ambao tayari unayumba.
Ameongeza kuwa, "tutazidi kuwataarifu Waafrika Kusini kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uthbpFa3u0I/Xpwp_FIPJtI/AAAAAAALnaI/Y6rbI0xs0cUHkpC1_uea0VhmVxSzABctwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_3538.jpg)
TAARIFA KUTOKA KWA MKUU WA WILAYA YA KIGAMBONI KUHUSU KUONGEZA UDHIBITI WA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)
![MICHUZI BLOG](https://1.bp.blogspot.com/-uthbpFa3u0I/Xpwp_FIPJtI/AAAAAAALnaI/Y6rbI0xs0cUHkpC1_uea0VhmVxSzABctwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_3538.jpg)
Ndg members katika kuongeza udhibiti wa COVID 19 ndani ya wilaya ya Kigamboni serikali inatekeleza mambo yafuatayo:-
1. Kwenye Vivuko:
- kuongeza kivuko kingine, kitaanza kufanya kazi wiki ijayo tarehe 22 April jumatano, Hivyo kutakuwa na jumla ya vivuko vitatu.
- Abiria hawatakusanywa tena kwenye jengo la kusubiria kivuko.
- Kila Abiria atalazimika kunawa mikono kama ilivyo awali.
- Kila abiria atalazimika kuvaa mask muda wote kwenye eneo na...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Ri21GUNjrPo/Vah_gSoTxfI/AAAAAAAAxzM/ZMlI3KoTymw/s72-c/JOYCES.jpg)
JOYCE KIRIA ATOA KAULI KUHUSU KUKAMATWA KWA BLOGGER MANGE KIMAMBI ‪
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ri21GUNjrPo/Vah_gSoTxfI/AAAAAAAAxzM/ZMlI3KoTymw/s640/JOYCES.jpg)
#TAHADHARI! Wizara ya Mambo ya Ndani kupitia Jeshi la Polisi, Tanzania Human Rights Defenders, Tawla, Wlac, Legal Human Right Center, Wildaf, Tume ya Haki za Binadam, Tamwa, Tgnp, Wananzania wote wapenda Maendeleo ya Halali, msaidieni huyu Mwanaharakati aliyethubutu Kujitosa mithili ya Swala katikati ya msitu ulojaa Simba wenye njaa, Mpiganaji wa kweli aliyejaaliwa Kipawa cha kusema bila kumumunya, ambae amejitokeza kupigania Haki za Binadamu kwa kupiga vita Madawa ya kulevya nchini...
5 years ago
Michuzi5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-LpsMwifnsfo/XmteqLzQIDI/AAAAAAAC01Y/B50qXbd1T5YjzfIE5213JbAB5qnPhyXXQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI ATOA UJUMBE MZITO KWA WATANZANIA KUHUSU VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LpsMwifnsfo/XmteqLzQIDI/AAAAAAAC01Y/B50qXbd1T5YjzfIE5213JbAB5qnPhyXXQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Ametoa tahadhari hiyo leo Ijumaa Machi 13,2020 wakati akizindua karakana ya kisasa ya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) iliyojengwa kwa Sh8.5 bilioni kwa ufadhili wa Serikali ya Ujerumani.
Rais Magufuli amesema ingawa ugonjwa huo umesambaa katika maeneo mbalimbali dunia bado Tanzania...
11 years ago
Michuzi20 Apr
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Nchemba, Polepole watofautiana kuhusu gharama za Shirikisho
Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema vyanzo vya mapato vilivyopendekezwa katika Rasimu ya Katiba, havitoshi kuendesha Serikali ya shirikisho.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hIzg27ohAYg/Vk2HkZXMMHI/AAAAAAAAUrQ/Gr_5xEh9p14/s72-c/kigwangal3.jpg)
DKT KIGWANGALLA ATOA USHAURI WAKE JUU YA UDHIBITI WA MADAWA SERIKALINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-hIzg27ohAYg/Vk2HkZXMMHI/AAAAAAAAUrQ/Gr_5xEh9p14/s640/kigwangal3.jpg)
MBUNGE mteule jimbo la Nzega vijijini Dkt Hamisi Kigwangalla (CCM) ametoa ushauri kwa wizara husika juu ya udhibiti wa kuvuja kwa madawa serikalini na kwenda kwenye maduka binafsi.
Kupitia ukarasa wake facebook Kigwangalla amesema #Sasa Kazi Tu Changamoto ya Udhibiti wa Kuvuja Madawa Kutoka Mfumo wa Serikali Kwenda Kwenye Maduka ya Watu Binafsi ni Katika Mambo ambayo mgombea Urais wa CCM, Ndg. John Pombe Magufuli alionesha kuwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania